Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
wakristo wana roho mbaya sanaa,wanawachukia sana waislamWakijazwa wakristo wala hamsemi lakini mkiona majina mawili matatu ya kiislamu yamejitokeza basi kwenu tayari huo ni udini! Hivi nyie mkoje yaani mnaona kama waislamu ni raia daraja la pili na hawastaili kupata uteuzi au haki nyingine yoyote hadi wakristo waridhie!