THE NEW YORKER: Rais Samia amefika Marekani kusahihisha taswira iliyoachwa na Magufuli aliyeitenga Tanzania na Dunia. Lairarua ziara ya Royal Tour

THE NEW YORKER: Rais Samia amefika Marekani kusahihisha taswira iliyoachwa na Magufuli aliyeitenga Tanzania na Dunia. Lairarua ziara ya Royal Tour

Duuh mzafara umejaza floor tatu ya the ritz carlton Hotel.

Na wamekwenda kufanya shopping tu.

Daah.
Halafu Samia anaulizwa anapenda kufanya shopping wapi na yeye anaingia mkenge anajibu... "Calvin Klein... Zara." Anataka kuonyesha sio mshamba wa maduka ya New York. Alidhani ni ushamba kujibu mimi sijui vizuri maduka ya hapa ya nguo, na kipaumbele cha safari hii ni kuongelea masuala tofauti na maduka ya nguo. Wangemweka kwenye annals of Africa's most respected statesmen.

Pombe Magufuli na Julius Nyerere wanabingirika kaburini.

Julius Nyerere alisema ugumu wa kazi ya Urais ni kutembea vijijini na kuona watoto wa shule matako nje, miguu peku, na una feel responsible, asingeweza kumtamkia Mzungu kwamba anapenda kufanya shopping kwenye maduka yao ya Calvin Klein na Zara! NEVER! Samia Hassan is in over her head.
 
Halafu Samia anaulizwa kuhusu anapopenda kufanya shopping na yeye anaingia mkenge anajibu... "Calvin Klein... Zara"

Pombe Magufuli na Julius Nyerere wanabiringika kaburini. Julius Nyerere aliyesema ugumu wa kazi ya Rais ni kutembea vijijini unaona watoto wa shule matako nje,miguu peku asingeweza
kumtamkia Mzungu kwamba anapenda kufanya shopping kwenye maduka yao ya Calvin Klein na Zara! NEVER!
Mkuu unanitoa machozi hapa.

Watu wanatembea peku kiongozi wao anafanya shopping Marekani.

Kwa fedha ambayo hatuambiwi imetoka kwa nani.
 
Sasa ndio tunajua ukubwa wa delegation ya Chief Hangaya; they occupied THREE floors of the Ritz hotel!!! Wabongo mnajua ukubwa na gharama za kukaa RITZ hotel kwa siku kwa chumba? Sasa hapo ni gharama za hotel bado hizo shopping wanazosema wakina Mwigulu walikuwa wanalilia kwenda kufanya!!! Wababa mnaacha kuvaa kaunda suti na wamama kuvaa vitenge to save our forex mnakwenda kupoteza Huko Marekani halafu mnakuja mnalia vijana wenu hawana ajira!! Akili hiyo chief Hangaya mnaijua wenyewe!!

Sifa moja ya Marehemu Magufuli ilikuwa kutokupenda safari za nje na misafara mikubwa kama Samia anavyofanya!! Ingawaje mtasema alikuwa hasafiri kwasababu ya betri yake lakini hata hivyo alikuwa sio mpenda starehe na mtumbuaji wa fedha za wavuja jasho kama ilivyodhihirika kwa Hangaya! Unasafiri na kundi la watu wanachukua floors tatu za FIVE star hotel huo ni utumiaji wa fedha za umma bila uchungu ;huku wanannchi wakilia njaa nyumbani kwenu!! Tafadhali fikiria nchi mara unapoamua ukubwa wa misafara yako utatuua!! Ushauri mwingine wa Vasco Dagama mara akikupa uwe unachanganya na wako!!!
Tulienda kutangaza vivutio vya utalii
 
Unajua hizo floor tatu ni vyumba vingapi ?
Floors 33 rooms 1000 ambayo ni sawa na vyumba 30 kwa kila floor.

