Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Acha sindano iwaingie. Kama kuwaambia ukweli ndio ujinga acha niwe mjinga. Rais haangalii dini kwenye teuzi bali anaangalia utendaji.
Yupi mtendaji pale kwenye baraza....riziwani ni fadhila na Makamba jr....ni fadhira za wazazi humo
 
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Mwaka (2015), Rais alifanya uteuzi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi mbalimbali. Uteuzi wake ulikuwa kama ifuatavyo:

Mawaziri na Manaibu: 30.

Waislamu 10, sawa na asilimia 33%.

Wakristo 20, sawa na asilimia 67%.

Makatibu Wakuu na Manaibu: 50.

Waislamu 10, sawa na asilimia 20%.

Wakristo 40, sawa na asilimia 80%.

Wakuu wa Mikoa na Wilaya: 166.

Waislamu 41, sawa na asilimia 25%.

Wakristo 125, sawa na asilimia 75%.

Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya: 163.

Waislamu 24, sawa na asilimia 15%.

Wakristo 139, sawa na asilimia 85%.

Wakurugenzi mbalimbali: 249.

Waislamu 45, sawa na asilimia 18%.

Wakristo 204, sawa na asilimia 82%.

Manaibu Kamishna wa Polisi: 25.

Waislamu 5, sawa na asilimia 20%.

Wakristo 20, sawa na asilimia 80%.

Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi: 33

Waislamu 7, sawa na asilimia 21%.

Wakristo 26, sawa na asilimia 79%.

Jumla Kuu ya Uteuzi:

Waislamu asilimia 20%.

Wakristo asilimia 80%.

Uchaguzi 2020 - Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania
Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA [MWONGOZO] UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020 TANZANIA Umetolewa leo Tarehe 09. 07. 2020.
www.jamiiforums.com www.jamiiforums.com
Sina kumbukumbu na hili.

Unajua wakristo ndio wengi na huku bara ni nchi yetu sote. Zanzibar dini moja sawa tu.
 
Mama hakufuata upuuzi bali anajaribu kubalance. Haiwezekani nchi yenye baraza la mawaziri 30 uteuwe waislam wanne tu kana kwamba wao hawakusoma au nchi nzima wamekosekana waislam hata 10 wa sifa za kiuwaziri. Hii iliwaumiza wengi mno ila hawakuwa na la kufanya katika nchi yao kwa vile katiba inampa mteuwaji ridhaa ya kuchagua yoyote.

Anachokifanya mama ni kubalance ili kutengeneza serikali yenye utaifa. Tofauti na kipindi kile ilikuwa ukienda Tanesco utafikiri uko kanisani, ilikuwa ukienda bandari same story, wizara ya elimu ndo usiseme watoto wanaletewa hadi biblia mashuleni.

So acha mama ayaponye majeraha ili nchi iwe na sura ya kitaifa sio sura ya vatican kama tuko roma.
Usimuwekee maneno mdomoni Mheshiniwa Rais,

Ameteua viongozi wa kumsaidia KAZI Kwa kufuata vigezo na uwezo.

Hakuangalia dini zao, maana Yeye Si Shehe Wala Askofu.
 
Tulia kwanza ndio uchangie huu uzi. Unakamhemko ndani yake.
Wewe ndo utulie, jifunze kujenga HOJA,

Wapi Katiba imeelekeza Rais ateue mawaziri Kwa kuangalia DINI zao?

Mtu anapoandika CV ya kuomba KAZI, haweki dini yake au dhehebu analosali.

Anaweza kuitwa John na akawa muislam, sisi haituhusu.
 
So ni kawaida,
Halafu sidhani kama Ajira tuna haja ya kuangalia %ge ya waislamu na wakristo. Serikali haiko hivyo bali sisi na akili zetu tunaona hivyo.
Serikali haifuatilii udini, MOSTLY INAFUATA SANA UKADA
Serikali ni sisi.
 
