The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Capture9-7-2011-7.44.49+PM.jpg

715b4409-47e5-4a5b-9add-32264879ae7e.jpg
 
. Mazuri aliyofanya Ghadafi kwa nchi yake nayakiri na kwa hilo namsifu.

Lakini hapohapo nikukumbushe kuwa hayo aliyoyafanya si HISANI bali ni WAJIBU wake kama kiongozi wa nchi. Kwani alitumia raslimali zake za familia ama za nchi? Hapana. Sasa kwa nini asifiwe kama vile alikuwa anafanya philanthropy? Dhima ya kuwa kiongozi ni kuwa accountable na kutumia resources za nchi kwa manufaa ya wote. Unaposhindwa kufanya hivyo hufai na unapaswa uondolewe ama ujiondoe.(Kwa hili kwa nchi nyingi za kiafrika hatujaweza kufanikiwa but thanks to arab spring imeset precedent)

Na unapoweza kuzitumia raslimali hizo vizuri haina maana kwamba inakupa haki isiyonyang'anyika ya kuwa kiongozi wa maisha ama raia wa daraja la kwanza mwenye haki zaidi ya raia wengine wote katika nchi yako, absolutely No. Wananchi wanapotaka kukuondoa madarakani hata kama umefanya wajibu wako wa kutumia raslimali za nchi vizuri unapaswa uondoke.

Sasa hoja zilizopo kwa wingi ni Ghadafi kafanya makubwa kwa nchi yake, sawa sikatai. Lakini je hili linampa haki isiyonyang'anyika ya kuwa raisi wa maisha ama raia mwenye haki zaidi kuliko walibya wote? Hapana.
Mkuu
Gaddfi hakufanya aliyofanya kama hisani, amefanya kama wajibu wa Kiongozi mpenda nchi yake anavyopaswa kufanya. Nioneshe kiongozi yeyote wa zamani au sasa ambaye hakufanya au hafanyi makosa katika kuongoza nchi yake.

Umechukua mfumo wa domokrasia wa West kuwa ndio kigezo na umesahau hii.
Interview PM al-Mahmoudi 19_07_2011, NATO War On Libya - YouTube
 
Newly released death photo's,some High Quality, showing the lifeless body of former Libyan leader Moammar Gaddafi after he was captured by opposing Rebel Forces in Sirte,Libya.

Warning Graphic.

Subscribe to my channel for war vids and current events,thanks.


May God feed you honey Comrade.
 
Hivi ndivyo Walibya wenyewe wanavyomuona Gadaffi.

Reactions to Gaddafi's death


Ahmed Addarrat
20111020165217159734_8.jpg
Ahmed Addarrat is a second-generation Libyan exile living in the United States. He is a member of the organisation Enough, which is made up of American and European political exiles.
There is overwhelming jubilation [about Gaddafi being killed]. I think it is a collective sigh of relief, because even though much of Libya has been enjoying freedom, there still wasn't clear-cut freedom until Gaddafi either got captured or killed, because he was still causing a lot of chaos; he still had followers who were responding to his orders. It's very hard to explain, after 42 years under his rule - and then to see him reduced to a dead corpse in a rat hole.
Words can't really describe the feeling of Libyans in Libya and those in the diaspora in exile around the world. It's been a long time coming, but everybody's happy to see this thing.
I think [a trial] would've held the country back a little bit from getting started and rebuilding. A trial would've been a bit of a circus. It would've been a distraction. We have a country to rebuild and we have a lot of work to do, and I think it's better that he's dead and out of the way right now … I think pretty much everybody understood what the outcome of the trial would have been anyway.
[My parents] left Libya in 1979. My dad went to Sudan and Morocco first, and he went all over the place before he settled in America. I just got off the phone with him: tears of joy. All these years he's been struggling, fighting against this man.
I'm actually going to Libya in a couple of weeks. It'll be my first time. I'm originally from Misrata, but I'm going to visit Tripoli and Benghazi; we have family all over the place. Gaddafi kept us from our family back in Libya, but we were blessed with another family here [of Libyans who had fled] living abroad.



Salman Shaikh
2011102015388770580_8.jpg
Salman Shaikh is director of the Brookings Doha Center and fellow at the Saban Center for Middle East Policy. He focuses on mediation and conflict resolution issues facing the Middle East and South Asia. He has held posts at the United Nations and the Office of Her Highness Sheikha Mozah Bint Nasser Al Missned in Qatar.
The death of Muammar Gaddafi is a pleasant surprise. I hate to say it that way, but this is a dictator who has shown that he really was going to fight to the death. It certainly hails the start of a new Libya. And of course it signifies something extraordinary: the fall of three dictators in less than 10 months in North Africa in the context of what is going on in the Middle East. 2011 is an extraordinary year for the region.
The death of Gaddafi will tell other autocrats in the region that their days are numbered. It should tell them that the use of violence and force against their own people can only be effective for so long. There are all different situations, and of course specifically for Bashar al-Assad and Ali Abdullah Saleh, for example, have been using their security forces for quite some time. But at the end of the day, if we do get into a situation where they are not able to reach accommodation with their own people, and the people will not stop, as seems apparent in both Syria and Yemen, things have to change.
Of course this revolution was inspired by Tunisia and Egypt. Many people thought that the Libyans started too early and that they were impatient, which led to the militarisation of the revolution. But frankly, they were facing a dictator and family who were not going to go by any other means than force, and we've seen that, even in the final battles. We've seen that Ben Ali may be the leader who made the best choice at this point in time.
With the kind of force that Gaddafi was going to use, I think that did merit the Western and Arab intervention that we saw, and whether by design or by accident it's showed how concerted international action can protect civilians, and how this leads to those people asserting themselves in this kind of situation.


