THE NEW YORKER: Rais Samia amefika Marekani kusahihisha taswira iliyoachwa na Magufuli aliyeitenga Tanzania na Dunia. Lairarua ziara ya Royal Tour

THE NEW YORKER: Rais Samia amefika Marekani kusahihisha taswira iliyoachwa na Magufuli aliyeitenga Tanzania na Dunia. Lairarua ziara ya Royal Tour

Kwani hadi US walitikiswa na Mwendazake?

Hakika huyu angekuwa na pesa tungejitemea bila kujikomba kwa mtu.
Kwani hujui kwamba aliharibu dira ya US hapa Tanzania?

US alitaka kuifanya Tanzania Nchi ya mfano kwenye demokrasia na maendeleo Ili Nchi zingine wajifunze na kuunga mkono siasa na ustaarabu wake..

Sasa mwelekeo wa kipuuzi wa siasa za uhasama za Mwendazake zilihatibu Mchongo..

Tanzania ingekuwa mbali Sana endapo tungeendelea vile,kwa mfano Tulikuwa tunapata dola mil.700 sawa na sh.Til.1.5 za MCC bure kabisa ila kwa miradi yenye tija,hakuna Nchi nyingine ilipata pesa nyingi kuzidi Tanzania..

Tulikuwa tuwe kitovu cha Programu za Power Africa kwa ajili ya Umeme na Program ya Feed the Future kwa ajili ya kufanya kilimo Bora..

On top of that US ilikuwa itufungulie soko la Mazao la AGOA,program za afya kama ya kudhibiti malaria na kifua kikuu.

US walitaka wajenge Mji wa mfano wa kitalii yaani Miami ya Bongo kule Kigamboni wenye facilities zote ikiwemo Command yao ya Jeshi ..

Hiyo ni baadhi tuu ya mifano
 
Kwani hujui kwamba aliharibu dira ya US hapa Tanzania?

US alitaka kuifanya Tanzania Nchi ya mfano kwenye demokrasia na maendeleo Ili Nchi zingine wajifunze na kuunga mkono siasa na ustaarabu wake..

Sasa mwelekeo wa kipuuzi wa siasa za uhasama za Mwendazake zilihatibu Mchongo..

Tanzania ingekuwa mbali Sana endapo tungeendelea vile,kwa mfano Tulikuwa tunapata dola mil.700 sawa na sh.Til.1.5 za MCC bure kabisa ila kwa miradi yenye tija,hakuna Nchi nyingine ilipata pesa nyingi kuzidi Tanzania..

Tulikuwa tuwe kitovu cha Programu za Power Africa kwa ajili ya Umeme na Program ya Feed the Future kwa ajili ya kufanya kilimo Bora..

On top of that US ilikuwa itufungulie soko la Mazao la AGOA,program za afya kama ya kudhibiti malaria na kifua kikuu.

US walitaka wajenge Mji wa mfano wa kitalii yaani Miami ya Bongo kule Kigamboni wenye facilities zote ikiwemo Command yao ya Jeshi ..

Hiyo ni baadhi tuu ya mifano
Unatamani kuwa mtumwa wewe naona.

Mambo ya kijeshi wasilete kabisa. Hatutaki na hatuna haja nayo.

Wapewe Kigamboni Bure? Ni uchizi tun
 
Huyu rais wa ajabu kweli anataka kugawa wanyama bila kuombwa? Alichukua hoteli ya kifahali RITZ ghorofa zote tatu wamekaa na maafisa wake angalia shopping zao Calvin Klein, Zara, HM yaani kutoka Tanzania ya umasikini hadi Tanzania ya utajiri. Akitoka hapo anatembeza bakuli kuomba misaada na kukopa. Hawa wazungu kichwa sana walimuuliza maswali kuhusu magufuli kumpima IQ yake naye akajiingiza kichwa kichwa na majibu ya kukashifu. Wale wazungu wanatamani wapate fuvu la kichwa cha Magufuli ili wakipime kuona akili zake zilikuwa kubwa kiasi gani. Suala la COVID 19 limempaisha sana duniani. Sisi tunao Makatekista wetu kutoka Spain huwa wanakuja kila baada ya miezi mitatu wanasema kwa pongezi kwamba Tanzania ni nchi ya pekee duniani kwa kuchukua maamuzi sahihi juu ya COVID 19.
 
