The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Baada ya takwimu hizi ungetupa conclussion yako mkuu kuonyesha ulilenga marekani isiongee nini na hizo takwimu zimeongea nini, mfano ulitaka kumaanisha utawala ulikuwa mzuri au mbaya kwa mujibu wa takwimu au marekani wamevuruga nchi iliyokuwa inastahili kuvurugwa nk nk.

Utawala wowote huhukumiwa kwa takwimu na wala si vinginevyo. Nimeona kuna mijadala mizuri inaendelea hapa. But wale wanaoamini Gadaffi amepata alichostahili hawatuoneshi wapi alipoboronga, maana demokrasia si kubadilishana madaraka tu kila baada ya miaka mitano, na hivyo kila anayeingia anatoka mifuko yake imetuna na kuwaacha wananchi wake wengi wakiwa hali mbaya. Na ndio maana malkia wa Uingereza ameingia madarakani mwaka 1959, na Uingereza haina katiba iliyoandikwa lakini kwa kuwa watu wake wanahudumiwa vizuri hatujawahi kusikia uingereza kuna vita ya kumtoa malkia. Kwa mfano Tanzania kuna demokrasia lakini mwalimu moja anafundisha watoto 53, kwa Libya mlm moja wanafunzi 8, au Tz DR. moja anahudumia watu 44133, Libya ilikuwa DR. watu 775 kwa mwaka.
Lakini pia wale wanaosema Gadaffi ameuwa watu hawajatupa takwimu, kwa sababu hata TZ watu waliuawa 2001 na 2011 na huenda mauaji yakaendelea Kwa sababu wale waliouwa walipewa vyeo badala ya kushtakiwa, (MUNGU APISHE MBALI)( kumbuka ni mahakama pekee ndio ina haki ya kuhukumu kifo.)

Saddam aliuwa watu wapatao 2000, lakini ili kumtoa madarakani Marekani na washirika wake waliua zaidi ya watu 500,000. Na baada ya kumyonga Saddam wamekufa wengi zaidi kutokana na mabomu ya wanaojitoa mhanga, njaa, na maradhi. Tukumbuke fedha za Iraq kwa sasa zinalipia vita pamoja na makampuni ya wakandarasi wa kigeni wanaoijenge upya Iraq kwani majumba, barabara na madaraja yalitwanga na Nato bila huruma wakijua ni dili la baadae.
Ni kweli baadhi ya Wairaq hawakumpenda Saddam kwa Ubabe wake lakini kwa sasa wanajuta maana kuna watu watakufa bila ya kuonja raha ya kuzaliwa Iraq.
Lakini pia tunasahau wauwaji wakubwa wa Africa walikuwa wamepata baraka kutoka kwa mataifa ya Magharibi, eg Makaburu wa SA, RENAMO ya Msumbiji, Jonas Savimbi wa Angola, Mabutu wa Zaire, Intarahamwe ya Rwanda nk.
Hitimisho langu ni kuwa Gaddafi alipaswa aondolewe madarakani kwa mbinu ambazo si za kumuua kikatili vile. Kama wauwaji wa SA au wa Rwandwa waliweza kukamatwa na kupelekwa mahakama ya kimataifa kwa nini kwa Gaddafi halikuwezekana.
 
Wana haki Waganda Kanal Gadhaffi aliwasaidia Waganda wakati wa Utawala wa Nduli Idi Amin wana haki ya kumlilia Mtu wao muhimu sana katika uganda. Waganda watamkumbuka Kanal Gadhaffi katika maisha yao siku zote.
 
