The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

So what why debate the past...elimu dunia umeikataa na kuwashauri wengi wenu kuipinga lakini ndo inayokufanya u survive na kuitumia kueneza ujinga wako. Said bora ukalime maana unatumia ushawishi usiyo kuwa na tija...ajenda yako ni kuiaminisha dunia kuwa waislamu wamekuwa wahanga wa utawala wa Nyerere...kitu hiki siyo kweli...mpaka leo performance yenu waislamu mliowengi ni doubtful kila nyanja...mfao kikwete na magufuli ni nani amekuwa rais bora? utamduni wenu na uislamu wenu ndo kikwazo wala msisingizie watu wengine kama Baba wa taifa. ...soma kwa makini vitu unavyoviandika na kwa watu wenye akili ndogo kama waislamu ndi wanaweza kuviamini..rhetoric only understood by iliterate people.. utaeleweka zaidi kwa waislamu wenzio tena waliyokataa ellimu dunia na leo wanaishi kulaumu wengine...elimu ya madrasa ni upuuzi ikiwa haitalenga wakomboa kifikra...unahitaji ukombozi ndugu...
Kahollya,
Huna sababu ya kunitukana kwani mimi sijakutusi.

Nilichofanya nimenyambua kurasa kwenye kitabu cha Prof. Malima ninachoandika.
na kukiweka hapa.

Why debate the past?
Why not?

Elimu dunia tumeikataa?
Umepata wapi hiyo?

Au hujui kuwa Waislam walitaka kujenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 chini ya EAMWS
na jiwe la msingi likawekwa lakini mradi ukahujumiwa kwa Nyerere kuipiga marufuku
EAMWS?

Ukipenda kujijua historia hii nifahamishe.
Mimi naeneza ujinga!

Mimi nimechapwa na Oxford University Press mara kadhaa na vitabu vyangu vinasomwa
kote.

Au hujui hili?
Nalo ungependa nikuwekee hapa nimeandika nini?

Sasa jikague mimi na wewe mjinga ni nani?
Wewe umejaa matusi matupu na ushahidi ni hii post yako ninayojibu.

Elimu ya madrasa ni upuuzi...
Hii umepata wapi?

Mimi ni zao la elimu hiyo na wala si mpuuzi.

Wewe mwenye hiyo elimu isiyo ya madrasa uko humu unatoa matusi na lugha zisizo pendeza.

Hebu jipekue tena ujitazame hiyo elimu unayoisifia imekufaa nini.

Je ungependa nikupe historia ya waliosoma elimu ya madras akina Sheikh Hassan bin Amir,
Iddi Faizi Mafongo, Sheikh Sulieman Takadir, Sheikh Mohamed Ramia
na wengine
wengi unajua hawa ndiyo waliopigania uhuru wa Tanganyika bega kwa bega na Nyerere
na ndiyo walioijenga TANU?

Usiwe mtu wa kuropoka ovyo.
Tuliza kichwa chako soma na jifunze adabu.
 
Kahollya,
Huna sababu ya kunitukana kwani mimi sijakutusi.

Nilichofanya nimenyambua kurasa kwenye kitabu cha Prof. Malima ninachoandika.
na kukiweka hapa.

Why debate the past?
Why not?

Elimu dunia tumeikataa?
Umepata wapi hiyo?

Au hujui kuwa Waislam walitaka kujenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 chini ya EAMWS
na jiwe la msingi likawekwa lakini mradi ukahujumiwa kwa Nyerere kuipiga marufuku
EAMWS?

Ukipenda kujijua historia hii nifahamishe.
Mimi naeneza ujinga!

Mimi nimechapwa na Oxford University Press mara kadhaa na vitabu vyangu vinasomwa
kote.

Au hujui hili?
Nalo ungependa nikuwekee hapa nimeandika nini?

Sasa jikague mimi na wewe mjinga ni nani?
Wewe umejaa matusi matupu na ushahidi ni hii post yako ninayojibu.

Elimu ya madrasa ni upuuzi...
Hii umepata wapi?

Mimi ni zao la elimu hiyo na wala si mpuuzi.

Wewe mwenye hiyo elimu isiyo ya madrasa uko humu unatoa matusi na lugha zisizo pendeza.

