The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

Sijalalama mkuu,hizo link ukizifungua hamna jipya nimezifungua sana kwenye mabandiko mengine humu ni yaleyale ya siku zote so kusema nizifungue tena ni kupoteza muda na kuchosha akili ndo mana nikahitimisha kumshauri mzee wetu kwamba,kwa sifa ya utunzi aliyonayo ingependeza zaidi kama akajikita kuandika vitabu viakavyosomwa na jamii nzima ya wa-Tanzania sio kama hivi anavyopigania kutugawa,huyu ni hazina kwa taifa but halitendei haki taifa letu,kwamba anaitumia kalamu yake vibaya.
Sir Mimi,
Wewe unaweza kuwa kweli umenisoma sana kwa hiyo kwako
hakuna lazima ya kuzifungua ''link'' ambazo ushazisoma.

Lakini kuwa wengine leo ndiyo mara yake ya kwanza kunisoma.
Hawa ndiyo ninaowakusudia na kuwawekea hizo ''link.''

Mimi sijamgawa yeyote.

Ikiwa unataka kuijua historia hii ya kuligawa taifa hili hebu msome:
P van Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).
 
Hiki kizee kinafiki kimejaa uzandiki na udini
Kizeze,
Mimi ni Mzee kesho nafikisha miaka 64.
Kizee Allah akipenda nitafika.

Lakini nilikuwa kijana.
Picha ya juu niko London 1991 ya chini niko Paris 1993:

ME%252520A%252520TOWER%252520BRIDGE%252520LONDON%2525201992.jpg


20151026_133314.jpg


Kizeze,
Mimekuwekea picha hizo hapo juu ili nikufunze adabu.
Pili nikufunze kumshukuru Mungu.

Angalia alikonitoa Allah katika umri mdogo wa ujana hadi
leo ''kizee.''

Ili Allah anipe alotaka kunipa ilibidi anipe umri.

Uzee kwako ni tusi na kitu cha kubeza.
Uzee kwangu ni shukurani na heshima.

Huenda mimi ni sawa na baba yako lakini umeshindwa kuonyesha
adabu.
 
Nashkuru Mzee wangu mohamed SAID nimekupata uzuri,ila natamani siku moja mwanangu aje asome kitabu imma cha hadithi au chochote ulichoandika kwa manufaa ya Jamii nzma ya kiTanzania.Kila la kheri Sheikh.
 
Hizi historia kila siku ni Nyerere tu na uislamu ,sawa alifanya makosa ,ila Mwinyi alipochukua kiti kama Rais alifanya nini kuondoa Makosa ya Nyerere na uislamu ??
Mohammed kabakia kwenye narrow mindset.. afadhali hata Yericko kajaribu kupanua wigo wa uelewa na taarifa

Shida yangu na MOhammed ni moja tu... much as he is a good narrator, ana chuki mno na hawezi kuificha. huwezi kukuta hata sehemu moja anakupa the otehr side of story
 
Nashkuru Mzee wangu mohamed SAID nimekupata uzuri,ila natamani siku moja mwanangu aje asome kitabu imma cha hadithi au chochote ulichoandika kwa manufaa ya Jamii nzma ya kiTanzania.Kila la kheri Sheikh.
Sir Mimi,
Nimeandika kitabu ambacho kimekuwa mashuhuri kwenye vyuo vikuu
vingi Ulaya na Marekani.

Kitabu hiki ni ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 -1968)
The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism
in Tanganyika,'' Minerva Press, London 1998.

Ikiwa hujasoma kitabu hiki kisome.
 
Mohammed kabakia kwenye narrow mindset.. afadhali hata Yericko kajaribu kupanua wigo wa uelewa na taarifa

Shida yangu na MOhammed ni moja tu... much as he is a good narrator, ana chuki mno na hawezi kuificha. huwezi kukuta hata sehemu moja anakupa the otehr side of story
Janjaweed,
Utanisaidia ikiwa utanieleza unataka ''which other side of the story.'

