The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

The New York Times lasambaza uongo Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?

Wanabodi,

Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?

Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"

Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!

Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)

Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.

Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!

Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!

Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!


Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020


Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!

Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.

Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.

Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.

Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.

Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Dawa yako ni wajumbe tu. Wakupe kura 1 nyingine
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?

Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"

Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!

Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)

Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.

Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!

Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!

Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!


Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020


Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!

Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.

Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.

Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.

Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.

Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Hebu acha uongo wewe hii kauli [emoji116][emoji116]


"Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow"

Ndio imefuta uhalali wa hili bandiko

Mosi je wewe ndio uliwawekea bundle hao watanzania wote?

Pili Je Netblocks walivyotoa report yao mbona hatukuona majibu ya serikali yenu?

Tatu kazi ya TCRA ni kufungia tu wenye makosa na Pia wao hakuna post yoyote wala mitandao ya simu iliomba radhi kuhusu upotevu wa mtandao wote kwanini walikua kimya?

Nne Hatujaona Rais Trump wala Mteule Biden kumpongeza Jiwe ila Jiwe alitweet kumpongeza Biden je maana yake nini hii?

Tano na mwisho uongo wako unajithibisha kwa hii sababu kwamba rate ya watu wenye simu janja Marekani ni kubwa kuliko huko Tanzania na Marekani walikua na uchaguzi pia ila hatujasikia internet kutopatikana nini sababu?
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?

Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"

Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!

Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)

Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.

Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!

Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!

Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!


Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020


Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!

Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.

Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.

Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.

Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.

Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Umeeleweka, in concise unajuwa Lissu ni mtu mmoja mbaya sana kwa nchi hii na kama angekuwa anaishi nchi nyingize zaidi ya Tanzania angeuliwa kitambo kwa usaliti wake. Lissu ana act kama Tump hivi sasa, yaani anahaha. Yeye alidhani ama alijihakikishia kuwa angekuja kuwa rais wa Tanzania baada ya kupigwa risasi, kwamba wananchi wangemchagua yeye kwa kumuonea huruma ili aje kufurahisha wadhamani wake kwa kuiuza hii nchi. Ebu tuangalie jinsi wabelgiji na wazungu wanavyo-destabilize Congo DR. Wamewahonga washenzi wa mashariki ya Congo kuleta vita na kuua raia wasio na hatia na kuyumbisha nchi huku wazungu wakiendelea kujitajirisha na kutucheka waafrika kwa ujinga wetu. Marais wote waliopita Congo wanajuwa kuhusu huu mchezo ila kwa bahati mbaya nao wamejikuta wametumbukia kwenye huu mtego wa kuiuza nchi kujinufaisha wao wenyewe na kutesa raia wao. Lissu na hata ninadiriki kusema hata Zitto na baadhi ya wanaharakati wa hapa Tanzania wako kwenye hili kundi pia, ni wasaliti wa nchi wala si wapinzani. Ni vigumu sana kwa wapinzani kuiondoa CCM madarakani kwani CCM ina mizizi kila kona ya nchi, hii wapinzani wanatakiwa wajuwe. Badala ya wao kukaa chini na kuua vyama visivyo na mvuto kwa wananchi na kuunda umoja ili washindane vilivyo na CCM, wao kila uchaguzi wanaharibiana wenyewe kwa wenyewe kugombania madaraka. Mimi kama mtanzania, kwa kweli nasema serikali isiwafumbie macho wasaliti wa nchi yetu, lazima tuwawajibishe tu na kama wakiona vipi wahame nchi.
 
.Kuzima internet
Kamatakamata ya wapinzani
.Kuwazuia mawakala wa vyama pinzani
.Kupita bila kupingwa
.Kufanana kwa matokeo ya majimbo
.Ccm kushinda majimbo yote Hali walikuwa wakipiga magoti kuomba kura
.Ushiriki wa polisi kuisaidia ccm
. Kuuwawa kwa watz Zanzibar, tarime, tunduma, rorya, nk.
. Kuzuia vyombo vya habari visiripoti upinzani
.nk
Hizi ni kasoro za uchaguzi
Pascal hakuyaona hayo yote.
 