Ongeza kama unazo picha nyingine!
Gaddafi and "friends": in pictures


23 February 2011 10:04

World leaders may now be condemning the Libyan leader for his use of violence, but it hasn't always been this way.
20110223_gaddafi-blair_w.jpg

The photograph above, of Tony Blair embracing Gaddafi during a trip to Libya in 2007, is now notorious.
gaddafi-brown.jpg

Above, Gordon Brown shakes hands with Gaddafi at the G8 summit in 2009.
gaddafi-berlusconi.jpg

Gaddafi embraces the Italian premier, Silvio Berlusconi. Their countries signed a controversial friendship pact in 2008.
gaddafi-obama.jpg

Also at the G8 summit in 2009, Gaddafi shakes hands with the US president, Barack Obama.

gaddafi-putin.jpg

Vladimir Putin is pictured with Gaddafi during a 2008 trip to Libya to rebuild Russian-Libyan relations.
gaddafi-zapatero.jpg

With Spain's Prime Minister José Luis Rodríguez Zapatero, pictured in 2007, when the Libyan leader travelled to Madrid to sign a series of lucrative deals with political and business leaders.
gaddafi-chirac.jpg

Above, the former French president Jacques Chirac is shown during a 2004 trip during which he pledged to build a "true partnership" with Libya.
gaddafi-benali.jpg

And, finally. one friend that Gaddafi would rather forget. He is pictured here talking to the Tunisian president Zine al-Abidine Ben Ali back in 2000. The other two are Morocco's King Mohammed VI and the Algerian president, Abdelaziz Bouteflika, still in office today after nearly 12 years.
 
Wana haki Waganda Kanal Gadhaffi aliwasaidia Waganda wakati wa Utawala wa Nduli Idi Amin wana haki ya kumlilia Mtu wao muhimu sana katika uganda. Waganda watamkumbuka Kanal Gadhaffi katika maisha yao siku zote.

gaddaf akusaidia waganda alimsaidia nduli idd amin na ndiyo ilikuwa kazi yake kusaidia vikundi vya kigaidi na kujenga misikiti isiyokuwa na waumini
 


Katika hii video kuna sehemu bendera za US, UK, France zilifanywa zulia na green ikawa inapepea. Hapa Unaweza kuelewa kwa nini US-NATO na rats wameirudisha bendera ya Mfalme ambaye alikuwa ni kibaraka wa hizo nchi. Hawataki hata kuiona Green.
 
Last edited by a moderator:
[TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TD="colspan: 20"]Funds spent by Foreign Powers on War in Libya.[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]United States[/TD]
[TD]$664 million USD[/TD]
[TD]May 2011[SUP][217][/SUP][SUP][218][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Canada[/TD]
[TD]$26 million USD[/TD]
[TD]June 2011[SUP][219][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]United Kingdom[/TD]
[TD]$400 million USD[/TD]
[TD]June 2011[SUP][220][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]France[/TD]
[TD]$228.9 million USD[/TD]
[TD]July 2011[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]United States[/TD]
[TD]$896 million USD[/TD]
[TD]July 31, 2011[SUP][221][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]France[/TD]
[TD]$450 million USD[/TD]
[TD]Sept. 2011[SUP][222][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]United Kingdom[/TD]
[TD]$1500 million USD[/TD]
[TD]Sept. 2011[SUP][223][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]United States[/TD]
[TD]$1100 million USD[/TD]
[TD]Sept. 2011[SUP][224][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Sweden[/TD]
[TD]$50 million USD[/TD]
[TD]Oct. 2011[SUP][225][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: 2011 Libyan civil war - Wikipedia, the free encyclopedia
hawa watu wana hela-na zikikosa matumizi,wanazitafutia sehemu ya kuzitumia
 
hawa watu wana hela-na zikikosa matumizi,wanazitafutia sehemu ya kuzitumia

David Cameron has spoken of the "chilling effect" of the eurozone crisis on Britain as he joined an EU summit in Brussels.

The Prime Minister said a permanent solution to the problem was needed - and that it involved all member states and not just those in the single currency club.

"The crisis in the eurozone is having an effect on all our economies, Britain included," he said.

"It's having a chilling effect. We need to deal with this issue and so it's right to have a European council (summit) and for the European council to discuss this issue here in Brussels today."

He added: "The eurozone countries must come together and take responsibility and produce a comprehensive and credible package which puts the success of the eurozone beyond doubt."