Wanaolalamika kuwa Rais Samia ni mdini ni wapumbavu, haters na wakurukupaji. Baraza la Mawaziri la sasa lina Mawaziri 25. Kati yao 15 ni wakristo (Mkuchika, Mhagama, Bashungwa, Kairuki, Ndalichako, Simbachawene, Mwigulu, Tax, Biteko, Mkenda, Nape, Mabula, Ndumbaro, Gwajima na Pindi Chana). Hiyo ni asilimia 60 ya Baraza lote la Mawaziri.

Mawaziri waislamu ni 10; (Jafo, Ulega, Mbarawa, Ummy, Masauni, Bashe, Makamba, Kijaji, Aweso na Mchengerwa). Sawa na asilimia 40.

Sasa hapo ni mdini Kwa sababu Wakristo ni wengi au namna gani?

Tuacheni hoja za kipumbavu tumuache mama afanye kazi yake.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo wameshateuliwa kama vipi chukua kamba ukajinyonge au hama nchi.
Tatizo mnaishi kwa hao wanaoteuliwa na hamjui madhara ya uteuzi tunaoupigia kelele....Kila kitu unaletewa tu nyumbani kama umeolewa vile hujui mtaani kugumu kiaje.
 
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Mwaka (2015), Rais alifanya uteuzi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi mbalimbali. Uteuzi wake ulikuwa kama ifuatavyo:

Mawaziri na Manaibu: 30.

Waislamu 10, sawa na asilimia 33%.

Wakristo 20, sawa na asilimia 67%.

Makatibu Wakuu na Manaibu: 50.

Waislamu 10, sawa na asilimia 20%.

Wakristo 40, sawa na asilimia 80%.

Wakuu wa Mikoa na Wilaya: 166.

Waislamu 41, sawa na asilimia 25%.

Wakristo 125, sawa na asilimia 75%.

Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya: 163.

Waislamu 24, sawa na asilimia 15%.

Wakristo 139, sawa na asilimia 85%.

Wakurugenzi mbalimbali: 249.

Waislamu 45, sawa na asilimia 18%.

Wakristo 204, sawa na asilimia 82%.

Manaibu Kamishna wa Polisi: 25.

Waislamu 5, sawa na asilimia 20%.

Wakristo 20, sawa na asilimia 80%.

Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi: 33

Waislamu 7, sawa na asilimia 21%.

Wakristo 26, sawa na asilimia 79%.

Jumla Kuu ya Uteuzi:

Waislamu asilimia 20%.

Wakristo asilimia 80%.

Uchaguzi 2020 - Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania
Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA [MWONGOZO] UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020 TANZANIA Umetolewa leo Tarehe 09. 07. 2020.

www.jamiiforums.com www.jamiiforums.com
Kwahiyo mkuu wataka kusema yanayoendelea saivi waona ni sawa?
 
Usimuwekee maneno mdomoni Mheshiniwa Rais,

Ameteua viongozi wa kumsaidia KAZI Kwa kufuata vigezo na uwezo.

Hakuangalia dini zao, maana Yeye Si Shehe Wala Askofu.
Ok nimekuelewa mkuu. Huu ni mtizamo wangu tu kutokana na watu wa imani fulan kulalamika kwamba wanatengwa, kama vile alivyolalamikiwa mtangulizi wake.

Ila kumbuka sikusema kwamba haya ni maneno yake wala nukuu yake.
 
Wanayo bana na mbona wana ilmu nzuri tu na uzoefu wa kutosha[emoji28]mfano riziwani ni bonge la msomi na kiongozi Bora of all time, kudos kwake na wote waloteuliwa.
Dah,JF raha sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Islam Dini
Dini Ya Haki, Ya Mmnyazi Mungu
Wagalatia Hoi Sana Tupo Mbali
 
Kwahiyo mkuu wataka kusema yanayoendelea saivi waona ni sawa?
Mkuu mbona sikuwahi kuona ukihoji kwa yaliokuwa yanaendelea 2016 hadi 2021? Au yale hayakukuhusu wewe kuhoji? Na kama ulihoji niambie ni wapi nikapaone.
 
Ukweli ni kwamba Baraza la Mawaziri limejaa Wakristu.

Tunataka 50/50 ifikapo 2030
 
Back
Top Bottom