Halafu Samia anaulizwa anapenda kufanya shopping wapi na yeye anaingia mkenge anajibu... "Calvin Klein... Zara." Anataka kuonyesha sio mshamba wa maduka ya New York. Hajui kwamba angeheshimika zaidi kama angewaambia mimi sijui maduka yenu ya nguo au sijaja kuongelea maduka ya mavazi.

Pombe Magufuli na Julius Nyerere wanabingirika kaburini.

Julius Nyerere alisema ugumu wa kazi ya Urais ni kutembea vijijini na kuona watoto wa shule matako nje, miguu peku, na una feel responsible, asingeweza kumtamkia Mzungu kwamba anapenda kufanya shopping kwenye maduka yao ya Calvin Klein na Zara! NEVER! Samia Hassan is in over her head.

Haha, Calvin Klein, HM sio kwa Marais. Ni vijana wanaenda pale. Zara,Next, M& S ni kidogo vina hadhi.

Marais wanaenda Selfridges, Ritz - Carlton.
 
Weka facts straight, Royal Tour sio sababu ya hayo uliyoyataja. Bila royal tour hayo pia yangeweza kufanyika, japo sio mbaya pia kufanya hiyo royal tour.

Ila Rais kuomba kuwapa Marekani Tembo, faru na Simba ni Jambo la ajabu kidogo. Sijui viongozi wetu wa Afrika wamekumbwa na nini.

Kutojiamini.Utupu kichwani. Fikiria huyu SSH afanye makubaliano kuhusu madini yetu, mitakaba yote. Atawapa Loliondo, Bagamoyo nusu ya Tanzania bara.
 
sio rafiki, ni wanafiki sana wazungu

imagine huyo huyo Peter Greenberg aliyekuwa "rafiki" wa Samia ndio anamchana Samia kwenye hiyo article...

Peter Greenberg ndio aliyesema kwenye msafara wa Samia "everybody wants to go shopping...."

Na ni huyo huyo Greenberg aliyesema samaki aliyevuliwa na Samia kiukweli alitumbukizwa kwenye mtumbwi ghafla ghafla kwa sababu Samia ni Rais, lakini hakuvuliwa na Samia. Yani Samia mwongo!

Samia hajaishi na wazungu, hajui wazungu walivyo wanafiki.

Samia anadhani akijua maduka yao ya Calvin Klein na Zara basi anajua kuhusu uzunguni na wazungu...
Wazungu wanaheshimu sana ukweli, uhalisia. Wanafundishwa hivyo toka shule ya msingi na pre- school, miaka mitatu. Wanapenda mtu ambaye yuko genuine.
 
Samia anachokifata huko ughaibuni ni kwa ajili ya hao hao wanaotembea matako wazi kwa ajili ya hao hao wanaokunywa maji pamoja na kuku wa kienyeji.

Msafara unaweza kuonekana ni ghali lakini hauwezi kulingana na thamani ya kilichofuatwa huko.
Aseeh nimeshika kichwa
 
US walitaka wajenge Mji wa mfano wa kitalii yaani Miami ya Bongo kule Kigamboni wenye facilities zote ikiwemo Command yao ya Jeshi ...

US wangekujengea "Miami" Kigamboni na Command ya Jeshi Kigamboni wangekwambia kuanzia leo bichi za Kigamboni ussenge ruksa. Ungekubali ??????

Mzungu yuko strategic kwenye kila kitu. Huo mradi wa Umeme wa Power Africa ulikuwa wa bure ? Kwa nini basi Hillary Clinton alipoleta kampuni ya Symbion kwa nini USA hawakumlipa huyo Symbion, tuna li kesi la deni lao mpaka leo, why the hell ???

