Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Historia ya kutunga? Lengo hasa ni kuwasha moto wa uhasama kati ya Waislamu na Wakristo. Chuki hizi kwa Nyerere hata sijui zinatoka wapi? Amekuja Mwinyi, amekuja Mrisho, WAMEWAFANYIA NINI WAISLAMU? Why do you guys hate Mwl. so much? Pathetic!A
Mzee wangu Mohammed Said,Mwenyezimungu atakulipa kwa hekima,busara na subra ya hali juu sana,maandiko yako yamejaa utajiri wa historia ambayo huwezi kuipata popote,hakika wewe ni mja mwenye akili
Shimba...Historia ya kutunga? Lengo hasa ni kuwasha moto wa uhasama kati ya Waislamu na Wakristo. Chuki hizi kwa Nyerere hata sijui zinatoka wapi? Amekuja Mwinyi, amekuja Mrisho, WAMEWAFANYIA NINI WAISLAMU? Why do you guys hate Mwl. so much? Pathetic!
Historia ya kutunga? Lengo hasa ni kuwasha moto wa uhasama kati ya Waislamu na Wakristo. Chuki hizi kwa Nyerere hata sijui zinatoka wapi? Amekuja Mwinyi, amekuja Mrisho, WAMEWAFANYIA NINI WAISLAMU? Why do you guys hate Mwl. so much? Pathetic!
Hujui unachokiongea. Huyu Taliban nimemfuatilia kwa muda mrefu na nimesoma sana maandishi yake. The constant kokote anakoandika ni chuki kali dhidi ya "mfumo wa kikristo" na Malalamiko yasiyoisha kwa Nyerere na kuonewa kwa Waislamu. Mimi sibagui dini ya mtu na nina marafiki wa kila aina lakini uenezaji huu wa chuki za kidini uliopitiliza unashangaza sana. Ndiyo maana nikamuuliza: Mwinyi na Mrisho wamewafanyia nini Waislamu?Kama Mlango na sababu za kumpenda mtu shop, jua pia upo mlango na sababu za kumchukia mtu!
Kulazimisha watu wote mfanane mawazo si sahihi!
Christopher Kasanga Tumbo, Christopher Mtikila, Oscar Kambona wote hawa wakimchukia sana Mwl japo hawakuwa Waislam. Jifunze kuto generalize kila jambo!
Pohamba,Kama Mlango na sababu za kumpenda mtu zipo, jua pia upo mlango na sababu za kumchukia mtu!
Kulazimisha watu wote mfanane mawazo si sahihi!
Christopher Kasanga Tumbo, Christopher Mtikila, Oscar Kambona wote hawa wakimchukia sana Mwl japo hawakuwa Waislam. Jifunze kuto generalize kila jambo!
Kwa sababu ni Mkristo?Amalinze,
Bahati mbaya sina taarifa za Kolimba.
Shimba...Hujui unachokiongea. Huyu Taliban nimemfuatilia kwa muda mrefu na nimesoma sana maandishi yake. The constant kokote anakoandika ni chuki kali dhidi ya "mfumo wa kikristo" na Malalamiko yasiyoisha kwa Nyerere na kuonewa kwa Waislamu. Mimi sibagui dini ya mtu na nina marafiki wa kila aina lakini uenezaji huu wa chuki za kidini uliopitiliza unashangaza sana. Ndiyo maana nikamuuliza: Mwinyi na Mrisho wamewafanyia nini Waislamu?
Kumchukia Nyerere ni sawa (siyo babangu na kuna mambo hata mimi sikuyapenda) lakini kila siku kueneza chuki na kujaribu ku-incite religious hatred huku umejificha kwenye uandishi, usomi na uanahistoria siyo ustaarabu. That's what I am saying.
Hata lengo la makala haya si ni kujaribu kusema kwamba pengine Malima aliuawa na muuaji pengine ni Nyerere? Sababu: Mwislamu. Geez! Ifike mahali tukatae upotoshaji huu wa kitoto!