Try me.
 
Mzee Mohammed Said licha ya umri wako kuwa mkubwa bado upo mbele kwenye matumizi ya technolojia. Unatuzidi vijana wengi humu. Unaweza kujibu kila comment ya mtu. Lipumba anawaita BBC nyie lakini naona kwako ni kama kinyume chake. Mimi nakuweka wew kwenye kundi la BAC. Born Before Computers and Born After computers respectively, ufafanuzi wa vifupisho
 
Kighoma Malima,, wat is the cause of his death?
Ask Jakaya Mrisho Kikwete who was assigned Prof Malima follow up after his resignation from CCM. Don't forget how much money did he take from the late Malima's luggage
 
Mzee Mohammed Said licha ya umri wako kuwa mkubwa bado upo mbele kwenye matumizi ya technolojia. Unatuzidi vijana wengi humu. Unaweza kujibu kila comment ya mtu. Lipumba anawaita BBC nyie lakini naona kwako ni kama kinyume chake. Mimi nakuweka wew kwenye kundi la BAC. Born Before Computers and Born After computers respectively, ufafanuzi wa vifupisho
Ngalikivembu,
Nimeishika computer kwa mara ya kwanza shule Uingereza
miaka mingi sana iliyopita.
 
Shimba,
Tunaweza tukajadiliana kiungwana hapana haja ya kutukanana.
Huu ni mjadala tu kila mtu anajaribu kueleza kile anachokijua.

Haya ya Nyerere na kujifunga mabomu inaonyesha umekasirika.

Ukinisoma mimi mara moja huwezi kuona nilichoandika ukapita
wima.
Zingatia ushauri huo wa mabomu. Utakusaidia!
 
Phillemon Mikael,
Nimekusoma lakini uliyosema yanapingana na niyajuayo mie kutoka vyanzo tofauti.

Tatizo vyanzo vyako vyote vina mlengo wa udini udini, unadhan ukweli unaupataje!!
 
Zingatia ushauri huo wa mabomu. Utakusaidia!
Shimba...
Hutoweza kamwe kushindana na mimi katika mjadala.
Si kama mimi ni hodari sana.

Hapana.

Mimi nimesomeshwa adab za mnakasha na Maalim Haruna
madrasa.

Akisema ukiona mtu anarudiarudia yale kwa yale maji nyayo
kwa futi jua ushamshinda.

Ukiona mtu anaghadhibika katika mjadala na ana lugha kali jua
pia ushamshinda.

Akisema mwepuke mtu asiyekuwa na adab katika mnakasha kwa
kuwa huyu atakuvunjia heshima yako.
 
Tatizo vyanzo vyako vyote vina mlengo wa udini udini, unadhan ukweli unaupataje!!
Bill,
Hakika mimi nimejikita zaidi katika Uislam.

Hata kitabu changu cha Abdul Sykes category yake katika
Library of Congress, Washington ni Politics/Islam.

Ukweli si ule anaoandika mwandishi.

Ukweli utaupata wewe msomaji kwa kukihangaisha kichwa
chako.
 
Ninashindwa kuelewa kwa nini maadui wa Dr Dau wameshindwa kujenga hoja kuhusu utendaji wake pale NSSF na wamejikita zaidi kwenye kumtuhumu kuwa ni Mdini

Sasa naomba mwenye ushaidi kuhusu Udini kwenye ajira au vinginevyo auwasilishe hapa tuu chambue

Wakati huo huo mimi ninaweka wazi mashirika mengine ya Umma kisha tutajua wapi kuna udini na wapi hakuna huo udini

udini-10-png.325342
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-8-png.325344
udini-7-png.325345
udini-6-png.325346
udini6-png.325347
udini-5-png.325348
udini6-png.325347
udini-6-png.325346
udini-4-png.325349
udini-3-png.325350
udini-2-png.325351
udini-png.325352
udini-png.325352


