Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,795
- 9,143
He has finished his speech. Astonishing and dramatic speech in deed. Specifically addressed to the Western media for allegedly being bias. Also, he mentioned the word "ceasefire" in several times. He has appealed for all parties to sit down and negotiate a way out.
Hata wale mnaoshabikia hawa wauaji wa NATO ipo siku mtalia actually wengi wa Watanzania tuna hali ngumu sana za maisha..Libya ilikua nchi nzuri iliyotulia ikitoa huduma nyingi bure kwa watu wake..hata pamoja na kupigana na wazungu kwa miezi hiyo yote bado hata Dinar ina nguvu sana...naamini hawa wavamizi wataondoka siku moja Afrika imevurugwa sana na hawa mbwa tangu enzi na enzi...
Viongozi wengi wa kiafrika wameuwawa nani asiejua nani alimuua Lumumba,Samora? nani alimwita Mandela Gaidi?!! nani asiejua nyie mnajifanya mnashadadia haya mazungu yanayoua watu wetu Libya!! wakitoka pale mnajua wataelekea wapi?!! what if wakaja hapa na wakaua baba ama mama yako will u say the say words?!!