Mchekeeni tu eti Mwanahistoria. Atakakowafikisha wenyewe mtajua. Huyu ni mtu hatari sana!
Hujui unachokiongea. Huyu Taliban nimemfuatilia kwa muda mrefu na nimesoma sana maandishi yake. The constant kokote anakoandika ni chuki kali dhidi ya "mfumo wa kikristo" na Malalamiko yasiyoisha kwa Nyerere na kuonewa kwa Waislamu. Mimi sibagui dini ya mtu na nina marafiki wa kila aina lakini uenezaji huu wa chuki za kidini uliopitiliza unashangaza sana. Ndiyo maana nikamuuliza: Mwinyi na Mrisho wamewafanyia nini Waislamu?
Kumchukia Nyerere ni sawa (siyo babangu na kuna mambo hata mimi sikuyapenda) lakini kila siku kueneza chuki na kujaribu ku-incite religious hatred huku umejificha kwenye uandishi, usomi na uanahistoria siyo ustaarabu. That's what I am saying.
Hata lengo la makala haya si ni kujaribu kusema kwamba pengine Malima aliuawa na muuaji pengine ni Nyerere? Sababu: Mwislamu. Geez! Ifike mahali tukatae upotoshaji huu wa kitoto!
Mchekeeni tu eti Mwanahistoria. Atakakowafikisha wenyewe mtajua. Huyu ni mtu hatari sana!
Maandishi yako yote ambayo nimeshawahi kuyaona japo unajaribu sana kuyapamba na kuyavika vazi la "unofficial history" lakini the common theme ni ile ile: kuonyesha jinsi waislamu walivyoonewa na kuteswa na Nyerere na mfumo wake wa kikristo. Wachache wasioelewa hasa lengo lako ni nini huwa wanakusifia.Shimba...
Tunaweza tukafanya mjadala wa kistaarabu na kuheshimiana.
Lugha za ''Taliban,'' ''...mchekeeni tu...'' zinavuruga mjadala.
Lete ushahidi kutoka maandishi yangu kwa hizo shutuma.
Nakuongezea nina mengi katika Youtube vilevile.
Lete ushahidi kutoka vyanzo vyote hivyo.
Sina jazba wala nini. Inavyoonekana hujasoma hata comment yangu vizuri. Nimesema Nyerere siyo babangu na mchukie unavyotaka lakini huyu mwenzako unayejaribu kumtetea (may be ni yeye mwenyewe) ni mtu hatari kama umefuatilia maandishi yake mengi kwa ukaribu.Punguza Jazba! uhuru wa kujieleza unakwenda sambamba na ujasiri wa kuvumilia kusikia usiyopenda
Pia punguza kujikweza kuhisi mie sijui ninachokiandika ila wewe unakijua ninachokiandika. Anapojadiliwa Nyerere tambua ni Mtu kama mimi na wewe, anayo mazuri yake na Mabaya yake na njia nzuri ya kumtetea ni kumjibia hoja kama una uwezo huo badala ya kutukana na kukejeli wanaoleta hoja hizo!
Tunafurahi kuwa tunapata muda wa kusikiliza story mbalimbali toka kwa bwana mohamed said na dhana zake mbalimbali. ni jambo jema maana anapata nafasi ya kupunguza mawazo na wengine pia wanapata muda wa kuburudika. sijajua katika hizi hadithi alizokuwa nazo kwa miaka kadhaa sasa zimesaidiaje sana kwenye jamii yake. maana mimi nlidhani alipaswa sana sana angejikitika kuwasaidia ndugu zangu wa kiislamu kwenye mikoa mingi ya pwani au ambayo ilikuwa chini ya mwarabu kupata elimu na kuacha kulalamika miaka na miaka.
mohamed said amekuwa mmoja ya waislamu ambao hawana msaada kwa waislamu wenzao hata kidogo. na hili ndo huwa linaniuma sana. badala ya kutafuta namna ya kuwasaidia waweze pata elimu, waelimike wajiweze waache kulalamika yeye amekuwa akiwaongoza kulalamika miaka kadhaa sasa.
