The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

Kumbuka mpotoshaji aliyejipanga lazima awavutie wengi. Kwa mfano babu wa Loliondo, Kibwetere, Hitler na wengine walifanikiwa kuwapotosha watu wengi sana.
 
Kahollya,
Huna sababu ya kunitukana kwani mimi sijakutusi.

Nilichofanya nimenyambua kurasa kwenye kitabu cha Prof. Malima ninachoandika.
na kukiweka hapa.

Why debate the past?
Why not?

Elimu dunia tumeikataa?
Umepata wapi hiyo?

Au hujui kuwa Waislam walitaka kujenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 chini ya EAMWS
na jiwe la msingi likawekwa lakini mradi ukahujumiwa kwa Nyerere kuipiga marufuku
EAMWS?

Ukipenda kujijua historia hii nifahamishe.
Mimi naeneza ujinga!

Mimi nimechapwa na Oxford University Press mara kadhaa na vitabu vyangu vinasomwa
kote.

Au hujui hili?
Nalo ungependa nikuwekee hapa nimeandika nini?

Sasa jikague mimi na wewe mjinga ni nani?
Wewe umejaa matusi matupu na ushahidi ni hii post yako ninayojibu.

Elimu ya madrasa ni upuuzi...
Hii umepata wapi?

Mimi ni zao la elimu hiyo na wala si mpuuzi.

Wewe mwenye hiyo elimu isiyo ya madrasa uko humu unatoa matusi na lugha zisizo pendeza.

Hebu jipekue tena ujitazame hiyo elimu unayoisifia imekufaa nini.

Je ungependa nikupe historia ya waliosoma elimu ya madras akina Sheikh Hassan bin Amir,
Iddi Faizi Mafongo, Sheikh Sulieman Takadir, Sheikh Mohamed Ramia
na wengine
wengi unajua hawa ndiyo waliopigania uhuru wa Tanganyika bega kwa bega na Nyerere
na ndiyo walioijenga TANU?

Usiwe mtu wa kuropoka ovyo.
Tuliza kichwa chako soma na jifunze adabu.
Kahollya,
Huna sababu ya kunitukana kwani mimi sijakutusi.

Nilichofanya nimenyambua kurasa kwenye kitabu cha Prof. Malima ninachoandika.
na kukiweka hapa.

Why debate the past?
Why not?

Elimu dunia tumeikataa?
Umepata wapi hiyo?

Au hujui kuwa Waislam walitaka kujenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 chini ya EAMWS
na jiwe la msingi likawekwa lakini mradi ukahujumiwa kwa Nyerere kuipiga marufuku
EAMWS?

Ukipenda kujijua historia hii nifahamishe.
Mimi naeneza ujinga!

Mimi nimechapwa na Oxford University Press mara kadhaa na vitabu vyangu vinasomwa
kote.

Au hujui hili?
Nalo ungependa nikuwekee hapa nimeandika nini?

Sasa jikague mimi na wewe mjinga ni nani?
Wewe umejaa matusi matupu na ushahidi ni hii post yako ninayojibu.

Elimu ya madrasa ni upuuzi...
Hii umepata wapi?

Mimi ni zao la elimu hiyo na wala si mpuuzi.

Wewe mwenye hiyo elimu isiyo ya madrasa uko humu unatoa matusi na lugha zisizo pendeza.

Hebu jipekue tena ujitazame hiyo elimu unayoisifia imekufaa nini.

Je ungependa nikupe historia ya waliosoma elimu ya madras akina Sheikh Hassan bin Amir,
Iddi Faizi Mafongo, Sheikh Sulieman Takadir, Sheikh Mohamed Ramia
na wengine
wengi unajua hawa ndiyo waliopigania uhuru wa Tanganyika bega kwa bega na Nyerere
na ndiyo walioijenga TANU?

Usiwe mtu wa kuropoka ovyo.
Tuliza kichwa chako soma na jifunze adabu.



Mohamed Said you have to re-think before it is too late na utajuja yaani unashinda hapa unatetea falsafa zako unabishana weeee, aaah Mzee unaweza your better than this bwana tafuta style nyingine basi badilisha taste kidogo
 
Huyu mzee pia ukimbana anajificha kwenye umri wake na wachapaji kumkubalia kuchapa. Mungu amsamehe Nyerere makosa yake kwa kuwanyoosha watu kama hawa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
 
Huyu mzee pia ukimbana anajificha kwenye umri wake na wachapaji kumkubalia kuchapa. Mungu amsamehe Nyerere makosa yake kwa kuwanyoosha watu kama hawa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Ana miaka 64 na imekuwa chaka la kujificha. Kumbe unaweza kuwa hata na miaka 200 na bado ukawa mjinga tu usiyejitambua. Busara haikai katika mvi pekee ati!