Ali Aujali
20111020173626273621_8.jpg
Ali Aujali is the Libyan ambassador to the US on behalf of the National Transitional Council.
It is a great day for the Libyans and for the international community to put an end for the dictatorship of Gaddafi's regime. This is the day of the end of terror, of oppression, and of dictatorship in Libya. Libya now is a free country. Libyans now are free people, and they are looking forward to build a new Libya. It is a great day by all means.
I think we [the US and Libya] share the same feeling, the same celebration. This man [Muammar Gaddafi] hurt not only the Libyans inside Libya, but his criminal act is all over the world. The Americans suffered more than any other nation. I think this is a cheerful day for humanity all over the world, not only in Libya. Leaders who support the democracy and support the struggle of the people for their future, for their destiny to get rid of the brutal regime that have been taking Libya for granted: I think they are all celebrating.
I think what is happening in Libya sends a very strong message to the countries and the dictators still around in the Arab world, that this is the end of dictatorship. And what happened in Libya is sending a strong message. They have to let their people enjoy democracy.
The main thing for me is that he is out. This is a man that only understands the words of revenge. He knows that he is involved in many criminal acts against the Libyans, against the international community, and he knows very well that there is no chance for him to survive. Myself, I always liked to see him dead, instead of captured. If we capture him there are a lot of concerns to come around. This is his end and we are celebrating with the world the end of dictatorship.



Source:
Al Jazeera
 
Mkuu jmushi1,
Kwa upande wangu nawaona wananchi wa Libya kama wapumbavu na wasio na akili timamu kutokana na sababu mbalimbali. Mosi,ukiangalia jamaa mambo aliyoyafanya jamaa ni makubwa ambayo hakuna taifa lolote duniani limeweza kuyafanya! Cha msingi hapa sio "udikteta" wa Gaddafi,ila ni "ukaidi" wake ndio uliokuwa haupendwi na the so called "donar communi ty"...ukumbuke kuwa dunian i hakuna nchi ambayo haidaiwi/haina deni!!! Libya ilikuwa hain a deni bali iliweza kusaidia na kukopesha nchi zi "freedom of speech" halafu tukiishi chini ya dola moja!
Nawasilisha...
Hivi unajua kumchoka mtu ama kitu au jambo? Ikikufikia hiyo huangalii nyuma..Huwezi jua we hujaishi pale. Ni kama mke ambaye wanawake wenzake wanamshangaa kwa kuomba kwake talaka kwa kuwa tu wanamwona anabadili magari jumatatu mpaka jumapili anapoenda sokoni au kazini..
 
UPDATE 1-Government building on fire in Libyan capital

Mon Feb 21, 2011 9:31am GMT

Yawezekana jengo hilo kunasehemu limetengenezwa kwa matofali ya baruti, nadhani wakati 'tebels sorry NaTo-Ntc' wanashangilia kwa risasi wameiwasha baruti hiyo. Niajari/li ya kawaida ya moto. ASKARIKANZU wafikiriaje weye?
 
usije ukaanza kushangilia kifo cha gadafi bila kua na vielelezo ya mabaya alioyafanya..isiwe unaropoka soma kwanza vitabu na sio unakuja na micro cheep yako kwa brain....malipo duniani
 
**************

Source: Catholic News Agency:

{Vatican voices hope for Libya after Ghadafi's death}

**************

After Moammar Ghadafi's death, Libya must chart a new course based on human dignity and the rule of law, the Vatican said in a statement released Oct. 20.

"The news of the death of Colonel Moammar Ghadafi thus closes an overly long and tragic phase of the bloody fight for the overthrow of a hard and oppressive regime," the Holy See's Press Office said in its reaction on Thursday.

The former Libyan leader's violent death, it said, shows "the immense human suffering that accompanies the affirmation and the collapse of every system that is not based on the respect and dignity of the person, but on the prevailing assertion of power."

The Vatican said it now hopes the new governors will work to prevent violence motivated by revenge and "take on the necessary work of sowing peace and reconstruction as soon as possible, with a spirit of inclusion, on the foundation of justice and law."
Libya's Transitional National Council, which took the capital Tripoli in August, is now preparing to declare full "liberation" of the country that Colonel Ghadafi, 69, ruled for 42 years.