ReportE
 
Ninashindwa kuelewa kwa nini maadui wa Dr Dau wameshindwa kujenga hoja kuhusu utendaji wake pale NSSF na wamejikita zaidi kwenye kumtuhumu kuwa ni Mdini

Sasa naomba mwenye ushaidi kuhusu Udini kwenye ajira au vinginevyo auwasilishe hapa tuu chambue

Wakati huo huo mimi ninaweka wazi mashirika mengine ya Umma kisha tutajua wapi kuna udini na wapi hakuna huo udini

udini-10-png.325342
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-8-png.325344
udini-7-png.325345
udini-6-png.325346
udini6-png.325347
udini-5-png.325348
udini6-png.325347
udini-6-png.325346
udini-4-png.325349
udini-3-png.325350
udini-2-png.325351
udini-png.325352



ReportE
AbasMzee,
Ahsante sana.
 
Ninashindwa kuelewa kwa nini maadui wa Dr Dau wameshindwa kujenga hoja kuhusu utendaji wake pale NSSF na wamejikita zaidi kwenye kumtuhumu kuwa ni Mdini

Sasa naomba mwenye ushaidi kuhusu Udini kwenye ajira au vinginevyo auwasilishe hapa tuu chambue

Wakati huo huo mimi ninaweka wazi mashirika mengine ya Umma kisha tutajua wapi kuna udini na wapi hakuna huo udini

udini-10-png.325342
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-10-png.325342
udini-9-png.325343
udini-8-png.325344
udini-7-png.325345
udini-6-png.325346
udini6-png.325347
udini-5-png.325348
udini6-png.325347
udini-6-png.325346
udini-4-png.325349
udini-3-png.325350
udini-2-png.325351
udini-png.325352
udini-png.325352


ReportE
Hapa sasa ungeweka na kiambatanishi cha wakuu wa nssf. Lakini pia kinacholalanikiwa pale nssf sio tu hao top leaders bali hadi wafanyakazi wa kawaida. Na tumepita sana pale kwenye interview. Ushahidi wa hilo hauhitaji mabishano. Mimi sipendi sana kujikita kwenye dini bali uwezo. Lakini kwa nssf nimebloo mapigo na nilikubali udini upo. Alichukuliwa classmate wangu pale na tulienda kwenye interview wote. Kiukweli unaweza kuona wazi kwa nini Alichukuliwa nikaachwa mimi. Rafiki yangu mwingine ambaye ni mkristu alichukuliwa kwa kigezo cha kucheza mpira tu kwani mnajua nssf huwa wana mashindano ya mpira na wana habari. Walimjua kabla aliwahi kuwachezea kwenye timu yao tukiwa wanafunzi. Na ikifika mchana au ijumaa ofisi nyingi ukienda mchana hivi huwakuti utaambiwa wameenda masjid. Hadi unashangaa inakuwaje ofisi nzima robo tatu ni wa dini moja!!
 
Tanzania ina watu zaidi ya Mil 40 humu wapo watu wa kila aina . MAGAIDI,MAJAMBAZI,WATU WEMA,WEZI,MAJINI/MAPEPO/MASHETANI NA HATA MALAIKA. Wapo wapumbavu,wajinga,vichaa,wanafiki,waongo,watu wema,wakarimu,walalamishi,wenye ujasiri,watendaji,watu wa maneno n.k kila kundi lipo humu nchini.
Leo hii nikianzisha harakati za kumtetea shetani na majini yake nitapata wafuasi wengi watakaoniunga mkono na nitaeleza namna ambavyo shetani anasingiziwa kila kitu,alivyonyanyaswa,wanavyosema vibaya na hata majini ntakwambia ni mazuri yana msaada mengine marembo/handsome ,yanatoa utajiri n.k na nitapata wafuasi wengi sana. watakaonambia nibarikiwe na pia nipewe maisha marefu maana napigania haki zao. nitaitwa hata kwenye radio na tv na nitakula au nitapata pesa kwa njia hii ili mradi nidumu tu kwenye msimamo wangu.