ni aina ya watu kama wale viongozi wa boko haram ambao walipata elimu kiasi flan wakaja kuitumia kwa manufaa yao kuwadanganya wajinga. so ni vizuri kuwepo mtu kama huyu ili naye aweze kuwapotosha maamuma kwenye mambo haya akawapotezea muda wazidi kujikita kwenye malalamiko na siku zinaenda. "THERE IS NO FUTURE IN THE PAST" na huwezi badilisha historia. Na mbaya kwa kujichanganya umemzungumzia Mtikila kana kwamba eti alikuwa anamponda Mwinyi na hakuwa alishindwa kumponda Nyerere. Inaonekana humfaham Mch Mtikila. Mtikila ndiye kiongozi aliyekuwa akiweza msema Nyerere kwa uhuru kabisa na kumsema alitawazwa kuwa kiongozi wa nchi na washirikina na Nyerere anakiri kuwa alishawahi kufanyiwa zindiko na wazee flan flan akafukiwa akachinjiwa na mbuzi n.k na hao wazee unaowasema.
Ni mtikila aliyekuwa anampinga Nyerere kwa uwazi na kuukataa huu Muungano. Ni huyu Mtikila alimwita Rais Mmoja wa Tanzania kuwa ni GAIDI na akashinda Hiyo kesi mahakamani. So mtikila alikuwa akizungumza kitu anachokijua. Prof Kighoma Malima nini kilikuwa chanzo cha kifo chake? unadhani NRA ilikuwa tishio? la hasha.
Kighoma malima alikuwa amepewa pesa nyingi sana na mataifa flani kwa ajili ya kuchafua amani ya Tanzania na bahati mbaya alifariki akiwa katika harakati hizo. na pesa zake nasikia zilitaifishwa na serikali iliyokuwepo madarakani wakati huo ambayo utanikumbusha ilikuwa sijui ni ya Rais gani.
Ni upumbavu kudhani kuna chama kinaweza kuongoza tanzania kwa kupitia WAKRISTO peke yake. na Ni Upumbavu kudhani kuna chama kinaweza kuongoza tanzania kupitia WAISLAMU PEKE yake. ashakum si matusi nimetumia neno Upumbavu.
Said Mohamed mi napenda unapojaribu kila mara kuelezea historia yako au amabvyo ungetaman iwe kulingana na itikadi yako. ni jambo jema kabisa maana mimi binafsi hunisaidia kujua wengine wanawaza nini na je katika hayo wanaonekana wanasonga mbele au wanarudi nyuma. Nliwah kuuliza ni utawala gani waislamu hawakuwahi kuonewa hapa duniani? na kwa nini wao waonewe kila sehemu? kutakuwa na tatizo katika fikra za wahusika wa hayo malalamiko.
Wakristo/Waislamu ni dini ambazo tumezikuta zikiwa na misingi na imani tofauti, Mungu tofauti, saikolojia tofauti,mitizamo tofaut, tamaduni tofaut n.k sisi waafrika tulizipokea na kuchukua mpaka tamaduni ya asili ya dini hizo na mpaka saikolojia yake ikatukaa tukajikuta tunakuwa na dini ya Watu wakatili,Wenye kiu ya kumwaga damu, wenye chuki na tunakuwa na dini yenye watu wanaosisitiza upendo,mshikamano na kusameheana. hii imejengeka hivyo toka tangu na tangu.
na ndo maana ukimkuta mkristo ana ustaarab wake, ukimkuta muislamu ana ustaarab wake, ukimkuta baniani ana ustaarab wake. kwa sababi dini zinakuwa zinamjenga mtu mentally ,spiritually na hata emotionally. so kuna watu wana hulka flan kulingana na imani za dini zao ni saikolojia tu. malezi na makuzi au wanayoaminishwa.