Hatakaa amsahau Mchonga huyu na wafia dini wenzake. Ndo maana kuna kipindi nilishauri bora tu ajifunge mabomu aende akajiripue huko Butiama ili kukata mzizi wa fitina na kujihakikishia mabikra 72 huko mbeleni. TCRA bado wamelala na wakija kushtuka itakuwa too late!
 
Ana miaka 64 na imekuwa chaka la kujificha. Kumbe unaweza kuwa hata na miaka 200 na bado ukawa mjinga tu usiyejitambua. Busara haikai katika mvi pekee ati!

Hatakaa amsahau Mchonga huyu na wafia dini wenzake. Ndo maana kuna kipindi nilishauri bora tu ajifunge mabomu aende akajiripue huko Butiama ili kukata mzizi wa fitina na kujihakikishia mabikra 72 huko mbeleni. TCRA bado wamelala na wakija kushtuka itakuwa too late!
Shimba wa Buyenze,
Bahati mbaya umejaa matusi kuliko hoja.
 
Huyu mzee pia ukimbana anajificha kwenye umri wake na wachapaji kumkubalia kuchapa. Mungu amsamehe Nyerere makosa yake kwa kuwanyoosha watu kama hawa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Diranghe,
Kwanza ningependa kukufahamisha kuwa sikuanza kuandika uzeeni.
Nimeandika nikiwa na umri wa ujana.

Umemtaja Nyerere.

Nakuwekea hapa chini aliyosema Nyerere mwaka 1962 kuhusu tatizo
la udini Tanganyika ikusaidie kuelewa:
Mohamed Said: MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE ALIPOZUNGUMZA TATIZO LA UDINI TANGANYIKA 1962
 
Mohamed Said you have to re-think before it is too late na utajuja yaani unashinda hapa unatetea falsafa zako unabishana weeee, aaah Mzee unaweza your better than this bwana tafuta style nyingine basi badilisha taste kidogo
Maturanya,
Kwani kuna tatizo gani kwa mtu kutetea kile anachoamini?
 
Kumbuka mpotoshaji aliyejipanga lazima awavutie wengi. Kwa mfano babu wa Loliondo, Kibwetere, Hitler na wengine walifanikiwa kuwapotosha watu wengi sana.
Diranghe,
Mbona mifano hiyo yako haiendani na tunalojadili?

Chukua muda kidogo kuwasoma hao ulikowataja
utaelewa tofauti iliyopo.

Ila napenda kukufahamisha kuwa katika hiyo orodha
yako umemsahau Jim Jones, Marshall Applewhite
kwa kuwataja wachache.
 
Hiyo kauli ya Nyerere nimeisoma na hakuna aliposema Waislam ndo walileta uhuru. Ni kauli ya kawaida kabisa kwa kiongozi kama yeye. Na huu ujinga kwamba waislamu ndo walileta uhuru wa Tanzania uuache. Nyerere aliona mbali sana kuwabana watu wabinafsi mnaosema ninyi ndo mlileta uhuru.. mngenyanyasa sana Watanzania wengine. Ila tunamshukuru Mungu kwa watu kama ninyi kukosa nafasi katika nchi hii na kuishia kupuuzwa.
Diranghe,
Kwanza ningependa kukufahamisha kuwa sikuanza kuandika uzeeni.
Nimeandika nikiwa na umri wa ujana.

Umemtaja Nyerere.

Nakuwekea hapa chini aliyosema Nyerere mwaka 1962 kuhusu tatizo
la udini Tanganyika ikusaidie kuelewa:
Mohamed Said: MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE ALIPOZUNGUMZA TATIZO LA UDINI TANGANYIKA 1962
 
Hiyo kauli ya Nyerere nimeisoma na hakuna aliposema Waislam ndo walileta uhuru. Ni kauli ya kawaida kabisa kwa kiongozi kama yeye. Na huu ujinga kwamba waislamu ndo walileta uhuru wa Tanzania uuache. Nyerere aliona mbali sana kuwabana watu wabinafsi mnaosema ninyi ndo mlileta uhuru.. mngenyanyasa sana Watanzania wengine. Ila tunamshukuru Mungu kwa watu kama ninyi kukosa nafasi katika nchi hii na kuishia kupuuzwa.
Diranghe,
Hakika Nyerere hakusema Waislam ndiyo walioleta uhuru.
Historia ya uhuru wa Tanganyika ndiyo shahidi wa hilo.