so ndugu yangu said mohamed naye amechagua fungu lake ili apate jukwaa au aweze kujiambatanisha na kundi flan kwenye fasihi tunaita sponsorship. na anatumia haki yake kikatiba vizuri tu. mimi siwezi mlaumu hata. bila hivyo mohamed said asingefahamika kamwe. nami namuunga mkono kuwa wakristo wamewakandamiza sana waislamu. na ndo maana waislamu wengi hawakupata elimu maana wazungu wengi walikuwa wakianzisha shule kila walipofungua makanisa na waarabu nao walifanya hivyo na zaidi sema nyerere akaja kuzipora zile shule akawapa wakristo.

wakristo hawa hawa wao wapo busy na kugombania kuchinja wakati wenzao wa dini nyingine si issue sana wanataka watoto wao waende kusoma. mbaya zaidi miaka yote toka uhuru wanaotawala ni wakristo sema huwa wanajifanya wana majina ya kiislamu huu ni MFUMO KRISTO. miaka 10 ya mwinyi tukumbuke tulianzisha shule ngapi zinazomilikiwa na muslims, miaka 10 ya kikwete pia tujiulize tumeanzisha vyuo vingapi? ok tusijiulize hayo maswali magumu. tuangalie kwa upande wa zanzibar huko kwenye waislamu wengi na utawala wa kiislamu mambo yakoje? wabara wangapi wanaenda kusoma vyuo vya kule? kuna shule ngapi za maana zinazoweza endana na changamoto ya elimu ya miaka hii?

haya yote ni sababu ya mfumo kristo na ndo maana mimi humwelewa sana mohamed said. waswahili wanasema "usimlaumu mkwezi nazi imeliwa na mwezi" mimi naomba zaidi na zaidi mohamed said azid kutufumbua macho sisi tuone udhalimu huu wa mfumo kristo. maana wasingekuwepo wakristo tungewashambulia akina nani? sisi kwa sisi.... kwani kipindi kile tunawamwagia mapadre na wachungaji tindikali, na pia tunachoma makanisa kwa kuwa hatuyataki huko zanzibar ilikuaje? tulikuwa tunabagua tunawatenga hawa makafiri( wasiomwamini allah... na wakristo wanaongoza kwa kutokumwani allah hata uwaelekeze vipi watakwambia allah ni mwingine na Mungu wao ni mwingine. so hawa ni makafiri tu)
natamani siku moja nipate lau japo nafasi niweze nena naye bwana mohamed uso kwa uso, mintaarafu mimi namchukulia kama ndugu basi ni barka kubwa sana ndugu wakaapo pamoja kwa upendo na kuelekezana. kwa mafundisho nliyoyapata mimi kwa hii dini niliyopo isiyofaa inanikataza sana CHUKI, INANIKATAZA SANA KUMCHUKIA MTU. na inasema katika hili la UPENDO sipaswi kuchagua wa kumpenda na wa kumchukia maana nikifanya hivyo ntakuwa na tofauti gani nawale WANAFIKI? Nafundishwa kufanya kazi na kuacha manung'uniko. maana ni dhambi. kuacha fitina na uongo. najitahidi maana nami ni binadamu wakati mwingine natamani au kujaribiwa kuwa mnafiki maana unafiki siku hizi ndo unalipa sana.
anyway kama nlivyosema najitahidi. hivyo nikimsoma mohamed said na mashujaa wake naelewa. nikisikia mohamed said anataka kuzungumzia shujaa basi ntajua kwake shujaa ni nani ana ana kigezo gani. tofauti na mimi ambaye nlijifunza na kufundishwa na dini kuwa MTU ATAHUKUMIWA KWA MATENDO YAKE. na si kwa DINI YAKE. hivyo kama nitamkosoa mtu ntamkosa au kumsifu kwa sababu ya matendo yake.
mpaka leo hii nina marafiki waislamu,budha,wakristo,wasio na dini n.k nina mengi ya kujifunza toka kwao nao wakipenda wanaweza jifunza toka kwangu.
 