mimi ninachosema kila siku tusijenge kuwa na tabata linaloamini lenyewe siku zote halina jema, na tusijenge tabata ambalo ni lalamishi miaka yote. kama John ataua mtu kwa kisingizio flan asisemwe mkristo ameua kwa sababu ukristo unakataza kuua kwa kigezo chochote kile(labda sasa iwe ni kuwa likuwa akipambana) but si kuwa eti Kristo ametukanwa basi huyu John Mkristo Mpumbavu akasema kwa kuwa wamemtukana Yesu basi anaenda kuwalipua. Huo si Ukristo.
nachotaka kusema ni nini? Hakuna Utawala wa kikristo duniani..popote pale. ila wapo watawala wenye majina ya Kikristo. Ukristo si jina au kwenda tu kanisani. Mimi sijui kama Nyerere alikuwa mfuasi wa Kristo. sijui kama mwishowe alikuja kutubu kwa mabaya aliyotenda kama binadamu.
But siwezi mtetea Nyerere au mshambulia kwa sababu ni mkristo. hali kadhalika siwezi Mtukana X kwa sababu ni Muslamu nikasema hafai kabisa kwa kigezo cha uislamu. ntakuwa MPUMBAVU nami naogopa kuwa mpumbavu.
Nyerere anapingwa hata na wakristo katika mambo kadhaa. Tumekuwa na Marais goi goi lakini sitaki kuamini ni kwa sababu ya dini zao. tumekuwa na marais/rais hopeless lakini staki kuamini ni kwa sbab ya dini yake.
Huwa nawatizama wanozungumzia dini na nawashangaa maana mafisadi ni hawa hawa akina john,mohamed,ali,frank,fatma,stella. hawa hawa huenda kanisani na misikitini. na hawa hawa hutumia viambaza hivyo kwa manufaa yao kisiasa nasi kwa kufunikwa na udini tunakuja hapa na kuwafanya mashujaa.
Prof kighoma malima amelifanyia nini Taifa hili? mbali na yeye kuwa muislamu? kalifanyia nini taifa hili? au ni zile zile story za kwnye vijiwe vya kahawa na kashata?
mi napenda uendelee na moyo huu huu . na pia kuna mengi ambayo naweza nikakupa dondoo uandikie kuwasidia "ndugu" zangu wa kiislamu. nashukuru mimi nina upande wa dini zote mbili kwa baba na kwa mama. so nafaham mambo haya na hulka ya dini hizi kwa kiasi kikubwa sana.
Shimba...Maandishi yako yote ambayo nimeshawahi kuyaona japo unajaribu sana kuyapamba na kuyavika vazi la "unofficial history" lakini the common theme ni ile ile: kuonyesha jinsi waislamu walivyoonewa na kuteswa na Nyerere na mfumo wake wa kikristo. Wachache wasioelewa hasa lengo lako ni nini huwa wanakusifia.
Mtu unavumilia mpaka mwishowe unafika mwisho na inabidi useme tu ukweli liwalo na liwe. Yes wewe ni mtu hatari na acha tu waendelee kukuchekea waone utakakowafikisha. Unaweza kuniambia lengo lako la hizi porojo za siku za mwisho za Kighoma Malima ni nini kama siyo ku-implicate kwamba aliuawa na Nyerere? Ukiambiwa utoe ushahidi utaweza? Chuki, chuki na kujaribu kuchochea mioto ambayo wala haikuwahi kuwaka.
You, sir, are not a muslim scholar, an intellectual or an investigate historian. On the contrary you are just an angry person and a religious fanatic full of hatred. There I said it! That's who you are hata ujifiche vipi lengo lako na theme-mama katika maandishi yako itakutosa tu.
By the way, sikujua kama Taliban ni sifa mbaya kwa watu kama wewe. Sorry for that ma braza.
Ww mwenyewe unapotosha nduguzako fulani ktk imani.
Unaongelea habari za vibanda vya kangara na chimpumu hapari za kipuuzi eti prof malima alipewa pesa za kuharibu amani ya tz hizi ni habari za walevi wa pombe za bei rahisi.
Tumezoeya kusikia upuuzi kama hu wako kunawakati mulikuja nahabari kuwa mzee malechela kasilimu na kapewa pesa na nchi fulani ya kiislam asilimu na agombee urais.