Umeeleweka, in concise unajuwa Lissu ni mtu mmoja mbaya sana kwa nchi hii na kama angekuwa anaishi nchi nyingize zaidi ya Tanzania angeuliwa kitambo kwa usaliti wake. Lissu ana act kama Tump hivi sasa, yaani anahaha. Yeye alidhani ama alijihakikishia kuwa angekuja kuwa rais wa Tanzania baada ya kupigwa risasi, kwamba wananchi wangemchagua yeye kwa kumuonea huruma ili aje kufurahisha wadhamani wake kwa kuiuza hii nchi. Ebu tuangalie jinsi wabelgiji na wazungu wanavyo-destabilize Congo DR. Wamewahonga washenzi wa mashariki ya Congo kuleta vita na kuua raia wasio na hatia na kuyumbisha nchi huku wazungu wakiendelea kujitajirisha na kutucheka waafrika kwa ujinga wetu. Marais wote waliopita Congo wanajuwa kuhusu huu mchezo ila kwa bahati mbaya nao wamejikuta wametumbukia kwenye huu mtego wa kuiuza nchi kujinufaisha wao wenyewe na kutesa raia wao. Lissu na hata ninadiriki kusema hata Zitto na baadhi ya wanaharakati wa hapa Tanzania wako kwenye hili kundi pia, ni wasaliti wa nchi wala si wapinzani. Ni vigumu sana kwa wapinzani kuiondoa CCM madarakani kwani CCM ina mizizi kila kona ya nchi, hii wapinzani wanatakiwa wajuwe. Badala ya wao kukaa chini na kuua vyama visivyo na mvuto kwa wananchi na kuunda umoja ili washindane vilivyo na CCM, wao kila uchaguzi wanaharibiana wenyewe kwa wenyewe kugombania madaraka. Mimi kama mtanzania, kwa kweli nasema serikali isiwafumbie macho wasaliti wa nchi yetu, lazima tuwawajibishe tu na kama wakiona vipi wahame nchi.
#Nonsense!
wote nyie ni wachumia tumbo tu,Hamjui hata hapa duniani mmeumbwa kwa ajili gani ndio maana mnatetea uovu hali ya kuwa miyoni mwenu mnajua ukweli ni upi!..Ndugu yang Kumbuka ipo siku utakutana na Mungu wako aliyekuumba hivyo bas usitetee uovu kana kwamba utaishi duniani milele!.
 
Hivi wewe una akli hata ya kukusaidia hata kwenye msalani na kujisaidia bila matatizo? Mbona unajitahidi sana kupotosha mambo ambayo Watanzania wemejionea kabisa? Na wengine kulazimishwa kufanya?

Ungeposti kwa Wakenya kule, labda wangekuamini. Watanzania tulikuwa Tanzania hii wakati wa uchaguzi. Tunajua kilichotokea. Unaonekna mjinga hata kwa watoto na mke wako.
Wanabodi,

Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?

Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"

Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!

Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)

Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.

Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!

Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!

Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!


Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020


Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!

Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.

Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.

Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.

Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.

Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
 
Prof.Kabudi kwa kasi ile ile atarekebisha mambo.
Hilo ni gazeti wameandika wala lisitutishe.
Uchaguzi umeisha na hakuna uchaguzi mwingine mpaka 2025.Na bahati mbaya kwa ukosefu wa pesa uliopo sidhani kama kuna chama kitakwenda mahakamani kupinga hata udiwani.
Kabudi atapata na kibali cha juli Hutu is bunge la Ulaya baada ya hotuba ya Lissu?
 
Hivi wewe una akli hata ya kukusaidia hata kwenye msalani na kujisaidia bila matatizo? Mbona unajitahidi sana kupotosha mambo ambayo Watanzania wemejionea kabisa? Na wengine kulazimishwa kufanya?

Ungeposti kwa Wakenya kule, labda wangekuamini. Watanzania tulikuwa Tanzania hii wakati wa uchaguzi. Tunajua kilichotokea. Unaonekna mjinga hata kwa watoto na mke wako.
Hizi nguvu anazotumia angezitumia kutengenezea chai wajane na watoto yatima angepata baraka.
 
Anko mchokozi sana weye! Mie sikupiga kura ng'o. It wouldnt have made any difference. Kama tupo wengi wa sampuli hii, pia ni jibu tosha.
 
#Nonsense!
wote nyie ni wachumia tumbo tu,Hamjui hata hapa duniani mmeumbwa kwa ajili gani ndio maana mnatetea uovu hali ya kuwa miyoni mwenu mnajua ukweli ni upi!..Ndugu yang Kumbuka ipo siku utakutana na Mungu wako aliyekuumba hivyo bas usitetee uovu kana kwamba utaishi duniani milele!.
Uovu gani aliotendewa Lissu? Kumbuka yule ana maisha baada ya kazi aliyokuwa nayo kabla hajawa msaliti wa nchi. You never know alimrubuni nani only he knows. Inawezekana huenda hata hao mabwana zake ndiyo walioshiriki kumtungua risasi. Kumbuka, wazungu wakitaka kukutumia they will give you anything ila ukiwazingua watakumaliza kwa risasi, so Lissu ndiye anayejuwa ukweli wa maisha yake. Mbona aliandamana kwenye kampeni na hakuna aliyempiga risasi? Yule jamaa ni mpuuzi tu, liache likapakatwe huko Ulaya.
 
Uovu gani aliotendewa Lissu? Kumbuka yule ana maisha baada ya kazi aliyokuwa nayo kabla hajawa msaliti wa nchi. You never know alimrubuni nani only he knows. Inawezekana huenda hata hao mabwana zake ndiyo walioshiriki kumtungua risasi. Kumbuka, wazungu wakitaka kukutumia they will give you anything ila ukiwazingua watakumaliza kwa risasi, so Lissu ndiye anayejuwa ukweli wa maisha yake. Mbona aliandamana kwenye kampeni na hakuna aliyempiga risasi? Yule jamaa ni mpuuzi tu, liache likapakatwe huko Ulaya.
Absolutely pathetic and nonesense!
 
Back
Top Bottom