THE NEW YORKER: Rais Samia amefika Marekani kusahihisha taswira iliyoachwa na Magufuli aliyeitenga Tanzania na Dunia. Lairarua ziara ya Royal Tour

Duuh mzafara umejaza floor tatu ya the ritz carlton Hotel.

Na wamekwenda kufanya shopping tu.

Daah.
Halafu Samia anaulizwa anapenda kufanya shopping wapi na yeye anaingia mkenge anajibu... "Calvin Klein... Zara." Anataka kuonyesha sio mshamba wa maduka ya New York. Alidhani ni ushamba kujibu mimi sijui vizuri maduka ya hapa ya nguo, na kipaumbele cha safari hii ni kuongelea masuala tofauti na maduka ya nguo. Wangemweka kwenye annals of Africa's most respected statesmen.

Pombe Magufuli na Julius Nyerere wanabingirika kaburini.

Julius Nyerere alisema ugumu wa kazi ya Urais ni kutembea vijijini na kuona watoto wa shule matako nje, miguu peku, na una feel responsible, asingeweza kumtamkia Mzungu kwamba anapenda kufanya shopping kwenye maduka yao ya Calvin Klein na Zara! NEVER! Samia Hassan is in over her head.
 
Mkuu unanitoa machozi hapa.

Watu wanatembea peku kiongozi wao anafanya shopping Marekani.

Kwa fedha ambayo hatuambiwi imetoka kwa nani.
 
Tulienda kutangaza vivutio vya utalii
 
Hatujui kufanya chochote sawa.

Kubana matumizi kw akutosafiri ni vibaya, ila kusafiri bila mipango mizuri nako ni kubaya.
 
The whole article is centred on sarcasm which is ridiculing the president.

A poor nation occupying three floors in an expensive five star hotel

A president who is promising to gift a zoo an endangered species

Diplomats who are concerned of going shopping than anything else

Choice of words ‘a party’ accompanying the president indicating a group of people who were there to have fun; the respectable term would have been delegate.

A president who is excited by petty things

Kwa kifupi article imelenga kukejeli ziara ya raisi kama mtu ambae sio wakuchukuliwa serious; you just have to read it careful on what the author is implying and its not flattering at all.
 
It is just so painful kusoma article ya namna hii kumhusu rais wa nchi yako.

Na hiki ndicho kinachotokea pale rais wa nchi ajifanyapo cheap.
 
Ninajuwa nitakufa, haina ubishi. Lakini kinachonifurahisha ni kuona Magufuli amekufa yeye kabla ya sisi aliotaka tufe kwa kutupiga risasi, kututeka, kutunyang'anya fedha na kutufukuza kazini. Magufuli aliiba uchaguzi wote wa 2020 na akapanga wabunge wake wa kupitisha mabadiliko ya Katiba ili awe Rais wa maisha pale mwaka 2025. Mungu kamuonyesha UKUU wake

Hicho ndicho kinatufurahisha
 
Samia anachokifata huko ughaibuni ni kwa ajili ya hao hao wanaotembea matako wazi kwa ajili ya hao hao wanaokunywa maji pamoja na kuku wa kienyeji.

Msafara unaweza kuonekana ni ghali lakini hauwezi kulingana na thamani ya kilichofuatwa huko.
 
Samia anachokifata huko ughaibuni ni kwa ajili ya hao hao wanaotembea matako wazi kwa ajili ya hao hao wanaokunywa maji pamoja na kuku wa kienyeji.
Dah!...upo serious mkuu ?...ina maana huko ughaibuni ndio kuna suluhisho la hayo ?
Msafara unaweza kuonekana ni ghali lakini hauwezi kulingana na thamani ya kilichofuatwa huko
Kwamba kitakachopatikana baada ya hiyo ziara ni zaidi ya gharama za msafara ?.... tusubiri tuone
Statesman
 
Ndio maana kwenye occasion moja umeme ulikatika.

Ile walikua ni kama wanatuma ujumbe.

Time is up. Baada ya kuona muda unakwenda tu bado watu wapo.
 
I second you,lakini tungoje tuone mafanikio ya Royal tour.
 
Duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…