Kunawakati mukasema kuna silaha bandrini zimeingizwa na waislam kupitia cuf kuharibu amani ya tz.
Kila siku munaanzisha upuuzi kuchafuwa waislam.
Ww unahaki ya kutafri jambo unavyo penda na ufahamu tafsiri zipo mbili ipo tafsiri mbaya na ipo tafsiri nzuri.
Inategemea ww mwenyewe una uwezo gani wa kupambanua jambo.
Kama hivi ulivyo amua kila bandiko na andiko la mzee muhamed umeamua kulitafsiri vibaya huo ni uwamuzi wako.
Ingawa tupo tunaona nia ya mabandiko na maandiko ya mzee muhamed ni kutuelimisha na kutufahamisha yale tusiyo yajua.
Na siamini kama ktk marais wote waliotuongoza kama kuna rais goi goi kama unavyo amini ww.
Mm naamini mwalimu jkn alifanya kila awezalo kuisogeza mbele tz halikadhalika mzee mwinyi mzee mkapa mzee kikwete na sasa rais magifuli.
Naufaham kuwa mzee muhamed na sisi waislam tunaposema jambo sio kuwa tunalalamika kama tafsiri zako zilivyo mbaya.
Sisi ni jamii kama jamii zingine ktk nchi iliyo huru kuelezea lile linano kukwaza au lile unalo lijua kwa faida ya wasio lijua au kuwatambulisha wale wanaostahiki kulitatua.
Lakini kwakuwa ww umeshajitengezea imani mbaya kuwa waislam ni jamii inayopenda kulalamika sina kauli ya kukuambia kama sisi waislam sio walalamishi na zaidi ni jamii yenye upendo yenye subira na amani.
Nahili la upendo na subira na amani nina ushahidi nalo mkubwa.
Mfano mdogo tu angalia uhalifu wa sehemu wanazo ishi waislam na sehemu wansoishi wasio waislam utaamini haya ninayo sema...
On Sunday 17 July, 1995, 37 years since TANU held its 1958 annual meeting in Tabora the meeting which paved the way to independence, Prof. Malima addressed a big rally at Uyui grounds. The Tabora meeting would be remembered for its achievement. It managed to put into Legislative Assembly Julius Nyerere, Chief Abdallah Said Fundikira, John Ketto, Nesmo Eliufoo, John Mwakangale, Lawi Sijaona and Paul Bomani. It was in Tabora that Nyerere shed tears because of oppression of which Tanganyikans were being subjected to by the British. Nyerere said if the British did not want to set Tanganyikans free he would direct his anguish to God. Before Prof. Malima spoke Bilal Waikela mounted the platform dressed in his prison uniform which he wore thirty years ago when he was detained by Nyerere for resisting Christian hegemony. He reminded the people of Tabora that he was detained by Nyerere for reminding him of the cherished ideals of TANU the party they had formed and built together in order for Africans of Tanganyika to be free from all forms of oppression. Waikela told his audience that and he was now returning to politics to seek for that equality and justice denied.
Prof. Kighoma Ali Malima 1985
Prof. Malima announced his resignation from the CCM at the Uyui meeting. Prof. Malima told his audience that that oppression which made Nyerere shed tears while giving a speech to members of TANU and the people cried with him at the Tabora Central Market was still prevalent 37 years after the tears had long dried. Prof. Malima told his audience that he was resigning from the CCM because, he said, the party has deviated from its cherished ideals of justice and equality and had established classes. He was resigning and joining the opposition in order to fight for equality among all the people in Tanzania.
Bilal Rehani Waikela
That Sunday night NRA National Conference was held and Prof. Malima was elected Chairman and Abubakar Olotu secretary of NRA. What had taken place in Dar es Salaam Airport repeated itself in Tabora Railway Station. NRA had booked a wagon for its delegates travelling back to Dar es Salaam and had paid for it in advance. But when they arrived at the railway station, they were told that no wagon has been allocated to them. The press had the chance to correct their earlier story that Prof. Malima had planned to announce his resignation from the mosque but it did not do so. The propaganda machinery wanted people to believe that Prof. Malima was unable to do so because Muslims did not allow him to mix “religion and politics.”