Hebu jipekue tena ujitazame hiyo elimu unayoisifia imekufaa nini.

Je ungependa nikupe historia ya waliosoma elimu ya madras akina Sheikh Hassan bin Amir,
Iddi Faizi Mafongo, Sheikh Sulieman Takadir, Sheikh Mohamed Ramia
na wengine
wengi unajua hawa ndiyo waliopigania uhuru wa Tanganyika bega kwa bega na Nyerere
na ndiyo walioijenga TANU?

Usiwe mtu wa kuropoka ovyo.
Tuliza kichwa chako soma na jifunze adabu.
Mzee said acha kupanick...sihitaji kusoma maandiko yenye chuki...ni bora matusi kuliko hiyo sumu unayoeneza...hao wote ulowaandika hapo juu ni moja ya wahaini alowakataa Nyerere kwaniaba ya taifa la Tanzania ambalo leo hii wewe na mimi tunajivunia na kuishi. Kipaji chako cha uandishi kitumie kilifae taifa na siyo watu wa dini yako...madrasa nyingi ni vituo vya ubakaji..kotekote bara na Zanzibar..fuatilia...matusi yangu hayatokani na elimu yangu bali hisia zilizochagizwa na maandiko yako...Said unaakili fupi sana...eti mlitaka kujenga chuo kikuuu...Mkapa waliwapa chuo kikuu cha Tanesco pale Morogoro lakini mpaka sasa mmeshindwa kuzalisha chochote...jiulize why? Shule zenu zote za kiislamu ni vuto vya madawa ya kulevya na wanafunzi wote wanaotoka hapo kama siyo vibaka basi ni mateja au wafuasi wa magaidi...ni incubators za terrorist...chukulia al haramani, konondoni muslim, almuntazary..many manay schools run by you are useless na wazazi wengi walioyakata kukumbatia ujinga na madrasa kama wewe kamwe hawapeleki watoto wao kuosma katika taasisi za kiislamu. Ukweli wanajua kitakachotoka hapo ni bure kabisa ...wengi hupeleka watoto wao shule kama Loyola, feza, St. mary's, ST Francis, nk. Kumbuka mlivyokuwa mnampga vita Prof. Ndalichako...Said wewe upo talented lakini ujinga mwingi unaharibu kaipawa chako...toka huko..
 
Mzee said acha kupanick...sihitaji kusoma maandiko yenye chuki...ni bora matusi kuliko hiyo sumu unayoeneza...hao wote ulowaandika hapo juu ni moja ya wahaini alowakataa Nyerere kwaniaba ya taifa la Tanzania ambalo leo hii wewe na mimi tunajivunia na kuishi. Kipaji chako cha uandishi kitumie kilifae taifa na siyo watu wa dini yako...madrasa nyingi ni vituo vya ubakaji..kotekote bara na Zanzibar..fuatilia...matusi yangu hayatokani na elimu yangu bali hisia zilizochagizwa na maandiko yako...Said unaakili fupi sana...eti mlitaka kujenga chuo kikuuu...Mkapa waliwapa chuo kikuu cha Tanesco pale Morogoro lakini mpaka sasa mmeshindwa kuzalisha chochote...jiulize why? Shule zenu zote za kiislamu ni vuto vya madawa ya kulevya na wanafunzi wote wanaotoka hapo kama siyo vibaka basi ni mateja au wafuasi wa magaidi...ni incubators za terrorist...chukulia al haramani, konondoni muslim, almuntazary..many manay schools run by you are useless na wazazi wengi walioyakata kukumbatia ujinga na madrasa kama wewe kamwe hawapeleki watoto wao kuosma katika taasisi za kiislamu. Ukweli wanajua kitakachotoka hapo ni bure kabisa ...wengi hupeleka watoto wao shule kama Loyola, feza, St. mary's, ST Francis, nk. Kumbuka mlivyokuwa mnampga vita Prof. Ndalichako...Said wewe upo talented lakini ujinga mwingi unaharibu kaipawa chako...toka huko..

Kahollya,
Nianze na kukusahihisha.
Kaangalie maana ya neno ''panic,'' ujue kulitumia.