G
Tanzania ina watu zaidi ya Mil 40 humu wapo watu wa kila aina . MAGAIDI,MAJAMBAZI,WATU WEMA,WEZI,MAJINI/MAPEPO/MASHETANI NA HATA MALAIKA. Wapo wapumbavu,wajinga,vichaa,wanafiki,waongo,watu wema,wakarimu,walalamishi,wenye ujasiri,watendaji,watu wa maneno n.k kila kundi lipo humu nchini.
Leo hii nikianzisha harakati za kumtetea shetani na majini yake nitapata wafuasi wengi watakaoniunga mkono na nitaeleza namna ambavyo shetani anasingiziwa kila kitu,alivyonyanyaswa,wanavyosema vibaya na hata majini ntakwambia ni mazuri yana msaada mengine marembo/handsome ,yanatoa utajiri n.k na nitapata wafuasi wengi sana. watakaonambia nibarikiwe na pia nipewe maisha marefu maana napigania haki zao. nitaitwa hata kwenye radio na tv na nitakula au nitapata pesa kwa njia hii ili mradi nidumu tu kwenye msimamo wangu.

so ndugu yangu said mohamed naye amechagua fungu lake ili apate jukwaa au aweze kujiambatanisha na kundi flan kwenye fasihi tunaita sponsorship. na anatumia haki yake kikatiba vizuri tu. mimi siwezi mlaumu hata. bila hivyo mohamed said asingefahamika kamwe. nami namuunga mkono kuwa wakristo wamewakandamiza sana waislamu. na ndo maana waislamu wengi hawakupata elimu maana wazungu wengi walikuwa wakianzisha shule kila walipofungua makanisa na waarabu nao walifanya hivyo na zaidi sema nyerere akaja kuzipora zile shule akawapa wakristo.

wakristo hawa hawa wao wapo busy na kugombania kuchinja wakati wenzao wa dini nyingine si issue sana wanataka watoto wao waende kusoma. mbaya zaidi miaka yote toka uhuru wanaotawala ni wakristo sema huwa wanajifanya wana majina ya kiislamu huu ni MFUMO KRISTO. miaka 10 ya mwinyi tukumbuke tulianzisha shule ngapi zinazomilikiwa na muslims, miaka 10 ya kikwete pia tujiulize tumeanzisha vyuo vingapi? ok tusijiulize hayo maswali magumu. tuangalie kwa upande wa zanzibar huko kwenye waislamu wengi na utawala wa kiislamu mambo yakoje? wabara wangapi wanaenda kusoma vyuo vya kule? kuna shule ngapi za maana zinazoweza endana na changamoto ya elimu ya miaka hii?