Soon after returning from Tabora Prof. Malima travelled to Mecca and from there he went to London. Meanwhile NRA was preparing for a big welcome of Prof. Malima which would be followed by a meeting of Dar es Salaam Elders in which he would tell them why it was necessary for him to resign so that they charter a new course which would ensure justice and equality to all. This meeting would have been followed the next day with a meeting with foreign journalists at Kilimanjaro Hotel Prof. Malima died in London on Friday night the 4 August, three weeks after resigning from CCM and announcing he was standing as s presidential candidate under NRA. On 9th August, Prof. Malima’s body was flown back to Dar es Salaam for burial. The government took upon itself to take over the funeral on what it said was Prof. Malima’s “commitment in serving the country diligently and honestly.”
(Excerpts from ''Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania'') unpublished.
***In 1998 I published my book ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.'' I dedicated the book to the memory of Prof. Malima:
Julius Nyerere
Mtazamo wako na melezo yako tu yanakuonyesha vipi ktk moyo na nanafi yako ilivyo.Tumewah kuwa na Rais Goi Goi hilo wala halina kificho na kuna wabunge wameshawah mpaka kusema kwa uwazi kuwa kuna rais flan ni dhaifu/goi goi na ndiye aliyelea mafisadi na kuifisadi nchi hii. Benny Mkapa alianza vizuri kabla ya yeye pia kuwa fisadi na kujiuzia mali za taifa hili kwa bei mchekea. mwinyi pia alikuwa na ugoi goi huyu aliongozwa na mkewe na kipindi hicho madawa ya kulrvya yalipamba moto nchini. pamoja na wanyama kuuzwa..rejea loliondo gate. nyerere wasnt a saint pia. but at least hakuliibia hili taifa yeye kma yeye. lakini hakuwa malaika.
kikwete ktk wote ni worst.
huyu china wangemuua tu. but nadhan sisi tumfanyie roho ya msamaha. malecela hakuwah kuwa mwanasiasa kipenz kwangu. na sijui kma alikuwa mkristo kuitwa john au ali haimaanish mtu anafata mising ya dini hiyo. so tuihukumu dini kwa misingi ya iman yake.
kma dini inahalalisha kuua hiyo ni ya kishetani maana shetani ni muuaji number 1. kma dini inasambaza CHUKI HIYO NI YA KISHETANI na aya zinazobariki hilo ni za kishetani.
kuna iman ni lalamishi dunia nzima. IMANI HII INALALAMIKA MIAKA NA MIAKA....DUNIA NZIMA inaonewa kitu ambacho hata wapagan tu hawafanyi. iman hii hta kwenye nchi inzoongoza inalalamika.
mi nadhan sasa tujikite kwenye mambo yenye manufaa. elimu na uchumi. shika dini yako na itumie kwa maisha bora kwa jamii yako.usihatarishe maisha ya mwenzako sababu ya dini yako au yake.
Mtazamo wako na melezo yako tu yanakuonyesha vipi ktk moyo na nanafi yako ilivyo.
Maneno yoko machache mzuri ni kichaka cha uhalifu wa moyo wako.
Sina neno zuri la kukufahamisha zaidi ya kukuombea dua ubadili moyo wako na mitazamo yako michafu.
"Katika nchi nyingi, Wazayuni hawana haja ya kuweka taasisi za muundo mwingine bali wanapenyeza watu wao au kuwa na maajenti katika mashirika ya nchi husika na huwa na mamlaka ya kuendesha mambo watakavyo. Kwa mfano, CIA iko mikononi mwa Wazayuni ikipokea malekezo na mikakati toka Israel. Isiajabishe kusikiya kuwa Umoja wa Mataifa ni miongoni mwa vyombo ambavyo kupitia kwavyo Wayahudi wanatimiza malengo yao ya kijasusi kimataifa.