Mimi sijakulazimisha kusoma maandiko yangu wewe mwenyewe kwa khiyari
yako ndiyo umenisoma na kutaka mjadala.

Sijaeneza chuki yoyote mahali popote.

Lau ningefanya hivyo ''publishers'' wangekataa kuchapa kazi zangu na vyuo
vinavyonialika kuzungumza visingefanya hivyo.

Ningependa ujue kuwa nimealikwa kwingi duniani na nimesikilizwa na wengi.

Hilo la mimi nina akilli fupi hilo sitalijibu mimi nawaachia wengine.
Hilo la Mkapa na chuo wahusika wenyewe wanaweza kukujibu wakipenda.

Hilo la madawa ya kulevya na ugaidi sina ujuzi nalo wala sijasikia kesi iliyokamilika
ikiwahukumu Waislam kwa hilo.

Toka 2002 ilipopotishwa sheria ya ugaidi kesi zote zinaishia kwa Waislam kuachiwa.
Nina mada niliwasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006.

Ukipenda naweza kuileta hapa Majlis.
Hilo la Ndalichako ukipenda fungua uzi wahusika nitawafahamisha na watakuja.

Sasa unanishangaza kuniita mimi ''talented,'' kwani ulianza kwa kuonyesha
dharau kwangu kuwa nina ''akili fupi.''
 
Kahollya,
Nianze na kukusahihisha.
Kaangalie maana ya neno ''panic,'' ujue kulitumia.

Mimi sijakulazimisha kusoma maandiko yangu wewe mwenyewe kwa khiyari
yako ndiyo umenisoma na kutaka mjadala.

Sijaeneza chuki yoyote mahali popote.

Lau ningefanya hivyo ''publishers'' wangekataa kuchapa kazi zangu na vyuo
vinavyonialika kuzungumza visingefanya hivyo.

Ningependa ujue kuwa nimealikwa kwingi duniani na nimesikilizwa na wengi.

Hilo la mimi nina akilli fupi hilo sitalijibu mimi nawaachia wengine.
Hilo la Mkapa na chuo wahusika wenyewe wanaweza kukujibu wakipenda.

Hilo la madawa ya kulevya na ugaidi sina ujuzi nalo wala sijasikia kesi iliyokamilika
ikiwahukumu Waislam kwa hilo.

Toka 2002 ilipopotishwa sheria ya ugaidi kesi zote zinaishia kwa Waislam kuachiwa.
Nina mada niliwasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006.

Ukipenda naweza kuileta hapa Majlis.
Hilo la Ndalichako ukipenda fungua uzi wahusika nitawafahamisha na watakuja.

Sasa unanishangaza kuniita mimi ''talented,'' kwani ulianza kwa kuonyesha
dharau kwangu kuwa nina ''akili fupi.''
Talent misused huzalisha ufupi wa akili...manipulation is your talent...ingawa neno talent husimamia chanya..lakini wakati mwingine ni relative...nakufananisha na yule mhubiri wa kiislamu wa peace tv...great manipulator kama wewe Said...mimi sikutamani ndo maana maandiko yako sisomi kwani ni full of manipulation...ukifaulu kueneza chuki bila shaka utakuwa umepata fedha nyingi zaidi kuotka Saudia au Iran...usidhani ugaidi ni lazima ithibitishwe na mahakama fulani...matendo yako ni ishara wewe ni incubator nyngne ya kuzalisha ugaidi. Hebu jiulize ni lini uliwahi kutoa mhadhara pale UDSM?..Hizo nyuzi za kufungua, fungua wewe na watu watachangia...POKEA NENO HILI TUFUNGE MJADALA: UISLAMU NI UGAIDI NA UGAIDI NI UISLAMU...discuss! Mwisho juu ya wachapishaji kuchapisha maandiko yako siyo uthibiisho wa ukweli wa kile ulichoandika au uhalali wake!! Kumbuka maandiko ya kina Salman Rushdie na 'satanic verses', vitabu vya matusi vilivyojaa huko mitaani kwenu Dar na kwinngineko...kumbuka kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi au mawio...yote haya publishers waliyakubali..lakini wengine waliyakataa...mfano Nape Nnauye...
 
