Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

64% ya watanzania ni Wakristo na napofanya kazi 95% ya wafanyakazi ni waksisto! Iko hivyo shule bora kabisa navyuo vikuu bora kabisa ni vya Wakristo sasa haya kutea mawaziri waislam kamwehaiwe kubadili mfomo ulojegwa miaka mingi! Waislamu tafiteni elimu acheni kuwapeleka watoto madrasa! The best 20 universities in the world are from chi za mfumo wa Wakristo! HUU NDO UKWELI
 
64% ya watanzania ni Wakristo na napofanya kazi 95% ya wafanyakazi ni waksisto! Iko hivyo shule bora kabisa navyuo vikuu bora kabisa ni vya Wakristo sasa haya kutea mawaziri waislam kamwehaiwe kubadili mfomo ulojegwa miaka mingi! Waislamu tafiteni elimu acheni kuwapeleka watoto madrasa! The best 20 universities in the world are from chi za mfumo wa Wakristo! HUU NDO UKWELI
Endelea kushikilia takwimu wenzio wanakula ...Unaacha kusoma wewe na kufanya juhudi eti wakristo wako mbali .

Pambana hata vyuo sio bure ! Pambana kutafuta fursa na uache kufauta mkumbo
 

Ukifungua hilo baraza utaona, na utagundua muslim ni wachache kuliko wakristo (Atleast from the Names)
 
Wakristo tunachuki sana!

Mchugaji Kimaro alikuwa sahihi!
 
Back
Top Bottom