The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

CHADEMA haiwezi kumfukuza, ni Chama cha Kidemokrasia na moja ya nguzo zake kuu ni uhuru wa kutoa maoni (bila kuathiri haki za msingi za wengine). Anajistukia tu, unless kama anautaka Uenyekiti.
 
Msigwa awatolea uvivu Chadema, amempongeza Rais Kwa Royal tour na kwamba yuko tayari kuitwa kamati kuu.👇

View attachment 2204847

View attachment 2204848

View attachment 2204849

View attachment 2204850
Kama hii ni kweli Mchungaji yuko njiani kuondoka Chadema. Sio kwa sababu ametofautiana nao bali kwa kuingiza majina ya wakina Lissu, kuanza kuzungumzia kuitwa kwenye kamati ya maadili na kufukuzwa uanachama. Hii ni dalili ya mtu kutafuta kufukuzwa ili aonekane shahidi. Nadhani Chadema hawatamjibu, kitu ambacho kitazidi kumkasirisha na kumfanya azidi kutoa matamshi ya kujionyesha kuwa yeye ni tofauti na chama chake. Hafukuzwi ila uchaguzi ujao watamSumaye.

Amandla...
 
Si ahamie tu huko wanakokubali kubali kila kitu hata kama ni mavimavi
 
Msigwa nae amekosa hoja kwani kuna ulazima gani kusema kuwa yuko tayari kuitwa kamati kuu? Kwani chadema wamekatazwa kupongeza kwenye jambo jema

Inafikirisha sana
 
Kuna mambo mawili kwa Msigwa.

Moja huenda amefika bei maana njaa haina baunsa.

Mbili kasoma alama za nyakati kaona Twaha Mwaipaya anakubalika zaidi hivyo uhakika wa kupitishwa na Chadema 2025 haupo.
SSH hafanyi biashara haramu ya kununua chadema ,afanye hivyo Ili imsaidie nini?

Ujue nyie Chadomo ni hamnazo kichwani kwenu, endeleeni kupinga tuone mwisho wenu.
 
Mtu mwenye akili tamu hawezi kuendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA ambacho mwenyekiti wake ameweka maslahi ya wachaga kwanza ndo chama kifuate. UKABILA TUPU
 
Msigwa ni mzalendo sana, ila huko aliko Yuko kwenye zizi la kondoo na Banda la bata
 
Huyo ndiye Mchungaji PETER MSIGWA ninayemfahamu. Kanyaga twende tumechelewa sana bro.

20220429_175455.jpg


20220429_175451.jpg


20220429_175447.jpg


20220429_175442.jpg
 
CDM Kaz ipo ukiunga mkono jambo la ccm aise watakitukana kila tusi
Hili la kumpigia lissu aka mute nna message pia akapotezea ninkitu hakikonsawa
 
Kama hii ni kweli Mchungaji yuko njiani kuondoka Chadema. Sio kwa sababu ametofautiana nao bali kwa kuingiza majina ya wakina Lissu, kuanza kuzungumzia kuitwa kwenye kamati ya maadili na kufukuzwa uanachama. Hii ni dalili ya mtu kutafuta kufukuzwa ili aonekane shahidi. Nadhani Chadema hawatamjibu, kitu ambacho kitazidi kumkasirisha na kumfanya azidi kutoa matamshi ya kujionyesha kuwa yeye ni tofauti na chama chake. Hafukuzwi ila uchaguzi ujao watamSumaye.

Amandla...

..nimesikiliza maongezi ya Peter Msigwa amekuwa balanced ktk analysis yake kuhusu Royal Tour.

..Na ameulizwa kuhusu hoja ya Lissu kuhoji mapato ya mauzo ya Royal Tour.

..Msigwa amesema anakubaliana na hoja ya Lissu kwasababu imelenga kui-task serikali.

..lakini ameongeza kwamba hawezi ku-conclude kwamba kuna ufisadi kwasababu serikali bado haijatoa majibu.

..sikiliza hapa dakika ya 10:29 alipoulizwa swali specific.

 
..nimesikiliza maongezi ya Peter Msigwa amekuwa balanced ktk analysis yake kuhusu Royal Tour.