Talent misused huzalisha ufupi wa akili...manipulation is your talent...ingawa neno talent husimamia chanya..lakini wakati mwingine ni relative...nakufananisha na yule mhubiri wa kiislamu wa peace tv...great manipulator kama wewe Said...mimi sikutamani ndo maana maandiko yako sisomi kwani ni full of manipulation...ukifaulu kueneza chuki bila shaka utakuwa umepata fedha nyingi zaidi kuotka Saudia au Iran...usidhani ugaidi ni lazima ithibitishwe na mahakama fulani...matendo yako ni ishara wewe ni incubator nyngne ya kuzalisha ugaidi. Hebu jiulize ni lini uliwahi kutoa mhadhara pale UDSM?..Hizo nyuzi za kufungua, fungua wewe na watu watachangia...POKEA NENO HILI TUFUNGE MJADALA: UISLAMU NI UGAIDI NA UGAIDI NI UISLAMU...discuss! Mwisho juu ya wachapishaji kuchapisha maandiko yako siyo uthibiisho wa ukweli wa kile ulichoandika au uhalali wake!! Kumbuka maandiko ya kina Salman Rushdie na 'satanic verses', vitabu vya matusi vilivyojaa huko mitaani kwenu Dar na kwinngineko...kumbuka kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi au mawio...yote haya publishers waliyakubali..lakini wengine waliyakataa...mfano Nape Nnauye...
Kahollya,
Unajitisha bure.
 
Jamani hizi story hazipatikani kwa lugha yetu jamani,samahani mleta historia unaweza kutusaidia sisi tulio haba na lugha ya malkia kichwani nasi tuambulie chochote
 
Jamani hizi story hazipatikani kwa lugha yetu jamani,samahani mleta historia unaweza kutusaidia sisi tulio haba na lugha ya malkia kichwani nasi tuambulie chochote
Playboy,
Samahani sana lakini unaweza kupata hizi stori kwa Kiswahili hapa:
mohammedsaid.com
 
Talent misused huzalisha ufupi wa akili...manipulation is your talent...ingawa neno talent husimamia chanya..lakini wakati mwingine ni relative...nakufananisha na yule mhubiri wa kiislamu wa peace tv...great manipulator kama wewe Said...mimi sikutamani ndo maana maandiko yako sisomi kwani ni full of manipulation...ukifaulu kueneza chuki bila shaka utakuwa umepata fedha nyingi zaidi kuotka Saudia au Iran...usidhani ugaidi ni lazima ithibitishwe na mahakama fulani...matendo yako ni ishara wewe ni incubator nyngne ya kuzalisha ugaidi. Hebu jiulize ni lini uliwahi kutoa mhadhara pale UDSM?..Hizo nyuzi za kufungua, fungua wewe na watu watachangia...POKEA NENO HILI TUFUNGE MJADALA: UISLAMU NI UGAIDI NA UGAIDI NI UISLAMU...discuss! Mwisho juu ya wachapishaji kuchapisha maandiko yako siyo uthibiisho wa ukweli wa kile ulichoandika au uhalali wake!! Kumbuka maandiko ya kina Salman Rushdie na 'satanic verses', vitabu vya matusi vilivyojaa huko mitaani kwenu Dar na kwinngineko...kumbuka kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi au mawio...yote haya publishers waliyakubali..lakini wengine waliyakataa...mfano Nape Nnauye...
Zee zima hovyo gaidi hili kila siku kueneza ujinga na uchonganishi wa kidini. Acha walichekee siku likiamua kujivika mabomu na kwenda kujiripua Butiama ndo watajua. TCRA sijui kazi yao nini. Aaaaargh!!!
 
Zee zima hovyo gaidi hili kila siku kueneza ujinga na uchonganishi wa kidini. Acha walichekee siku likiamua kujivika mabomu na kwenda kujiripua Butiama ndo watajua. TCRA sijui kazi yao nini. Aaaaargh!!!

Shimba ya Buyenze,
Adabu ni kitu cha bure.
Kuwa umenitambua mimi ni mzee ungeweka staha.

Hapa ukumbuni tunafanya mijadala si mahali pa kutukana.