Floor 3 ni sawa na vyumba 90 ambavyo gharama kwa siku ni milioni mia moja na hamsini.
Screenshot_20220516-214723.png
 
Sasa ndio tunajua ukubwa wa delegation ya Chief Hangaya; they occupied THREE floors of the Ritz hotel!!! Wabongo mnajua ukubwa na gharama za kukaa RITZ hotel kwa siku kwa chumba? Sasa hapo ni gharama za hotel bado hizo shopping wanazosema wakina Mwigulu walikuwa wanalilia kwenda kufanya!!! Wababa mnaacha kuvaa kaunda suti na wamama kuvaa vitenge to save our forex mnakwenda kupoteza Huko Marekani halafu mnakuja mnalia vijana wenu hawana ajira!! Akili hiyo chief Hangaya mnaijua wenyewe!!

Sifa moja ya Marehemu Magufuli ilikuwa kutokupenda safari za nje na misafara mikubwa kama Samia anavyofanya!! Ingawaje mtasema alikuwa hasafiri kwasababu ya betri yake lakini hata hivyo alikuwa sio mpenda starehe na mtumbuaji wa fedha za wavuja jasho kama ilivyodhihirika kwa Hangaya! Unasafiri na kundi la watu wanachukua floors tatu za FIVE star hotel huo ni utumiaji wa fedha za umma bila uchungu ;huku wanannchi wakilia njaa nyumbani kwenu!! Tafadhali fikiria nchi mara unapoamua ukubwa wa misafara yako utatuua!! Ushauri mwingine wa Vasco Dagama mara akikupa uwe unachanganya na wako!!!
Hatujui kufanya chochote sawa.

Kubana matumizi kw akutosafiri ni vibaya, ila kusafiri bila mipango mizuri nako ni kubaya.
 
The whole article is centred on sarcasm which is ridiculing the president.

A poor nation occupying three floors in an expensive five star hotel

A president who is promising to gift a zoo an endangered species

Diplomats who are concerned of going shopping than anything else

Choice of words ‘a party’ accompanying the president indicating a group of people who were there to have fun; the respectable term would have been delegate.

A president who is excited by petty things

Kwa kifupi article imelenga kukejeli ziara ya raisi kama mtu ambae sio wakuchukuliwa serious; you just have to read it careful on what the author is implying and its not flattering at all.
 
The whole article is centred on sarcasm ridiculing the president.

A poor nation occupying three floors in an expensive five star hotel

A president who is promising to gift a zoo an endangered species

Diplomats who are concerned of going shopping than anything else

Choice of words ‘a party’ accompanying the president indicating a group of people who were there to have fun; the respectable term would have been delegate.

A president who is excited by petty things

Kwa kifupi article imelenga kukejeli ziara ya raisi kama mtu ambae sio wakuchukuliwa serious; you just have to read it careful on what the author is implying its flattering at all.
It is just so painful kusoma article ya namna hii kumhusu rais wa nchi yako.

Na hiki ndicho kinachotokea pale rais wa nchi ajifanyapo cheap.
 
Ifike mahali ifahamike kuwa, hata wewe haustahili kuishi, kwa sababu hata waliokufa sio kwamba ni watenda dhambi saana kushinda wewe, na pia wapo wanaokufa wasio na hatia yoyote, Je wewe huna dhambi? Je umemhonga kitu chochote huyo Mungu unayewasimangia waliokufa?

Kila nafsi itaonja mauti, uwe huna dhambi Ila utakufa, kama si Leo, basi kesho,

Tia maji tu kichwa chako

Halafu, upunguze kihelehele, kwa sababu na wewe ni vuno la Mungu huyo huyo aliyemvuna JPM,
Ninajuwa nitakufa, haina ubishi. Lakini kinachonifurahisha ni kuona Magufuli amekufa yeye kabla ya sisi aliotaka tufe kwa kutupiga risasi, kututeka, kutunyang'anya fedha na kutufukuza kazini. Magufuli aliiba uchaguzi wote wa 2020 na akapanga wabunge wake wa kupitisha mabadiliko ya Katiba ili awe Rais wa maisha pale mwaka 2025. Mungu kamuonyesha UKUU wake

Hicho ndicho kinatufurahisha
 
Halafu Samia anaulizwa anapopenda kufanya shopping na yeye anaingia mkenge anajibu... "Calvin Klein... Zara." Anataka kuonyesha sio mshamba wa maduka ya New York. Hajui kwamba angeheshimika zaidi kama angemwambia mzungu mimi sijui maduka yenu ya nguo au sijaja kuongelea maduka ya mavazi.

