Mambo kwenda hayawezi kushindikana, ila sasa tujiulize Je yataenda vizuri au hovyo kama ilivyo sasa?Hata wakiristo wakikaa wote nje ya serikali, waislam watajaza hizo nafasi na mambo yataenda
Hii wanasoma kimya kimyaa tu.Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Mwaka (2015), Rais alifanya uteuzi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi mbalimbali. Uteuzi wake ulikuwa kama ifuatavyo:
Mawaziri na Manaibu: 30.
Waislamu 10, sawa na asilimia 33%.
Wakristo 20, sawa na asilimia 67%.
Makatibu Wakuu na Manaibu: 50.
Waislamu 10, sawa na asilimia 20%.
Wakristo 40, sawa na asilimia 80%.
Wakuu wa Mikoa na Wilaya: 166.
Waislamu 41, sawa na asilimia 25%.
Wakristo 125, sawa na asilimia 75%.
Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya: 163.
Waislamu 24, sawa na asilimia 15%.
Wakristo 139, sawa na asilimia 85%.
Wakurugenzi mbalimbali: 249.
Waislamu 45, sawa na asilimia 18%.
Wakristo 204, sawa na asilimia 82%.
Manaibu Kamishna wa Polisi: 25.
Waislamu 5, sawa na asilimia 20%.
Wakristo 20, sawa na asilimia 80%.
Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi: 33
Waislamu 7, sawa na asilimia 21%.
Wakristo 26, sawa na asilimia 79%.
Jumla Kuu ya Uteuzi:
Waislamu asilimia 20%.
Wakristo asilimia 80%.
Uchaguzi 2020 - Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania
Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA [MWONGOZO] UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020 TANZANIA Umetolewa leo Tarehe 09. 07. 2020.
Tusipangiane.Kaeni kwa tulia !
Ati wanasema barasa limejaa kobathi. Sie Mie ni watu haoMtoa post unadhani Rais Samia anapendelea dini gani na kwa ushahidi upi. Tuletee hapa hizo teuzi tuzione ufafanue hoja zako kwa ushahidi.
Hebu weka orodha ya mawaziri tuhesabu,Kisha twende Kwa makatibu wakuu,wakuu wa mikoa,wilaya nk,walio wengi tuanzishe petition wapunguzwe wajazwe wenzaoAti wanasema barasa limejaa kobathi. Sie Mie ni watu hao
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni Rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.
Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.
Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuzi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.
Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa vibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Kisu kinakata upande mwingine hizi kelele zote unazozisikia. Kingekuwa kinakata upande wanaotaka wao usingesikia kelele hizi.Leo kateua Mwislamu pale NECTA ili Zanzibar ianze faulisha...
Ni mchezo kama wa Chato enzi hizo
Ni bora kazi ziwe na interviews kama zingineHaya matatizo yameletwa na awamu ya nne kwa sababu ya ile timu ya mtandao ilikuwa ni kubwa nafasi serikalini zilikuwa chache. Kama unakumbuka Mh rais Mkapa aliunda tume huru ya uajiri na akasema nafasi zote za serikalini zinapokuwa wazi zitangazwe na waombaji wafanyiwe interview kuna mzee mmoja jina lake refu akateuliwa kuongoza tume. Alipoingia rais wa awamu ya nne akaifuta ile tume na yule kiongozi akaambiwa aende likizo na akimaliza astaafu. Mchezo uliishia hapo. Kenya nafasi zote zinaombwa na interview inafanyika.
Naona Slaa ameenda kuongeza nguvuKisu kinakata upande mwingine hizi kelele zote unazozisikia. Kingekuwa kinakata upande wanaotaka wao usingesikia kelele hizi.
UTUMISHI hapo penyewe upendeleo kibao, Waislam wanaonewa kila siku, Interview iwe open, yaan watu wawe wanaona unajibu nini ili maamuzi yatoke kwa haki.Ni bora kazi ziwe na interviews kama zingine
La sivyo haya hayataisha itakuwa ni kulipiza tu
Hahaha alaf kweliKisu kinakata upande mwingine hizi kelele zote unazozisikia. Kingekuwa kinakata upande wanaotaka wao usingesikia kelele hizi.
Unaleta hadithi za kenge manyoya hapa. Hivi Samia na Magufuli nani ni mdini? Magufuli alipokuwa akiteua Wakristo asilimia 90 mlinyamaza kimya lakini leo hii Mama akiteua Waislam hata asilimia 40 hawafiki povu kama lote. Na bado mtakufa na vijiba vya roho.Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni Rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.
Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.
Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano mzuri ni huu uteuzi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.
Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa vibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Nyerere alikua mkatolikiUnajua hakuna kitu kinakera kama wakristo wa nchi hii kujiona kama wao ndio wenye haki ya kila kitu,
Yaani wanavyotaka wao mkeka ukitoka wawe wao tuu
Magufuli kafanya udini kupindukia + ukabila na Ukanda, teuzi zake alijaza wakristo, ila waislamu walikuwa kimyaaàa.
Hii nchi ni ya wote sio yenu peke yenu, kwanza walioumia na nchi hii ni waislamu, nyié hata kudai uhuru mliambiwa makanisani ni dhambi
Kwani Zanzibar ni Islamic State? Ina maana huko hakuna mkristo hata mmoja?Kama ni unguja hakuna la kustaajabu hapo. Nikajua watu wamepangiwa kuripoti kazini huku bara
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Tena mkatoliki ambaye kwa sasa kuna mchakato wa kumfanya awe mtakatifu. Kale kazee kalikua na itikadi kali ya kichini chini sana kukandamiza waislam..Nyerere alikua mkatoliki