Lakini huenda mama yako hakukufunza adabu hivyo inakuwa
shida kujifunza tabia njema ukubwani.

Wala hapana kitu katika haya tunayozungumza yenye chembe
ya ugaidi.

Hivi wewe unaweza kuujua ugaidi kuwashinda Marekani na mataifa
makubwa ya Ulaya?

Mimi naingia Marekani na kutoka kwa visa yao.

Naingia Ulaya yote nchi kwa nchi tena kwa mialiko ya taasisi zao na
kurudi Dar es Salaam.

Ugaidi wangu hawajauona ugaidi uje uone wewe?
Ikiwa huna la kuandika kaa kimya usitukane watu.
 
Kwasababu hakuwa muislam mwenzio?
Giuseppe,
Hapana sijatafiti kuhusu Kolimba kwa kuwa kwangu mimi hana kitu
cha kuandikiwa.

Nimeandika historia nzima ya siasa ya Nyerere, Dr. Vedasto Kyaruzi,
Chief Kidaha Makwaia, Stephen Mhando
na wengine wengi na hawa
si Waislam.
 
Shimba ya Buyenze,
Adabu ni kitu cha bure.
Kuwa umenitambua mimi ni mzee ungeweka staha.

Hapa ukumbuni tunafanya mijadala si mahali pa kutukana.

Lakini huenda mama yako hakukufunza adabu hivyo inakuwa
shida kujifunza tabia njema ukubwani.

Wala hapana kitu katika haya tunayozungumza yenye chembe
ya ugaidi.

Hivi wewe unaweza kuujua ugaidi kuwashinda Marekani na mataifa
makubwa ya Ulaya?

Mimi naingia Marekani na kutoka kwa visa yao.

Naingia Ulaya yote nchi kwa nchi tena kwa mialiko ya taasisi zao na
kurudi Dar es Salaam.

Ugaidi wangu hawajauona ugaidi uje uone wewe?
Ikiwa huna la kuandika kaa kimya usitukane watu.
Nilikuwa sijibishani nawe. Kiherehere cha nini? Usipende sana kuingilia maongezi ya watu na busara zako hizi za kinafiki. Au kwa vile umeanzisha thread ndiyo unadhani kuwa mjadala unaumiliki?
 
Nilikuwa sijibishani nawe. Kiherehere cha nini? Usipende sana kuingilia maongezi ya watu na busara zako hizi za kinafiki. Au kwa vile umeanzisha thread ndiyo unadhani kuwa mjadala unaumiliki?
Shimba ya Buyenze,
Nisamehe.

Hata hayo maneno ungeweza ukasema kiungwana.
Hapakuwa na haja ya kurejea lugha kali.

Kuna faida nyingi ya mtu kuwa na adabu na tabia njema.
 
Historia ya kutunga? Lengo hasa ni kuwasha moto wa uhasama kati ya Waislamu na Wakristo. Chuki hizi kwa Nyerere hata sijui zinatoka wapi? Amekuja Mwinyi, amekuja Mrisho, WAMEWAFANYIA NINI WAISLAMU? Why do you guys hate Mwl. so much? Pathetic!

Jifunzeni kuwa wastahamilivu ili kuweza kujadili hoja kwa utulivu.kuelezea juu ya Mwalimu au malima sio chuki. Nadhani wengi mumeenda shule na pengine muliwahi kufanya Debates mbali mbali....
Ikiwa debate inasema Mwalimu alikua Dictator na kundi moja linakua linaunga mkono kwa kutoa maelezo yao kwa nini wanafikiri hivyo..jengine linatakiwa lije na argument kupinga kuwa hapana hakua Dictator..hii inaitwa rebuttal.....
Huwezi kujibu upnde wa pili kuwa oooh muna chuki , ooh kwani Mwinyi na Mrisho amewafanyia nini......hapo utakua umeenda nje ya Mada . Hao wao ni mada nyengine ila jawabu ni moja wao walitumikia zaidi watanzania na kwa woga wa kuchukuiwa na kutukanwa na upande mwengine waligombana na ndugu zao....yakafanyika makosa yale ya mabucha na kutiwa ndani kina Sheikh Kassin BIn Juma ....na ya karibuni ni haya ya Uamsho...yote ni mahesabu tu ya kujaribu kufurahisha upande wa pili lakini sasa tunaona aloyafanya yote anaambiwa hakufanya kitu na nchi ilioza.
Hizi ndio siasa zetu...na bado upande mmoja una kasumba ya kutotaka watu fulani wasisemwe...lakini kama taifa bila ya kukosoana hatutojua wapi tumekwama....Hakuna kiongozi aliye mtakatifi kila mmoja na mazuri na makosa yake. Mengine ya kibinadamu lakini mengine ya kudhamiria.
 
