The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

Peter Madukwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
3,139
Reaction score
2,488
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.

Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo lakini kimsingi kazi aliyoifanya Rais Samia Suluhu Hassani ni ya KIZALENDO na inahitaji kuungwa mkono na watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa kwa kuwa hata yeye mara kadhaa akiwa bungeni mara kadhaa ameshauri kutumika kwa nguvu ya ziada kuitangaza Tanzania na vivutio vya utalii.

Filamu ya The ROYAL TOUR ni filamu ya kihistoria inayoelezea kuhusu vivutio mbalimbali vya utalii vya Tanzania ambayo iliandaliwa na muandaaji Maarufu wa filamu PETER JOHN GREENBERG kutoka nchini Marekani.

Filamu hiyo mpaka sasa imezinduliwa ktk majiji makubwa matatu.. Jiji la LOS ANGELS na NEW YORK USA, Pamoja na jiji la kitalii ARUSHA, TANZANIA.

Filamu hiyo maarufu ya kitalii inatarajiwa kuzinduliwa ktk mji wa kihistoria wa Zanzibar na jiji kubwa la kibiashara DAR ES SALAAM.

ROYAL TOUR inatarajiwa kuleta matokeo makubwa ktk sekta ya utalii nchini Tanzania na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

Filamu ya The Royal Tour inapatikana ktk mtandao maarufu wa amazon.com na inatarajiwa kuoneshwa ktk vituo lukuki vya television duniani.

Hongera Mchungaji Peter Msigwa kwa kuweza kuchuja pumba na mchele na kutambua kuwa kuna tofauti kati ya itikadi za kisiasa linapokuja suala la ujenzi wa nchi yetu japo tegemea kushambuliwa na wafuasi mbalimbali wa upinzani kwa kuwa sera za chama chako haziamini ktk kupongeza jambo zuri linapofanywa na serikali lakini umeonesha ukomavu wa kisiasa...

MAMA SAMIA IMARA; KAZI IENDELEE👋🇹🇿

Screenshot_20220429-111543_Twitter.jpg


20220429_151257.jpg


20220429_151259.jpg


20220429_151301.jpg


20220429_151303.jpg
 
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.

Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo lakini kimsingi kazi aliyoifanya Rais Samia Suluhu Hassani ni ya KIZALENDO na inahitaji kuungwa mkono na watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa kwa kuwa hata yeye mara kadhaa akiwa bungeni mara kadhaa ameshauri kutumika kwa nguvu ya ziada kuitangaza Tanzania na vivutio vya utalii.

Filamu ya The ROYAL TOUR ni filamu ya kihistoria inayoelezea kuhusu vivutio mbalimbali vya utalii vya Tanzania ambayo iliandaliwa na muandaaji Maarufu wa filamu PETER JOHN GREENBERG kutoka nchini Marekani.

Filamu hiyo mpaka sasa imezinduliwa ktk majiji makubwa matatu.. Jiji la LOS ANGELS na NEW YORK USA, Pamoja na jiji la kitalii ARUSHA, TANZANIA.

Filamu hiyo maarufu ya kitalii inatarajiwa kuzinduliwa ktk mji wa kihistoria wa Zanzibar na jiji kubwa la kibiashara DAR ES SALAAM.

ROYAL TOUR inatarajiwa kuleta matokeo makubwa ktk sekta ya utalii nchini Tanzania na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

Filamu ya The Royal Tour inapatikana ktk mtandao maarufu wa amazon.com na inatarajiwa kuoneshwa ktk vituo lukuki vya television duniani.

Hongera Mchungaji Peter Msigwa kwa kuweza kuchuja pumba na mchele na kutambua kuwa kuna tofauti kati ya itikadi za kisiasa linapokuja suala la ujenzi wa nchi yetu japo tegemea kushambuliwa na wafuasi mbalimbali wa upinzani kwa kuwa sera za chama chako haziamini ktk kupongeza jambo zuri linapofanywa na serikali lakini umeonesha ukomavu wa kisiasa...

MAMA SAMIA IMARA; KAZI IENDELEE👋🇹🇿
View attachment 2204628
Huo ni ukweli na asiyekubali akajinyonge. Kwenye ukweli lazima tuseme. Rais Samia kafanya jambo la maana sana.
 
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.

Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo lakini kimsingi kazi aliyoifanya Rais Samia Suluhu Hassani ni ya KIZALENDO na inahitaji kuungwa mkono na watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa kwa kuwa hata yeye mara kadhaa akiwa bungeni mara kadhaa ameshauri kutumika kwa nguvu ya ziada kuitangaza Tanzania na vivutio vya utalii.

Filamu ya The ROYAL TOUR ni filamu ya kihistoria inayoelezea kuhusu vivutio mbalimbali vya utalii vya Tanzania ambayo iliandaliwa na muandaaji Maarufu wa filamu PETER JOHN GREENBERG kutoka nchini Marekani.