Historia hiyo ilifutwa kabisa mimi nikaiandika.
Unaweza kusioma historia hiyo kwenye kitabu changu.

w8BnQV-m9o-zyVj040NxGy3hhy2kxUkxXWpVWw1HdS1y5P3dq-7GHUAx0qRmEIBYkVWMTDcJ-MtzcifqOF4h2q3GNLrXYfRHtC3CS4BoFdEnvUOoSYtQCIGLM3HCpuwk6n8VFCKP6kmQfz42BVG2DKVlVdDoyBpiqcsN0BmAa6xRNfce88xvi9agcqDVchU5emNae82TYDM18abIIFGz2D033O5xVsw4xmaAcHcA1Ss0SEhlecuPlkXCzYhX2s1Ij-JVgRMDaWI-NMJITxOmrR9mx34axSs6hnGYXTJvl0EkC72M8Vuj1_UKk3TlIWCVHesKRbsuXwfomxolZ86ipQUoeOrJM3G1ID1-SaQfWTlkkbkqOZ_wwXahmcoj0weWb8of9ypqGU7mnunhcY9xKSlZk7TKvv-bJyNehRpWyMj6J5SZhNzdcJ6XK2RzFiezEblDjU2shPcTXuhm5c9p5bPc5f2O2OpRM4LzTQTTEcYQ86XO-gA8-KSPIGdnpY6U_u33lv6fvP3W4wvn6DDDia5DvRq8tyuAoDp34aRy-JKqxEFEgM76mHWqgJAbR0cVVreJ=w871-h643-no
 
Hicho kitabu chako siwezi kukinunua kwa sababu mbili;
1. Kinamwelezea Sykes kama muislam zaidi kuliko mtanzania. Hapo Sykes katumika tu kuuelezea uislam kuliko yeye kama yeye kwa aliyoyatenda kwa ajili ya Taifa bila kujali imani yake. Na kwa vyovyote vile Sykes alitenda yote kwa ajili ya Taifa na sio dini yake tu tofauti na wewe unavyopotosha.
2. Kimetungwa na mtu ambaye kupitia maandishi yake tayari kajitambulisha kama mdini zaidi kuliko utaifa kwanza.
 
Hicho kitabu chako siwezi kukinunua kwa sababu mbili;
1. Kinamwelezea Sykes kama muislam zaidi kuliko mtanzania. Hapo Sykes katumika tu kuuelezea uislam kuliko yeye kama yeye kwa aliyoyatenda kwa ajili ya Taifa bila kujali imani yake. Na kwa vyovyote vile Sykes alitenda yote kwa ajili ya Taifa na sio dini yake tu tofauti na wewe unavyopotosha.
2. Kimetungwa na mtu ambaye kupitia maandishi yake tayari kajitambulisha kama mdini zaidi kuliko utaifa kwanza.
Diranghe,
Sikukiweka ili kinunuliwe.

Hiki kitabu kimechapwa kwa mara ya kwanza London mwaka wa 1998,
Tafasiri ya Kiswahili ikachapwa Nairobi mwaka wa 2002.

Reprinting ya Kiingereza na Kiswahili imefanyika India mwaka wa 2014.
Sasa tunakwenda toleo la nne la kitabu hiki.

Utaona kuwa kitabu kimependwa na kinasomwa sana.
Kilifanyiwa pitio katika Cambridge Journal of African History na John Illife.

Nadhani unatambua maana ya kitu hicho.

Kimefanyiwa mapitio katika journal nyingine kadhaa Marekani na Ulaya
na James Brennan na Jonathon Glassman.

Ingia Google utawajua hao ni kina nani katika African History.

Glassman alinialika chuoni kwake Northwestern University, Chicago kufanya
mhadhara na nilifanya hivyo.

Kupitia kitabu hiki nikaingizwa katika mradi wa Harvard na Oxford University
Press - Dictionary of African Biography (DAB) mradi ambao umekamilika na
kuchapwa mwaka wa 2011.

Ingia hapo chini kwa taarifa zaidi:
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK
 
Kipaji chako ungetumia kwa maslahi ya nchi ungesaidia sana. Na siamini kama una upendo kiasi kwamba ukaingia gharama kuchapa kitabu na kisha kukitoa bure.. kuna ufadhili gani kwenye hili? Na wanaokufadhili ni ili wapate maslahi yapi?
Diranghe,
Sikukiweka ili kinunuliwe.

Hiki kitabu kimechapwa kwa mara ya kwanza London mwaka wa 1998,
Tafasiri ya Kiswahili ikachapwa Nairobi mwaka wa 2002.

Reprinting ya Kiingereza na Kiswahili imefanyika India mwaka wa 2014.
Sasa tunakwenda toleo la nne la kitabu hiki.

Utaona kuwa kitabu kimependwa na kinasomwa sana.
Kilifanyiwa pitio katika Cambridge Journal of African History na John Illife.

Nadhani unatambua maana ya kitu hicho.

Kimefanyiwa mapitio katika journal nyingine kadhaa Marekani na Ulaya
na James Brenan na Jonathon Glassman.

Ingia Google utawajua hao ni kina nani katika African History.