So what why debate the past...elimu dunia umeikataa na kuwashauri wengi wenu kuipinga lakini ndo inayokufanya u survive na kuitumia kueneza ujinga wako. Said bora ukalime maana unatumia ushawishi usiyo kuwa na tija...ajenda yako ni kuiaminisha dunia kuwa waislamu wamekuwa wahanga wa utawala wa Nyerere...kitu hiki siyo kweli...mpaka leo performance yenu waislamu mliowengi ni doubtful kila nyanja...mfao kikwete na magufuli ni nani amekuwa rais bora? utamduni wenu na uislamu wenu ndo kikwazo wala msisingizie watu wengine kama Baba wa taifa. ...soma kwa makini vitu unavyoviandika na kwa watu wenye akili ndogo kama waislamu ndi wanaweza kuviamini..rhetoric only understood by iliterate people.. utaeleweka zaidi kwa waislamu wenzio tena waliyokataa ellimu dunia na leo wanaishi kulaumu wengine...elimu ya madrasa ni upuuzi ikiwa haitalenga wakomboa kifikra...unahitaji ukombozi ndugu...

Hili la magufuli na kikwete tuombe uhai baada miaka 5 tuje tujadili..sasa hivi ni mapema mno kulinganisha...na itabidi tuweke Mizani ya kupimia ni nani kiongozi bora..sio propaganda
Tuombe uhai
 
Giuseppe,
Hapana sijatafiti kuhusu Kolimba kwa kuwa kwangu mimi hana kitu
cha kuandikiwa.

Nimeandika historia nzima ya siasa ya Nyerere, Dr. Vedasto Kyaruzi,
Chief Kidaha Makwaia, Stephen Mhando
na wengine wengi na hawa
si Waislam.
Salute Boss, Most of the time nakukubali. Tunatofautiana kwa mitazamo michache sana.
 
wewe mzee Mohamed Said kuna kitu kipo nyuma ya haya unayoyaandika kuhusu Nyerere. Haiwezekani uwe umejaa negativity kiasi hiki!!!!!!!!!!!! kila nikisoma maandiko yako mara nyingi ni kuonyesha waislamu wameonewa. Binafsi ninaamini uislamu ni dini nzuri yenye ukweli sana. ila wewe Mohamed Said ndo unauchafua uislamu uonekane ni dini ya watu wanaolalamika tu bila sababu za msingi. Ona aibu wewe babu.
 
wewe mzee Mohamed Said kuna kitu kipo nyuma ya haya unayoyaandika kuhusu Nyerere. Haiwezekani uwe umejaa negativity kiasi hiki!!!!!!!!!!!! kila nikisoma maandiko yako mara nyingi ni kuonyesha waislamu wameonewa. Binafsi ninaamini uislamu ni dini nzuri yenye ukweli sana. ila wewe Mohamed Said ndo unauchafua uislamu uonekane ni dini ya watu wanaolalamika tu bila sababu za msingi. Ona aibu wewe babu.
Diranghe,
Si uungwana kumwita mtu ''wewe'' khasa akiwa ni mzee.
Nimeandika mengi na nimechapwa na ''publishers'' kadhaa.

Sijapata hata mmoja kunambia kuna ''negativity'' katika fikra
zangu.

Wengi wamenichapa na nimetoa mada nyingi kwingi kwa
kuwa kila mara nilikuwa nakuja na kitu kipya,

Sijapata kuandika malalamiko.

Mimi nimeandika sana katika historia ya Tanganyika na yale
yaliyotokea.

Ingekuwa mimi nachafua Uislam, Waislam wenyewe wangeniasa.
 
Back
Top Bottom