Cameron: Euro Crisis Has 'Chilling Effect' - Yahoo!

Ukipata muda pitia hizi. Hizi nchi zimeshafilisika. https://www.jamiiforums.com/international-forum/174551-wall-street-protest.html

na hii https://www.jamiiforums.com/interna...t-do-what-we-did-africans-tell-europeans.html
 
Baraza la Mpito la waasi wa Libya, NTC, leo litatangaza rasmi kwamba harakati zao zimewezesha kuikomboa Libya kutoka katika utawala wa Marehemu Ghadafi. Tangazo hili limekuja baada ya kufanikiwa kuzikomboa ngome zote zilizokuwa zinashikiliwa na Ghadafi. Hatua ya pili itakuwa ni kukubaliana juu ya muundo wa serikali ya mpitoitakayoongoza nchi hiyo kuelekea kwenye uchaguzi.

Kwa hatua hii, imedhihirika kwamba kumbe nchi ya Libya ilikuwa bado haijakombolewa na wale waliokuwa wanajiita viongozi wa serikali ya mpito walikuwa hawana serikali na hata kitendo cha wao kupandisha bendera mpya na kutaka watambuliwe, kilikuwa pre-mature na hakikustahili kuungwa mkono. Sasa hivi tunapozungumza NTC limebaki kuwa genge la wapiganiaji ambao walikuwa hawajaitia Libya mkononi na wasio na legitimacy inayostahili kuwasikiliza.

Mkuu hivi jukwaa la Kimataifa unajuwa linapopatikana?

Nahisi nikikufungia macho ktk hili basi iko siku utatuletea hoja za mapenzi ktk jukwaa hili.
 
gaddafi2.gif


The late Libya's leader Muammar Gaddafi.


By FRED OLUOCH

Posted Sunday, October 23 2011 at 11:41

The death of Muammar Gaddafi is a turning point for East African countries that had close relations with the fallen regime, especially Kenya.

Prior to Gaddafi's death, Kenya was hesitant to recognise the Libyan National Transition Council, unlike Rwanda that offered unequivocal support for the NTC.

The question now is how the NTC will relate with Kenya and Uganda, which had close links with the late Gaddafi and where the former ruler had huge business interests.

Libyan businesses in Kenya include the petroleum company Oilibya and the Laico Regency Hotel. In Uganda, Gaddafi invested heavily, including building a modern mosque. The Libyan Arab Foreign Investment Company owns a 49 per cent stake in the Uganda National Housing and Construction Company, 69 per cent in Uganda Telcom Ltd and 99 per cent in Tropical Bank.

While the Kenya government has of late been softer on the NTC, especially after the African Union recognised the transitional government, it is likely to take a while before the relations reach the level at which they were with the Gaddafi regime.

Notably, the Kenyan embassy in Tripoli was attacked several times due to the perceived close relations between Gaddafi and the Kenya government. At that time, the Ministry of Foreign Affairs maintained that most foreign embassies were being attacked in the confusion.

Dr Adams Oloo, head of the Political Science Department at the University of Nairobi, does not see any major problems in relations between Kenya and the new regime in Libya, because it is not as if Kenya supported Gaddafi at the time he was under siege.

"It is true that Kenya never came out strongly to support the NTC. However, since many countries in Africa had relations with Gaddafi, one cannot single out Kenya. It would have been a different story had Kenya supported Gaddafi while he was under siege. However, it is probably safe to say Kenya won't be the darling of the NTC," he said.

East African aside, Gaddafi had immense influence across Africa. His reach across the continent has revolved around paying for peacekeeping missions, infrastructure and humanitarian aid.

Gaddafi had personally built infrastructure for free in some African countries, including roads, bridges, schools, hospitals and power generating stations. These countries are likely to miss the person they have come to refer to as "big brother".

Under Gaddafi, Libya contributed troops to and financed a number of peacekeeping missions in Africa, especially in Darfur.