Glassman alinialika chuoni kwake Northwestern University, Chicago kufanya
mhadhara na nilifanya hivyo.

Kupitia kitabu hiki nikaingizwa katika mradi wa Harvard na Oxford University
Press - Dictionary of African Biography (DAB) mradi ambao umekamilika na
kuchapwa mwaka wa 2011.

Ingia hapo chini kwa taarifa zaidi:
Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK
 
Wewe shetani saidi naona unataka kuiteka JF kinanmna....you are a lie just like the person who brought the religion of your name!!! pretender, treachery and cheating....is who you are...wewe ni tawi la ISIS ila wengi hawakujui...
 
mzee wangu MS unaonekana umebobea sana kwenye uandishi.. hongera.

maandiko yako yanaeleweka, lakini sijui kama yanaelezea ni namna gani waislam watoke hapo walipo na wapige hatua mbele..

siku moja hebu jaribu kufanya utafiti na kuandikia ni kwanini nchi za kiislam,hata zile zenye idadi chache ya wakristo bado kuna machafuko ya mara kwa mara...

au kama kuna chapisho umeshawahi kuliandika naomba uliweke hapa..
 
GuDume,
Bahati mbaya unanishambulia na kunitaja kwa kejeli na kutupa shutuma.
Hali inapokuwa hivi mie hujiweka pembeni.
Hakuna aliko kushambulia amekueleza ukweli jibu kwa hoja na mifano dhahiri .usikimbie.
 
Mzee anajiita mwanahistoria but simulizi ziko biased sana na characters wa hizo simulizi ni aki na Ali,Mohammed, said ,juma,ashura,seif ,hassan and the like ukimpata john au Robert ni nadra sana .

Kwa kifupi huwa hasomeki nia na madhumuni yake ni nini hasa .

Na hili ni tatizo kubwa sana kwake
 
Mzee anajiita mwanahistoria but simulizi ziko biased sana na characters wa hizo simulizi ni aki na Ali,Mohammed, said ,juma,ashura,seif ,hassan and the like ukimpata john au Robert ni nadra sana .

Kwa kifupi huwa hasomeki nia na madhumuni yake ni nini hasa .

Na hili ni tatizo kubwa sana kwake

Mazigazi,
Tatizo kubwa liko kwako kwa kutoijua huijui historia ya uhuru wa Tanganyika.
Hiyo mwanzo.

Pili. Mimi sijapatapo kujiita,''mwanahistoria.''

Ukweli ni kuwa Waislam walikuwa na mchango mkubwa katika kuunda
TANU na harakati za kupigania uhuru kwani walikuwa mstari wa mbele.

Utakuwa unanionea kwa mimi kuwataja.
Hao unaowasema akina Robert walikuwapo lakini wachache sana.

Huu ni ukweli ambao hauwezi ukafutwa.
Ngoja nikupe mfano mdogo.

Robert Makange alikuwapo TANU 1955 wakati wa safari ya Nyerere
ya UNO.

Wengine waliokuwapo ni Rashid Kheri Baghdele, Tatu biti Mzee, Titi
Mohamed, Hawa biti Maftah, Iddi Faizi Mafongo na nduguye Iddi
Tosiri, Sheikh Suleiman Takadir
na Baraza la Wazee wa TANU ambalo
wote walikuwa Waislam ukimtoa John Rupia, alikuwapo Rajab Sisso na
timu nzima ya Bantu Group ambao wote walikuwa Waislam.

Huu ndiyo ukweli kwa ushahidi wa historia ya Tanganyika.

Huwezi kunilaumu kwa kuandika ukweli na ikiwa utayaacha haya majina kwa
kuogopa Uislam hiyo haitakuwa historia ya kweli ya TANU na ya Mwalimu
Nyerere.


Mimi nasomeka sana ndani na nje ya nchi na naeleweka sana.
Ukipenda naweza nikakupa na ushahidi.

Madhumuni yangu ni kuiweka sawa historia na mchango wa Waislam katika
kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Walioandika historia waliwafuta wazee wangu.
 
mzee wangu MS unaonekana umebobea sana kwenye uandishi.. hongera.

maandiko yako yanaeleweka, lakini sijui kama yanaelezea ni namna gani waislam watoke hapo walipo na wapige hatua mbele..

siku moja hebu jaribu kufanya utafiti na kuandikia ni kwanini nchi za kiislam,hata zile zenye idadi chache ya wakristo bado kuna machafuko ya mara kwa mara...

au kama kuna chapisho umeshawahi kuliandika naomba uliweke hapa..
Typical,
Kuhusu hayo mengine sidhani kama yananihusu mimi moja kwa moja.
Iweje kwa kuandika historia ikawa tena unanitwisha na majukumu ya serikali?
 
Back
Top Bottom