The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

Wee msaka tonge wee!

Serikali ya chama chako bila aibu imewafungulia kesi za uhujumu uchumi mamia ya wafusia wa CHADEMA wengi wao walikuwa mawakala, mpaka hivi sasa bado wapo lupango mkiwanyima hata dhamana, kwa kosa la kuwa mawakala wa CHADEMA, New York Times wakiandika habari hizi wanakuwa wanasambaza uchochezi?
 
Ni unafiki pia kutumia kifaa cha Mzungu kumsimanga. Kama unamsimamo huo usitumie simu. Uwe unacomment kichawi
Ukisema hivyo unamaanisha hata kile kampuni yako itakachokitengeneza brand hiyo ujiuzie wewe peke yako siyo?

Yeye Kaunda simu Nami nimempa pesa!!

Unaakili kidooogo kama kuku nini?
 
Ukisema hivyo unamaanisha hata kile kampuni yako itakachokitengeneza bland hiyo ujiuzie wewe peke yako siyo?

Jinga wewe!
Yeye Kaunda simu Nami nimempa pesa!!

Unaakili kidooogo kama kuku nini?
Usoseme nimempa pesa, sema nimempa pesa alizozitengeneza yeye.

Hujui kufikiri hata unapoandika ugoro kwa kutumia akili zako zote
 
Mkuu wachawi hawalogeki. Kwasababu hakuna shaka pasco ni mchawi....mtu hawezi kuwa na roho kama ya pasco asiwe mchawi. I mean kuna uchawi zaidi ya hii roho ya pasco?

Mkuu tunyamaze huyu mchawi pasco asituloge
Atakuwa daraja la juu sana la wachawi huyu mzee
 
paskal mayala anaingia kwenye rekodi za kina Dr ayubu ryoba kwamba zamani walikuwa na akili lakini punde baada ya Tanzania kutawaliwa na dictator akili Yao imeyeyuka wamebaki kuwa vikaragosi visivyoheshimika Tena kwenye Jamii. Poor paskali
 
Nani asiyejua namna ccm na wasimamizi wa uchaguzi walivyoiba kura kwa maelekezo ya wakuu wa wilaya na mikoa kwa msaada wa polisi?

Kura hazikuhesabiwa wasimamizi walielekezwa kujaza matokeo yanayompa ushindi Jiwe tena kwa vitisho vikali toka kwa wakuu wa wilaya.

Tuliosimamia uchaguzi tunajua na hata hao walioshinda wanajua dhulma iliyofanyika.

Niliposimamia uchaguzi fomu ya matokeo ilijazwa na mtendaji wa kata na akasema ni maelekezo ya mkuu wa wilaya, wapiga kura walikuwa hawafiki 100 lakini jiwe akapewa kura 300 na Lisu kura 2 tu na haya yalifanyika mchana kweupe tena kwa vitisho vikali.

Hiyo huru na Haki labda ilifanyika chumbani kwako tu.
 
Pascal ni kwa kuwa hakuna aliye wako aliyeuliwa na hawa wavamizi hapa Zanzibar. Hivi yuko wapi Mazrui?? Yuko hai AU mumeshamuua ??

HUU NDIO UCHAGUZI ??, YAANI MUMEFIKA KUKODI MAJESHI KUTOKA BURUNDI KULAZIMISHA UPORWAJI WA DEMOKRASIA ??
 
Common sense is not always common,ukiaminicho weewe si lazima kuaminisha wengine hivyo.

Chamsingi tuwapuuze tuu,kwani hata kwao sasaivi wanapambana na uchaguzi na matokeo ya uraisi wao,wakija kwetu tutawashauri pia

Kwasasa watu wachape kazi maisha yaendelee tusipoteze muda kujibu hoja zisizo za msingi NOTED
 
Acha tufungiwe lakini lazima tumshughulikie atoe njaa zake hapa
 
Paskali ndiyo maana huwa hupewi u DC. Hii habari ungeiacha huko huko watanzania wangapi wanasoma New York times? Sasa wewe unasomasoma magazeri huko wee mchana kutwa afu unaleta hapa JF huoni kwamba na wewe unasambaza uchochezi!!
 
Naona huyo mwanaJF uliyesema aliyehojiwa na hilo gazeti ulilolisema unatafuta namna ya kumchomea kama ulivyofanya kwa ndugu yetu Erick Kabendera, hilo halitushangazi maana unatetea tumbo lako kwa gharama za wengine.

BTW hilo gazeti lililosema uongo kuhusiana na Uchaguzi mkuu si mngelifungia tu kama mlivyofanya kwa Mawio na Tanzania Daima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…