Unadhani State Department / CIA hawajui kwamba kuna ki nchi maskini huko Africa kinadaiwa billi ya kuunga umeme na kampuni ya Kimarekani? Don't be naive and gullible.
 
US wangekujengea "Miami" Kigamboni na Command ya Jeshi Kigamboni wangekwambia kuanzia leo bichi za Kigamboni ussenge ruksa. Ungekubali ??????

Mzungu yuko strategic kwenye kila kitu. Huo mradi wa Umeme wa Power Africa ulikuwa wa bure ? Kwa nini basi Hillary Clinton alipoleta kampuni ya Symbion kwa nini USA hawakumlipa huyo Symbion, tuna li kesi la deni lao mpaka leo, why the hell ???

Unadhani State Department / CIA hawajui kwamba kuna ki nchi maskini huko Africa kinadaiwa billi ya kuunga umeme na kampuni ya Kimarekani? Don't be naive and gullible.
Hisia za kijinga tuu hizo,wapi wanafanya hivyo? Wamejenga S.Korea,Japan,Europe,Taiwan nk umewahi sikia huo utopolo wako?
 
sio rafiki, ni wanafiki sana wazungu

imagine huyo huyo Peter Greenberg aliyekuwa "rafiki" wa Samia ndio anamchana Samia kwenye hiyo article...

Peter Greenberg ndio aliyesema kwenye msafara wa Samia "everybody wants to go shopping...."

Na ni huyo huyo Greenberg aliyesema samaki aliyevuliwa na Samia kiukweli alitumbukizwa kwenye mtumbwi ghafla ghafla kwa sababu Samia ni Rais, lakini hakuvuliwa na Samia. Yani Samia mwongo!

Samia hajaishi na wazungu, hajui wazungu walivyo wanafiki.
Kwani alichokisema huyo Peter Greenberg ni unafiki au ukweli ?....
 
Hivi, ni kwanini hayati JPM, alionekana kuwa tishio?

Kila agenda lazima atajwe. Itabidi kifo chake kichunguzwe
Alikuwa mharifu kama waharifu wengine. Na ilikuwa bahati mbaya Kwa Tanzania kupata kuwa rais Kwa mtu wa aina ile
 
Unatamani kuwa mtumwa wewe naona.

Mambo ya kijeshi wasilete kabisa. Hatutaki na hatuna haja nayo.

Wapewe Kigamboni Bure? Ni uchizi tun
Wewe ni mjinga,taja Nchi yeyote ambayo unajua ni mtumwa wa US? Us imesaidia na inasaidia mambo mangapi hapa Tzn na Duniani kwa ujumla,umeona kuna utumwa?

Kama Zambia na Somalia wameamua kufukuza wale tumbili za Kichina na kumleta US ,mimi ni nani niache kuwa upande wa kubwa la mabeberu Ili nifaidi meme ya Nchi?👇

Screenshot_20220518-082447.png


Screenshot_20220515-132857.png


Screenshot_20220512-185525.png
 
Weka facts straight, Royal Tour sio sababu ya hayo uliyoyataja. Bila royal tour hayo pia yangeweza kufanyika, japo sio mbaya pia kufanya hiyo royal tour.

Ila Rais kuomba kuwapa Marekani Tembo, faru na Simba ni Jambo la ajabu kidogo. Sijui viongozi wetu wa Afrika wamekumbwa na nini.
Anazingua
 
sio rafiki, ni wanafiki sana wazungu

imagine huyo huyo Peter Greenberg aliyekuwa "rafiki" wa Samia ndio anamchana Samia kwenye hiyo article...

Peter Greenberg ndio aliyesema kwenye msafara wa Samia "everybody wants to go shopping...."

Na ni huyo huyo Greenberg aliyesema samaki aliyevuliwa na Samia kiukweli alitumbukizwa kwenye mtumbwi ghafla ghafla kwa sababu Samia ni Rais, lakini hakuvuliwa na Samia. Yani Samia mwongo!

Samia hajaishi na wazungu, hajui wazungu walivyo wanafiki.
Duh
 
Back
Top Bottom