The ousted dictator died at the hands of rebels in his hometown of Sirte, reportedly from gunshot wounds to his head and abdomen. An official in the transitional council told Reuters that his burial would take place on Friday in the city of Misrata.

The Holy See hopes other nations, many of which joined a NATO intervention in Libya's civil war, "will be committed to generously assisting" in rebuilding the country.

Meanwhile, Libya's small Catholic community "will continue to offer its testimony and its … service, in particular in the charitable and health fields," as the Vatican works for the country's good by diplomatic means.

In Thursday's statement, the Vatican recognized that the Transitional National Council "is now seated in an effective way as government in Tripoli," such that the Holy See now "considers it the legitimate representative of the Libyan people, in conformity with international law."
Vatican representatives have already had contact with Libya's new authorities. Its Secretariat of State has been in touch with Libya's representatives to the Vatican in the time since the transitional council took Tripoli.

More recently, Archbishop Tommaso Caputo, the Pope's representative in Libya, visited Tripoli from Oct. 2 to 4 and met with the council's Prime Minister Mahmoud Gibril as well as the Ministry for Foreign Affairs.

"For their part," the Vatican's statement noted, "those responsible for the new Libya communicated their appreciation for the humanitarian appeals of the Holy Father and for the commitment of the Church in Libya," particularly the hospitals and other aid centers run by 13 religious orders.
**************
 
Video mbili zinazoonyesh Gaddafi's last minutes zina prove kuwa walimpiga risasi ya kichwa mara baada ya kumkamata.
Kama nilivyosema awali,moja ya video hakuwa ana damu nyingi upande wa kushoto na nyingine ni dhahiri kulikuwa na tundu la risasi na damu ikimwagika,tena hata yeye mwenyewe akiwa anajipangusa,pengine bila kujuwa ilikuwa ni damu.Ni unyama tu.
 
Yawezekana jengo hilo kunasehemu limetengenezwa kwa matofali ya baruti, nadhani wakati 'tebels sorry NaTo-Ntc' wanashangilia kwa risasi wameiwasha baruti hiyo. Niajari/li ya kawaida ya moto. ASKARIKANZU wafikiriaje weye?
Tangia siku hizo Gaddafi angepaswa kuanza kuamka kutoka kwenye usingizi mzito wa madaraka. Yaliyomtokea Gaddafi ni kama funzo kwa viongozi wengine wenye tabia ya kujisahau. Naona unanilazimisha niwe NTC sio? Napenda zaidi rangi za ASKARIKANZU (red, gold and green)!
 
Mkuu watu ni wabishi na hawajui hizo facts za jamaa kuwa alikuwa "SO CARING" kwa nchi yake kiasi hata cha kuifia...yaani waLibya hawajui wayatendayo ila sasa ndo watajua kuwa maisha ni machungu coz walishazoea vya bure sasa vinakuja vya kununua!

Yeh .. SO CARING? for rats?
 
Na unapoweza kuzitumia raslimali hizo vizuri haina maana kwamba inakupa haki isiyonyang'anyika ya kuwa kiongozi wa maisha ama raia wa daraja la kwanza mwenye haki zaidi ya raia wengine wote katika nchi yako, absolutely No. Wananchi wanapotaka kukuondoa madarakani hata kama umefanya wajibu wako wa kutumia raslimali za nchi vizuri unapaswa uondoke.

Sasa hoja zilizopo kwa wingi ni Ghadafi kafanya makubwa kwa nchi yake, sawa sikatai. Lakini je hili linampa haki isiyonyang'anyika ya kuwa raisi wa maisha ama raia mwenye haki zaidi kuliko walibya wote? Hapana.

Understanding the Green Book & Libyan politics, the easy way - YouTube
 
Alikuwa cruel vibaya mno! Vizazi vya adui zake havikufaidi hayo hapo juu! Ilikuwa kama enzi ya JKN kuwa ukiongea kokote eti anasikia. Mashushushu kibao! Huna ruksa ya kuhoji wala kuanzisha jumuiya yeyote! Wala hutakiwi hata kuyawaza hayo.. Maana atajua tu! Na maisha ama jela itakunukia tu.Wewe na jamaa zako. Ukiingia hotelini pamoja na sabuni na mafuta,mswaki, utapewa pia Green Book. Hiyo ni kama sheria za kuishi pale kama mgeni,na ni mawazo yake binafsi,ndiyo katiba ndiyo sheria,ndiyo kila kitu. Unaweza kukuta kisomo alichokiinua ndicho kilichomponza. Ukisoma unafundishwa what,why,when,how n.k. Maoni yangu wadau. Alama za nyakati viongozi wengi hawazizingatii.
 
hata kama wanamwita gaidi au majina yote mabaya hakustahili kifo cha ajabu kiasi hicho maana hadi siamini nini hasa kimetokea , aalikuwa ana msimamo na alijijengea heshima kwa africa na maadui
 
Back
Top Bottom