Mwanasiasa, kiongozi au mwanataaluma yeyote anayekwenda kinyume na watakavyo majasusi wa dunia huhatarisha maisha yake, mfano mmojawapo ni wa hapa Tanzania. Aliyekuwa waziri wa elimu, baadaye mipango, kisha fedha marehemu Profesa Kighoma Malima aliondolewa uwaziri wa mipango kwa kuwa hakuwa tayari kupokea sera za kinyonyaji kutoka kwa majasusi wa dunia katika kile kilichoitwa kufufua uchumi wa mataifa hasa ya ulimwengu wa tatu. Ili kumuua kisiasa na kitaaluma, majasusi wa kimataifa waliwatumia maajenti wao hapa nchini.
Kazi iliyofanywa na maajenti hao ilikuwa kumpiga vita kupitia magazeti ndani na nje ya nchi. Maajenti hao wakati huo huo walitumia fursa hiyo kufanikisha mipango yao dhidi ya mwanataaluma huyo ambaye kwa wakatoliki alitazamwa kama kikwazo cha masilahi ya kanisa lao wakati huo. Silaha walizotumia zilikuwa udini na uendeshaji vibaya uchumi wa nchi akiwa kama Waziri wa elimu, wa mipango na baadaye wa fedha. Mwaka wa 1995 iliandikwa makala katika jarida moja kuwa Prof. Malima alikuwa mshiriki katika njama za kuingiza silaha nchini zitumike na “waislamu wenye siasa kali” ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu.
Wakati ikiandikwa makala hiyo Askofu Polycarp Pengo wa Kanisa Katoliki alisema kuwa Prof. Malima alikuwa mtu hatari ambae ni lazima ashughulikiwe. Karibu mashirika yote ya Umoja wa Mataifa ni nyenzo ya kutimizia maslahi ya majasusi wa kizayuni duniani kote na Wazayuni wanauona Umoja wa Mataifa na mashirika yake kama ndivyo vyombo muafaka kabisa vya kutimiza malengo yao. Mwanasheria mashuhuri wa Kiyahudi wa Mjini New York, Henry Klein, alielezea mambo haya haya katika kitabu chake kilicho wazi kabisa, Mazayuni wanaotawala dunia (Zions Rule the World, New York, 1948) ameandika: Umoja wa Mataifa ni Uzayuni. Ni serikali kuu iliyotajwa mara nyingi katika protokali za wanazuoni wakongwe wa Kiyahudi zilizotangazwa rasmi kati ya mwaka 1897 na 1905. Bila kuangalia mawanda ya dunia, mabavu (nguvu za ziada) yanayofanya kazi ulimwenguni pamoja na kuangalia ukubwa wa tatizo, basi hakuna tiba itakayopatikana na hivyo ufumbuzi utabaki kuwa mgumu. Wakati zielezwapo nguvu na hila za Wazayuni dhidi ya ulimwengu wa Waislamu, haina maana kuwa hili ndilo tatizo pekee linalowakabili Waislamu hivi leo. Ila tu hakuna namna ya kuukanusha ukweli kuwa kazi inayofanywa na Wazayuni ndiyo hatari kubwa kwa jamii ya Waislamu popote pale walipo. Matatizo mengineyo ni matokeo tu ya sera zinazotekelezwa na (mtandao wa) Uyahudi wa kimataifa.
Wasusi wa mipango ya Wazayuni ni mahodari kweli kweli wa kutekeleza programu yao Duniani kote ikiwa ni pamoja na nchi za Waislamu, ambapo wao hushughulika na kazi ya “kuzalisha” migogoro kwa mpangilio uliotafakariwa barabara. Kwa kweli mbinu yao hii huwa na athari za chinichini mno na ule upeo wa malengo ni wa jumla, kiasi kwamba ni watu werevu na makini tu ndio wanaoweza kuuona mzizi".
Nukuu kutoka kwenye mswaada wa kitabu
changu kinachohusu ujasusi.