Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Yaani Chawa mtafika mbinguni na vumbi mpaka kwenye kope.
Duh [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Chawa mtafika mbinguni na vumbi mpaka kwenye kope.
Nadhani watakuwa wameitengeneza ili wapige mpunga wa maana.. Biashara ni mbinuWanabodi,
Leo ni siku ya wapendanao, Valentine Day, hivyo nami nawatakia a Happy Valentines Day!.
Mimi ni Mzee wa Trends Readings, Siku ya wapendanao ya leo, kuna trends fulani naiona kwa mbali, hivyo bandiko hili ni swali,
Jee siku ya Valentine ya leo, The Biggest Star wa Kiume wa Bongo, Kumvisha Pete ya Uchumba, The Biggest Star wa Kike wa Bongo?.
Kwa vile JF was meant to be the home of great thinkers, ma great thinkers hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo nakuomba, hata kama wewe sio great mind, ni simple mind, hivyo unapenda ku discuss people, for the sake of this thread, nakuomba usitaje jina lolote!, jifanye ni great mind!, hili ni bandiko la info tip ya the biggest opportune moment ya kuvishana Pete za uchumba ni siku ya Valentine day.
Lengo la kupandisha hili bandiko ni kukupatia wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know kuwa leo kuna uwezekano wa the biggest Star wa Bongo anavisha pete na kuna the biggest Star wa Bongo anavishwa pete!.
Information is Power
Happy Valentines!.
Paskali
aseee mi mwenyewe nimeshangaaa jamaa niko primary down kabisaaa mpaka leo yuko vizuriHuyu Bushoke wadogo zake tunazeeka ye ndo anazidi kua kijana sawa tu na Soggy Dog,.....
Huyu jamaa na Soggy wana miili mizuri sana, hawana miili ya vitambi coz yule Soggy alivyo afu angekua na kitambi sjui ingekuajeaseee mi mwenyewe nimeshangaaa jamaa niko primary down kabisaaa mpaka leo yuko vizuri
Naona watu walichokuwa wana kitarajia kwa Zuchu na Mondi hakikutokea.Ila wamelibrand vizuri tukio la Zuchu sasa hivi YouTube stream 33k.Leo ni siku ya valentine, kuna show ya Zuchu hapooo mlimani city.
Kwa kukumegea tu hii show ndio inaenda kuwa show kubwa zaidi ya msanii kuwahi kutokea kwenye muziki wa bongo.
Hii ndio show itaenda ifunika Diamonds Are Forever.
Kwenye entertainment industry ukizungumzia show unatazama vitu vingi kama appearances, stage, mpangilio wa events kuanzia kwenye red carpets, wingi wa watazamaji na uimbaji wa wasanii japo sio ishu kubwa sana.
Na kubwa zaidi na zaidi ni kutengeneza habari. Hii ni show ambayo inaweza kujaza wanahabari kuliko tukio lolote lililowahi kutokea. Show itakuwa na content za kuilisha showbiz kwa miaka mpaka mitano inayokuja.
Ni show ambayo itaanza kunoga baada ya show kuisha, sijui mnanielewa!?🤔
Zuchu atakuwa superdupa staa baada ya show ya leo.
Tumuombee duwa afanikishe balaa lake la leo.
Ni wa kawaida sura pana afu fupi mmmhIla zuhura kwenye sura ni overrated saana yaan namuona wa kawaida sana hapa ila kwenye kuimba yupo poa saana
Wanajua kucheza na akili za mazombieNadhani watakuwa wameitengeneza ili wapige mpunga wa maana.. Biashara ni mbinu
Ndio maana ya ubunifu watu waendelee kusubiri wanachosubiri kuwa kitatokeaNaona watu walichokuwa wana kitarajia kwa Zuchu na Mondi hakikutokea.Ila wamelibrand vizuri tukio la Zuchu sasa hivi YouTube stream 33k.
Kassimu Mganga na Bushoke Nani katisha zaidi kwenye performance? For me ni kassimu MgangaBushokeeeeeeee
Kassimu Mganga na Bushoke Nani katisha zaidi kwenye performance? For me ni kassimu Mganga
Umechambua vizuri as if unataaluma ya MuzikiAisee mimi naona Bushoke alitulia sana vocally. Kassim naufahamu fika uwezo wake wa sauti; he is one of my best, ila leo naona aliamua tu kutuburudisha kiujumla, hakutaka kutukomesha na sauti yake.
Umechambua vizuri as if unataaluma ya Muziki