In addition, Gaddafi used to contribute about 15 per cent of AU resources and had been paying the annual subscription of many smaller African countries.

Gaddafi was also instrumental in the transformation of the former Organisation of African Union into the AU.

Gaddafi and Libyans by extension prided themselves that the AU was founded at a summit in Gaddafi's hometown of Sirte in September 1999. But on the other hand, Gaddafi is known to have backed several rebel movements across the continent, among them in Chad, Sudan, Sierra Leone, and Liberia. His footprints are present among some of the Darfur rebels.

Prior to the presidency of Mwai Kibaki, Libya and Gaddafi was anathema to the former regime of Daniel arap Moi. In late 1980s, the former president Daniel arap Moi accused Gaddafi of carting Kenyan youth out of the country through Yoweri Museveni in Uganda, for guerilla training in Libya.

Gaddafi becomes the first leader to be killed in the ‘Arab Spring' wave of popular uprisings that have swept the Middle East, demanding the end of autocratic rulers and the establishment of greater democracy.


 
Duh! Kumbe Tanzania haipo East Africa? Article inazungumzia Kenya, Uganda na Rwanda tuu kama East Africa.
 
Most African countries, for long time, have been enjoying Gaddafi's altruism ranging from social development programmes aids to self-benefitting largess. The AU itself was each year gaining 15 percent of its budget from the Libya's oil sales. So its undeniable that his loss will have very negative impact not only on individual African countries but also on AU bloc in general.
 
Unfortunately to most of the diplomats, the changes in Libya were not anticipated. To them is something that has been forced or imposed against their will.
 
Who will take charge of all those investments!
Is it the NTC or the heir of Gadafi
 
Hotel Bahari Beach ilishajadiliwa hapa kuwa ni ya Ghadafi. Wenye habari zaidi pls mtufahamishe.
 
Go! Go GADAFI GO.
The Africans and their descendants will always weap for you col. We truely love you, you were the AFRICAN voice, you dared to show the exactly meaning of sovereignity. IN THE revered memory of you, I will teach my offsprings about you.
 
Libya's transitional leader declared his country's liberation Sunday after an 8-month civil war and set out plans for the future with an Islamist tone.

The announcement was clouded, however, by international pressure to explain how ousted dictator Moammar Gadhafi had been captured alive days earlier, then ended up dead from a gunshot to his head shortly afterward.

Gadhafi's death in circumstances that are still unclear, and the gruesome spectacle of his body laid out as a trophy in a commercial freezer and on public view, are testing the new Libyan leaders' commitment to the rule of law. Even at the ceremony to declare liberation, a couple speakers in positions of authority essentially said Gadhafi got what he deserved.

But transitional government leader Mustafa Abdul-Jalil, who made the keynote speech, did not mention the events surrounding Gadhafi's end and called on his people to eschew hatred.

"You should only embrace honesty, patience, and mercy," Abdul-Jalil told the crowd at the declaration ceremony in the eastern city of Benghazi, the birthplace of the uprising against Gadhafi. He urged Libyans to reconcile their differences.

And he laid out a vision for the post-Gadhafi future with an Islamist tint, saying Islamic Sharia law would be the "basic source" of legislation and existing laws that contradict the teachings of Islam would be nullified. In a gesture that showed his own piety, he urged Libyans not to express their joy by firing guns in the air, but rather to chant "Allahu Akbar," or God is Great. He then stepped aside from the podium and knelt to offer a brief prayer of thanks.

Using Sharia as the main source of legislation is stipulated in the constitution of neighboring Egypt. Still, Egyptian laws remain largely secular as Sharia does not cover all aspects of modern day life.
 
RIP Gaddafi!

Africa wil surely miss u. Im nt in the position to point fingers at wat u did and didnt do bt we surely do appreciate the positive influence u had on us. I thnk the investments and shares he had in East Africa and other countries wil be confisticated. Its sad that u died the way u did. May Allah forgive u and rest u in peace.
 
Back
Top Bottom