haya yote ni sababu ya mfumo kristo na ndo maana mimi humwelewa sana mohamed said. waswahili wanasema "usimlaumu mkwezi nazi imeliwa na mwezi" mimi naomba zaidi na zaidi mohamed said azid kutufumbua macho sisi tuone udhalimu huu wa mfumo kristo. maana wasingekuwepo wakristo tungewashambulia akina nani? sisi kwa sisi.... kwani kipindi kile tunawamwagia mapadre na wachungaji tindikali, na pia tunachoma makanisa kwa kuwa hatuyataki huko zanzibar ilikuaje? tulikuwa tunabagua tunawatenga hawa makafiri( wasiomwamini allah... na wakristo wanaongoza kwa kutokumwani allah hata uwaelekeze vipi watakwambia allah ni mwingine na Mungu wao ni mwingine. so hawa ni makafiri tu)
natamani siku moja nipate lau japo nafasi niweze nena naye bwana mohamed uso kwa uso, mintaarafu mimi namchukulia kama ndugu basi ni barka kubwa sana ndugu wakaapo pamoja kwa upendo na kuelekezana. kwa mafundisho nliyoyapata mimi kwa hii dini niliyopo isiyofaa inanikataza sana CHUKI, INANIKATAZA SANA KUMCHUKIA MTU. na inasema katika hili la UPENDO sipaswi kuchagua wa kumpenda na wa kumchukia maana nikifanya hivyo ntakuwa na tofauti gani nawale WANAFIKI? Nafundishwa kufanya kazi na kuacha manung'uniko. maana ni dhambi. kuacha fitina na uongo. najitahidi maana nami ni binadamu wakati mwingine natamani au kujaribiwa kuwa mnafiki maana unafiki siku hizi ndo unalipa sana.
anyway kama nlivyosema najitahidi. hivyo nikimsoma mohamed said na mashujaa wake naelewa. nikisikia mohamed said anataka kuzungumzia shujaa basi ntajua kwake shujaa ni nani ana ana kigezo gani. tofauti na mimi ambaye nlijifunza na kufundishwa na dini kuwa MTU ATAHUKUMIWA KWA MATENDO YAKE. na si kwa DINI YAKE. hivyo kama nitamkosoa mtu ntamkosa au kumsifu kwa sababu ya matendo yake.
mpaka leo hii nina marafiki waislamu,budha,wakristo,wasio na dini n.k nina mengi ya kujifunza toka kwao nao wakipenda wanaweza jifunza toka kwangu.
GuDume,
Nimekusoma na kwa hakika umenitaja sana.
 
Kahollya,
Why the anger, insults and threats?
Let us debate:

Betrayal of Ideals
On 5 th November, 1985, before he stepped down as president, Nyerere delivered an emotional speech to elders of Dar es Salaam. Most of them were former members of TANU-the townsman who supported Nyerere during the struggle for independence[1] Nyerere acknowledged the role of Muslims in those difficult days. Nyerere told his audience that the imbalances between Muslims and Christians which his government had inherited from the British were rectified under his rule:

''And they (Muslims) gave us chance through our education policies, to correct the imbalances which we have done. I am now in the happy position of sometimes not knowing whether a new member of Parliament, a Minister, or a Principal Secretary in our government ministries, is a Muslim or a Christian or neither unless their first name happens to give it away. And even that is not a sure guide in Tanzania, for we have Christians with Muslim names, Muslims with Christian names. This religious tolerance and freedom is your creation; what I have done is to speak up for those values on your behalf. [2]''​


The speech was a farce. The truth is that three decades after independence Muslims are not better off than they were under colonialism. Sivalon has revealed that the Church has been able to create its own lobby which controls 75% of the seats in the parliament. Among these seats 70% are held by Catholics and the rest are divided among Muslims and Christian denominations.[3]

(From: ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' Minerva Press, London 1998.

[1] See footnote no.19.

[2] Daily News, 6 th November, 1985

[3] Sivalon, op.cit. p. 49.
So what why debate the past...elimu dunia umeikataa na kuwashauri wengi wenu kuipinga lakini ndo inayokufanya u survive na kuitumia kueneza ujinga wako. Said bora ukalime maana unatumia ushawishi usiyo kuwa na tija...ajenda yako ni kuiaminisha dunia kuwa waislamu wamekuwa wahanga wa utawala wa Nyerere...kitu hiki siyo kweli...mpaka leo performance yenu waislamu mliowengi ni doubtful kila nyanja...mfao kikwete na magufuli ni nani amekuwa rais bora? utamduni wenu na uislamu wenu ndo kikwazo wala msisingizie watu wengine kama Baba wa taifa. ...soma kwa makini vitu unavyoviandika na kwa watu wenye akili ndogo kama waislamu ndi wanaweza kuviamini..rhetoric only understood by iliterate people.. utaeleweka zaidi kwa waislamu wenzio tena waliyokataa ellimu dunia na leo wanaishi kulaumu wengine...elimu ya madrasa ni upuuzi ikiwa haitalenga wakomboa kifikra...unahitaji ukombozi ndugu...
 
Back
Top Bottom