..Na ameulizwa kuhusu hoja ya Lissu kuhoji mapato ya mauzo ya Royal Tour.

..Msigwa amesema anakubaliana na hoja ya Lissu kwasababu imelenga kui-task serikali.

..lakini ameongeza kwamba hawezi ku-conclude kwamba kuna ufisadi kwasababu serikali bado haijatoa majibu.

..sikiliza hapa dakika ya 10:29 alipoulizwa swali specific.


Ishu yangu haikuwa na hoja yake kwa sababu kwangu mimi haki ya kutofautiana kimawazo ni sacrosant. Shida yangu ni yale maneno ya ziada ambayo walisema amesema. Sikuona sababu ya kusema kuwa alimpigia Lissu lakini hakupokea. Sioni sababu ya kusema upinzani hauna maana kupinga kila kitu ( hii ni insinuation kuwa msimamo wa chama chake ni kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali. Kitu ambacho si kweli. K.m. Kuna viongozi wenzake walipongeza ujenzi wa SGR. Yeye mwenyewe aliwahi kumsifia JPM bila Chama kumsema hadharani).

Hapakuwa na haja ya kuzungumzia kuitwa kwenye Kamati ya Maadili ( again ni insinuation aliishawahi kuitwa kwa kutofautiana na viongozi wenzake) na mwisho kabisa kuzungumzia kufukuzwa uanachama ( maneno kama haya walisema wakina Sikinde kabla ya kuhamia upande wa pili). Kwangu mimi yote haya hayakuwa na haja. Unless kama anatayarisha njia ya kuondoka Chadema.

Lakini nilionyesha kuwa na wasiwasi wa authenticity ya hizi quotes za Msigwa. Nilihofia kuwa isiwe kuwa kuna watu wana twist maneno yake kwa nia ya kuleta mpasuko katika chama chake. Ni approach nzuri sana maana mashabiki wa Chadema ni wepesi mno kuvista mtu joho la usaliti.
I hope atakaa na kuliweka sawa hili jambo.

Amandla...
 
Ishu yangu haikuwa na hoja yake kwa sababu kwangu mimi haki ya kutofautiana kimawazo ni sacrosant. Shida yangu ni yale maneno ya ziada ambayo walisema amesema. Sikuona sababu ya kusema kuwa alimpigia Lissu lakini hakupokea. Sioni sababu ya kusema upinzani hauna maana kupinga kila kitu ( hii ni insinuation kuwa msimamo wa chama chake ni kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali. Kitu ambacho si kweli. K.m. Kuna viongozi wenzake walipongeza ujenzi wa SGR. Yeye mwenyewe aliwahi kumsifia JPM bila Chama kumsema hadharani).

Hapakuwa na haja ya kuzungumzia kuitwa kwenye Kamati ya Maadili ( again ni insinuation aliishawahi kuitwa kwa kutofautiana na viongozi wenzake) na mwisho kabisa kuzungumzia kufukuzwa uanachama ( maneno kama haya walisema wakina Sikinde kabla ya kuhamia upande wa pili). Kwangu mimi yote haya hayakuwa na haja. Unless kama anatayarisha njia ya kuondoka Chadema.

Lakini nilionyesha kuwa na wasiwasi wa authenticity ya hizi quotes za Msigwa. Nilihofia kuwa isiwe kuwa kuna watu wana twist maneno yake kwa nia ya kuleta mpasuko katika chama chake. Ni approach nzuri sana maana mashabiki wa Chadema ni wepesi mno kuvista mtu joho la usaliti.
I hope atakaa na kuliweka sawa hili jambo.

Amandla...

..kwa sasa hivi Ccm hawana uwezo wa kujibu hoja kwa hiyo wameelekeza nguvu kubwa sana kwenye kupotosha.

..kwa hiyo kunapotokea mabandiko kama haya ni vizuri kwanza kujiridhisha kutoka vyanzo independent na kwa bahati nzuri siku hizi viko vingi.

NB:

..sijawahi kusikia kama chombo kinachoshughulikia nidhamu ya wanachama wa Chadema kinaitwa kamati ya maadili.
 
