Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
August 26 na ndio itakua ya mwisho eti [emoji3064][emoji20]Season 3 iko njiani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
August 26 na ndio itakua ya mwisho eti [emoji3064][emoji20]Season 3 iko njiani..
August 26 na ndio itakua ya mwisho eti [emoji3064][emoji20]
Ukawaida wake upo wap umeona jinsi mwamba alivyo tactic hii series nimeangalia episode mbili Tu lakini ni MotoUmeipamba sana nwanangu hadi nimeitafuta ila ya kawaida tu kupotezea time sio ligi ya siries kali
Moto huo Acha kabisaCurrently watching Black Bird
Strike backThe wire...
Oz
Stike back
See
Ray donovan
The event
Breaking Bad
Hizo za wakongwe
Hujaangalia bado muvi za mbinu wewe siries nyeupe sana hiyo...Ukawaida wake upo wap umeona jinsi mwamba alivyo tactic hii series nimeangalia episode mbili Tu lakini ni Moto
Movie imejaa akili za kijasusi na mbinu za vita [emoji2937][emoji110]
Ni noma mzee nimemalizana nayo tayari niw nimeanza kuangalia kitu flani ya muda kidogo inaitwa THE CHI ya blacks nayo iko poa sanaMoto huo Acha kabisa
Series za watoto wa siku izi hizoThe hype ya hii series ni kubwa ila hamna kitu kawaida tu
Yaap tu tunausubiria huu mzigo kwa hamu kubwa... mi siku hizi nachagua sana series za kuangalia... kuna sura ukiziona tu kwenye movie au series unajua ni moto wa kuotea mbaliAugust 26 na ndio itakua ya mwisho eti [emoji3064][emoji20]
Ndo maana vijana wa kibongo wanaipenda basi siwezi kuangaliaMashoga wapo kwenye Ile money heist hii series unazingua sana kila muda ni mambo ya usagaji na ushoja Hadi kero
Hujaangalia bado muvi za mbinu wewe siries nyeupe sana hiyo...
Sema ndo series za kizazi haki ziko simpo simpo sana sababu hata watazamaji hawataki kutumia akili sana kufikiria
Mkuu achana nayo. Waicheki 24hours ya Jack bauer waone moto wakeSeries za watoto wa siku izi hizo
Telegram mkuu nenda kuleNaitafuta Viking season2 mwny nayo anisaidie tafadhali
Moja kati ya series ya kijinga hakuna uhalisia na main character amepewa uwezo kuzidi theme ya movie.Baadhi ya wadau walisifia Sana serial ya money heist nikaona isiwe taabu Acha niitafute nione kama hiyo ladha yake itafanana na prison break na 24 lakini cha ajabu humo ndani ilijaa ujinga mwingi na utoto nikaja na Uzi wangu juu ya hiyo movie ya kifala.
Nimeangalia serial nyingi Ila bado Ile ladha ambayo IPO kwenye series zangu pendwa(24 na PB) sikuwahi kupata, nashukuru weekend hii Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka 13 iliyopita Jana nimekutana na hii CHOMBO kinaitwa THE TERMINAL LIST hakika hii series ni Tamu balaa ni zaidi ya burudani ndani ya Moyo.
Mara baada ya kupata trauma/ mental disorder iliyosababishwa na vita mbaya akiwa mashariki ya Kati hatimae ananusurika na kurudi salama ingawa Akili yake ineyumba anapata janga lingine la kupoteza familia yake yaani MKE wake na mtoto wake wa kike hapa ndipo Hali yake unazidi kuwa ngumu.. kwbb jamaa alikuwa hajui sababu iliyopelekea kupoteza familia yake wala washikaji zake pia hawajui sababu ya jamaa kupata majanga hapa ndipo utamu WA hii movie unapoanzia.
Sterling wa hii movie JAMES REECE comandoo aliyeiva na kukamilika kila idara anajua kucheza na bunduki huku akitumia mbinu zenye Akili kujua undani WA maisha yake kuwa hatarani ndipo anakuja kugundua shida ilianzia kipindi yupo vitani baada ya kukwanisha dili ambalo wapo viongozi wa serikali,wafanyabiashara wakubwa na CIA. Akili inayotumika kulipa kisasi Kwa hawa watu wazito wenye ulinzi wa kila Aina tena wakitumia nguvu ya jeshi la POLISI,wanajeshi na majambazi kuzima hii scandal isivuje panahitajika nguvu ya watu wengi Sana lkn jamaa anapiga kazi mwenyewe na analipa kisasi mmoja baada ya mwingine.
JAMES REECE anasimamisha nchi FBI na CIA hawalali wakimtafuta huku na yeye pia akiwatafuta wabaya wake ambao wanataka kumwangushia jumba bovu juu ya kashfa za kuliingiza jeshi kwenye biashara ya magendo, Kwa kadiri anavyotafuta ukweli ndipo idadi ya watu waliohusika wanazidi kugundulika yaani Kwa kifupi movie imebalance kwenye CRIME, MYSTERY,WAR na SPYING huku kote James Reece amafiti....
HII NI SERIES YA KIUME KWELIKWELI HUMO NDANI HAKUNA UJINGA WA MAPENZI ZAIDI YA KAZI TU
Taja movie yako ambayo imechezwa kiuhalisia tuijueMoja kati ya series ya kijinga hakuna uhalisia na main character amepewa uwezo kuzidi theme ya movie.
Jason BorneTaja movie yako ambayo imechezwa kiuhalisia tuijue
Wametoa part 2.Kama umeikubali hio tafuta na hii. Balaa mule mule View attachment 2323985
Jaribu kuingia hapa kama utaipataDuuuh, nitaipata wapi mkuu, nipe link ambayo haitumii Mb nyingi kudownload