Filamu hiyo mpaka sasa imezinduliwa ktk majiji makubwa matatu.. Jiji la LOS ANGELS na NEW YORK USA, Pamoja na jiji la kitalii ARUSHA, TANZANIA.

Filamu hiyo maarufu ya kitalii inatarajiwa kuzinduliwa ktk mji wa kihistoria wa Zanzibar na jiji kubwa la kibiashara DAR ES SALAAM.

ROYAL TOUR inatarajiwa kuleta matokeo makubwa ktk sekta ya utalii nchini Tanzania na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

Filamu ya The Royal Tour inapatikana ktk mtandao maarufu wa amazon.com na inatarajiwa kuoneshwa ktk vituo lukuki vya television duniani.

Hongera Mchungaji Peter Msigwa kwa kuweza kuchuja pumba na mchele na kutambua kuwa kuna tofauti kati ya itikadi za kisiasa linapokuja suala la ujenzi wa nchi yetu japo tegemea kushambuliwa na wafuasi mbalimbali wa upinzani kwa kuwa sera za chama chako haziamini ktk kupongeza jambo zuri linapofanywa na serikali lakini umeonesha ukomavu wa kisiasa...

MAMA SAMIA IMARA; KAZI IENDELEE👋🇹🇿
View attachment 2204628
Asante much Msigwa Kwa maoni huru. Ingawa naamini huo so msimamo wa Chama chako. Linapokuja suala la maslah mapana ya Nchi, vyama tuviweke pembeni for some time.
 
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.

Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo lakini kimsingi kazi aliyoifanya Rais Samia Suluhu Hassani ni ya KIZALENDO na inahitaji kuungwa mkono na watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa kwa kuwa hata yeye mara kadhaa akiwa bungeni mara kadhaa ameshauri kutumika kwa nguvu ya ziada kuitangaza Tanzania na vivutio vya utalii.

Filamu ya The ROYAL TOUR ni filamu ya kihistoria inayoelezea kuhusu vivutio mbalimbali vya utalii vya Tanzania ambayo iliandaliwa na muandaaji Maarufu wa filamu PETER JOHN GREENBERG kutoka nchini Marekani.

Filamu hiyo mpaka sasa imezinduliwa ktk majiji makubwa matatu.. Jiji la LOS ANGELS na NEW YORK USA, Pamoja na jiji la kitalii ARUSHA, TANZANIA.

Filamu hiyo maarufu ya kitalii inatarajiwa kuzinduliwa ktk mji wa kihistoria wa Zanzibar na jiji kubwa la kibiashara DAR ES SALAAM.

ROYAL TOUR inatarajiwa kuleta matokeo makubwa ktk sekta ya utalii nchini Tanzania na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

Filamu ya The Royal Tour inapatikana ktk mtandao maarufu wa amazon.com na inatarajiwa kuoneshwa ktk vituo lukuki vya television duniani.

Hongera Mchungaji Peter Msigwa kwa kuweza kuchuja pumba na mchele na kutambua kuwa kuna tofauti kati ya itikadi za kisiasa linapokuja suala la ujenzi wa nchi yetu japo tegemea kushambuliwa na wafuasi mbalimbali wa upinzani kwa kuwa sera za chama chako haziamini ktk kupongeza jambo zuri linapofanywa na serikali lakini umeonesha ukomavu wa kisiasa...

MAMA SAMIA IMARA; KAZI IENDELEE[emoji112][emoji1241]
View attachment 2204628
Hivi nyie makada hizo mimba za CHADEMA mnazaa lini!!
 
Anayepanga jitihada hizi za Rais Samia, sijui atakuwa anataka nini.

Jitihada zozote za kuwaongezea wananchi fursa za ajira, kipato, uwekezaji, biashara, na ukuaji wa mapato ya serikali, lazima zipongezwe na mtu yeyote mwenye akili timamu, dhamira njema na mapenzi mema kwa nchi yake na watanzania wenzake.

Lazima tuwe na fursa nyingi, kwenye kila sekta, ili kila mwananchi au9ne upenyo unaoweza kumpa mapato halali.
 
Mavyama ya mchongo.

Tutajua tu ukweli kuhusu hivi vyama vilivyojificha kwenye chaka la DEMOGHASIA.
Vingi vipo kwa upotoshaji na kuegamia maslahi binafsi.. kuna wakati inaleta ukakasi kuona mtu anapinga hata jambo zuri
 
Kuna mambo mawili kwa Msigwa.

Moja huenda amefika bei maana njaa haina baunsa.

Mbili kasoma alama za nyakati kaona Twaha Mwaipaya anakubalika zaidi hivyo uhakika wa kupitishwa na Chadema 2025 haupo.
Kumbuka ukiona mpinzani wako anakusifia sifia jua.......
 
Back
Top Bottom