Pombe Magufuli na Julius Nyerere wanabiringika kaburini.

Julius Nyerere aliyesema ugumu wa kazi ya Urais ni kutembea vijijini unaona watoto wa shule matako nje, miguu peku, na una feel responsible, asingeweza kumtamkia Mzungu kwamba anapenda kufanya shopping kwenye maduka yao ya Calvin Klein na Zara! NEVER! Samia Hassan is in over her head.
Samia anachokifata huko ughaibuni ni kwa ajili ya hao hao wanaotembea matako wazi kwa ajili ya hao hao wanaokunywa maji pamoja na kuku wa kienyeji.

Msafara unaweza kuonekana ni ghali lakini hauwezi kulingana na thamani ya kilichofuatwa huko.
 
Samia anachokifata huko ughaibuni ni kwa ajili ya hao hao wanaotembea matako wazi kwa ajili ya hao hao wanaokunywa maji pamoja na kuku wa kienyeji.
Dah!...upo serious mkuu ?...ina maana huko ughaibuni ndio kuna suluhisho la hayo ?
Msafara unaweza kuonekana ni ghali lakini hauwezi kulingana na thamani ya kilichofuatwa huko
Kwamba kitakachopatikana baada ya hiyo ziara ni zaidi ya gharama za msafara ?.... tusubiri tuone
Statesman
 
The whole article is centred on sarcasm which is ridiculing the president.

A poor nation occupying three floors in an expensive five star hotel

A president who is promising to gift a zoo an endangered species

Diplomats who are concerned of going shopping than anything else

Choice of words ‘a party’ accompanying the president indicating a group of people who were there to have fun; the respectable term would have been delegate.

A president who is excited by petty things

Kwa kifupi article imelenga kukejeli ziara ya raisi kama mtu ambae sio wakuchukuliwa serious; you just have to read it careful on what the author is implying and its not flattering at all.
Ndio maana kwenye occasion moja umeme ulikatika.

Ile walikua ni kama wanatuma ujumbe.

Time is up. Baada ya kuona muda unakwenda tu bado watu wapo.
 
The whole article is centred on sarcasm which is ridiculing the president.

A poor nation occupying three floors in an expensive five star hotel

A president who is promising to gift a zoo an endangered species

Diplomats who are concerned of going shopping than anything else

Choice of words ‘a party’ accompanying the president indicating a group of people who were there to have fun; the respectable term would have been delegate.

A president who is excited by petty things

Kwa kifupi article imelenga kukejeli ziara ya raisi kama mtu ambae sio wakuchukuliwa serious; you just have to read it careful on what the author is implying and its not flattering at all.
I second you,lakini tungoje tuone mafanikio ya Royal tour.
 
Soma vizuri hiyo article. The New Yorker pamoja na Peter Greenberg wamemchana Samia. Wamemshtukia ni mtupu.

Wamesema ameambatana na msafara wa ma diplomats wanaotaka kwenda shopping.

Wamesema amekuja kutangaza utalii, lakini cha ajabu Samia kasema kuna wanyama Tanzania hawavutii, wana sura mbaya, kama Nguruwe Pori ambaye Peter Greenberg alimpenda. Kwa wazungu hiyo ni bonge la scandal kusema mnyama ana sura mbaya.

Pia wameonyesha Samia aliongopa alivyojidai amevua samaki mkubwa. Yule samaki, gazeti linasema, alidumbukizwa kwenye mtumbwi kimazingira kwa sababu aliyekuwa anavua ni Rais!

Wanasema Samia ame offer kuchukua Nyati, SImba na Tembo na kuwapeleka Central Park, New York. Unahamishaje wanyama kwenda kwa watu ambao unataka waje Tanzania kuwaona ?

Gazeti linasema Samia na msafara wake wamechukua ghorofa tatu za hoteli ya kifahari ya The Ritz Carlton. Wamerudia hilo jina The Ritz mara kumi kidogo. Hili ni dongo, kwa tunaowajua wazungu.

Samia amefanywa kituko.
Duh!
 
Back
Top Bottom