Kwani CHADEMA tangu lini wamezuia mawazo huru!!? Kaongea vizuri,tu!
 
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.

Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo lakini kimsingi kazi aliyoifanya Rais Samia Suluhu Hassani ni ya KIZALENDO na inahitaji kuungwa mkono na watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa kwa kuwa hata yeye mara kadhaa akiwa bungeni mara kadhaa ameshauri kutumika kwa nguvu ya ziada kuitangaza Tanzania na vivutio vya utalii.

Filamu ya The ROYAL TOUR ni filamu ya kihistoria inayoelezea kuhusu vivutio mbalimbali vya utalii vya Tanzania ambayo iliandaliwa na muandaaji Maarufu wa filamu PETER JOHN GREENBERG kutoka nchini Marekani.

Filamu hiyo mpaka sasa imezinduliwa ktk majiji makubwa matatu.. Jiji la LOS ANGELS na NEW YORK USA, Pamoja na jiji la kitalii ARUSHA, TANZANIA.

Filamu hiyo maarufu ya kitalii inatarajiwa kuzinduliwa ktk mji wa kihistoria wa Zanzibar na jiji kubwa la kibiashara DAR ES SALAAM.

ROYAL TOUR inatarajiwa kuleta matokeo makubwa ktk sekta ya utalii nchini Tanzania na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

Filamu ya The Royal Tour inapatikana ktk mtandao maarufu wa amazon.com na inatarajiwa kuoneshwa ktk vituo lukuki vya television duniani.

Hongera Mchungaji Peter Msigwa kwa kuweza kuchuja pumba na mchele na kutambua kuwa kuna tofauti kati ya itikadi za kisiasa linapokuja suala la ujenzi wa nchi yetu japo tegemea kushambuliwa na wafuasi mbalimbali wa upinzani kwa kuwa sera za chama chako haziamini ktk kupongeza jambo zuri linapofanywa na serikali lakini umeonesha ukomavu wa kisiasa...

MAMA SAMIA IMARA; KAZI IENDELEE[emoji112][emoji1241]
View attachment 2204628

View attachment 2204835

View attachment 2204836

View attachment 2204837

View attachment 2204838
Hana lolote hajalidhika na maamuzi ya chama dhidi ya mwenyekiti wa chama mkoa wa mbeya ivo anataka kujiudhuru ili ajiunge na nyinyiemu
 
Mchungaji Msigwa

Nipo katika rekodi nikikutetea kuhusu sakata la Ngorongoro. Nilisema una haki ya kutoa maoni kama Mtanzania na kiongozi uliyeongoza shughuli za chama chako Bungeni

Niliwashauri wanaotaka usiseme waache kwani demokrasia ina upana na gharama zake ikiwemo kuvumiliana kwa misimamo tofauti nikitoa mfano wa Democrats kule US na Conservatives UK

Kwa hili la Royal tour nipo katika rekodi nikisema ' kilichofanyika kina nia njema' tatizo linalowasumbua watu ni jinsi gani imefanyika. Nilipongeza mjadala wa mawazo tofauti

Leo Msigwa unaandika kwamba viongozi wenzako hawajui utalii. Una haki ya maoni lakini maoni hayo yana stara zake. Kutofautiana kimawazo hakufanyi wewe au wenye mitazamo tofauti wawe wajinga. Kwa hili unawakosea wenzako! Omba radhi

Pili, ukiandika na kusema huogopi kuitwa hata kabla ya tendo kutokea ni self defense.
Katika mazingira ya kawaida halifai, tumia uhuru wako hadi vinginevyo si kujenga 'uncertainty'

Picha unayoipaka kwa wenzako si nzuri na hulazimiki kujitetea pasipo na tuhuma! unahofia nini?

Tatu, mawasiliano kati yako na wenzako ni yenu si kila mawasiliano ni 'for the public consume'

Lakini kama unaona kuna mazingira usiyoyapenda kwanini usijiweke huru bila kusubiri kibali cha kutumia kinywa chako au kutumia kinywa chako kwa hofu!


Fundi Mchundo JokaKuu Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom