Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
ni utopolo mtupu hamna kituZuchu sijui anaiumba utumbo gan leo,show wmetupiga hii mamaee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni utopolo mtupu hamna kituZuchu sijui anaiumba utumbo gan leo,show wmetupiga hii mamaee
Amembusu nani tena??Show mbovu kishenzi,Zuchu akiimba kama anaongea.
Huyu Manara anatia aibu kubusu mwanaume .
MondiAmembusu nani tena??
Na ndio maana haujalala mpaka sasaShow ya hovyo tangu dunia kuumbwa.
Mkuu wengine tuko ukumbini tunaona huu upupuNa ndio maana haujalala mpaka sasa
Safi kabisa hiyo ndio nguvu ya Wasafi...unapewa kitu roho inapendaMkuu wengine tuko ukumbini tunaona huu upupu
Huyu Zuchu, hajui kuimba live, sauti ngumu mno hapa.Safi kabisa hiyo ndio nguvu ya Wasafi...unapewa kitu roho inapenda
Enjoy show ya Queen wa bongofleva.Huyu Zuchu, hajui kuimba live, sauti ngumu mno hapa.
Sie wengine wapenda burudani hata show ya Jux tunatimba.
Khadija kopa performance ikoje?Huyu Zuchu, hajui kuimba live, sauti ngumu mno hapa.
Sie wengine wapenda burudani hata show ya Jux tunatimba.
Sijamuelewa leo mbele kulikuwa wapi yani tumbo limeround hujui kalio ni lipi tumbo ni lipi. [emoji1787]Khadija kopa performance ikoje?
UpdateWanabodi,
Leo ni siku ya wapendanao, Valentine Day, hivyo nami nawatakia a Happy Valentines Day!.
Mimi ni Mzee wa Trends Readings, Siku ya wapendanao ya leo, kuna trends fulani naiona kwa mbali, hivyo bandiko hili ni swali,
Jee siku ya Valentine ya leo, The Biggest Star wa Kiume wa Bongo, Kumvisha Pete ya Uchumba, The Biggest Star wa Kike wa Bongo?.
Kwa vile JF was meant to be the home of great thinkers, ma great thinkers hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo nakuomba, hata kama wewe sio great mind, ni simple mind, hivyo unapenda ku discuss people, for the sake of this thread, nakuomba usitaje jina lolote!, jifanye ni great mind!, hili ni bandiko la info tip ya the biggest opportune moment ya kuvishana Pete za uchumba ni siku ya Valentine day.
Lengo la kupandisha hili bandiko ni kukupatia wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know kuwa leo kuna uwezekano wa the biggest Star wa Bongo anavisha pete na kuna the biggest Star wa Bongo anavishwa pete!.
Information is Power
Happy Valentines!.
Paskali
Na wamepiga aisee na huku kila mtu kapataWanajua kucheza na akili za mazombie
Wanajipigia tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Usisahau ulipata kura moja kigamboni.Wanabodi,
Leo ni siku ya wapendanao, Valentine Day, hivyo nami nawatakia a Happy Valentines Day!.
Mimi ni Mzee wa Trends Readings, Siku ya wapendanao ya leo, kuna trends fulani naiona kwa mbali, hivyo bandiko hili ni swali,
Jee siku ya Valentine ya leo, The Biggest Star wa Kiume wa Bongo, Kumvisha Pete ya Uchumba, The Biggest Star wa Kike wa Bongo?.
Kwa vile JF was meant to be the home of great thinkers, ma great thinkers hawa discuss watu, wana discuss ideas, hivyo nakuomba, hata kama wewe sio great mind, ni simple mind, hivyo unapenda ku discuss people, for the sake of this thread, nakuomba usitaje jina lolote!, jifanye ni great mind!, hili ni bandiko la info tip ya the biggest opportune moment ya kuvishana Pete za uchumba ni siku ya Valentine day.
Lengo la kupandisha hili bandiko ni kukupatia wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know kuwa leo kuna uwezekano wa the biggest Star wa Bongo anavisha pete na kuna the biggest Star wa Bongo anavishwa pete!.
Information is Power
Happy Valentines!.
Paskali
Wanabodi,
Update
This didn't happen.
P
Aiseeee, ninecheka asubuhi hii.Usisahau ulipata kura moja kigamboni.
Ambayo ni kura yake mwenyewe aliyojipigiaUsisahau ulipata kura moja kigamboni.