Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
- Thread starter
-
- #141
Mpaka hapo ameshakuwa kituko mpaka nikajiuliza anatafuta b huko 254?Bibi huu mjadala hauhitaji hasira, jibu hoja kwa hoja.
Kumshambulia mleta hoja badala ya kujibu hoja ni kuishiwa hoja. Hapo utaonekana kituko.
BTW, Wakenya ni nani hata vijana wetu wasibishane nao kwa hoja!? Kama huu mjadala umekuzidi nguvu pita taratibu tu.
Don't get it twisted. Mimi ni mkenya. Sina ubaya.Kweli kabisa. Sema wameona wameshikwa pabaya
God save us
I see. Basi utakuwamoja kati ya wakenya wachache wanaonielewa.
Dude, are you mad? Kenya's external debt to GDP ratio is not 70%. Kenya's external debt is $26 billion while its GDP is $88 billion. do the math.Ndio sababu nimekuambia, Kenya japo ina uchumi mkubwa(Nominal), lakini pia ina madeni makubwa sana kuliko Tanzania, sasa ukitaka kupata actual working economy, utachukua GDP - Debts.
Kenya GDP -70%
TZ GDP -36%
Then utaangalia actual figures zilizobakia.
Kukurahisishia, 30%KE vs 64%TZ GDP.
Sent using Jamii Forums mobile app
We are talking about external debt you idiot.Acaha uongo mapaka mwaka jana mwezi wa 8 feni la Kenya lilikuwa $49b sawa na 56.4 of your GDP
If the IMF recommends that ratios of public debt to GDP should not be higher than 40% for developing countries.
Then to be fair, kenya with this level of debt is comparable to that of other developing economies.
Kwa kifupi ninyi ni developing country na sio developed kama mbavyojiita
God save us
Acha ulofa wewe joto la jiwe alizungumzia madeni na hakutofautisha.We are talking about external debt you idiot.
Kenya Central Government External Debt | 2019 | Data | Chart | Calendar
Tanzania Total External Debt Stock | 2019 | Data | Chart | Calendar
Hehehe...Umezungukwa na mazuzu na maboya😂😂😂😂😂Mpumbavu mkubwa wewe, sisi tunazungumzia percentage not actual figure, acha ujinga wewe nyang'au wa Kibera, huna akili mpumbavu mkubwa wewe, jaribu kujifunza tofauti kati ya matumizi ya percentage na actual figures.
Sasa ngoja nikufunze, 70% ya GDP ya Kenya, ni pesa nyingi kuliko GDP ya Uganda, hii maana yake ni kwamba deni la Kenya ni kubwa kuliko uchumi wa Uganda, umeelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe kichwa chako umekunywa chang'aa au ni mpumbavu wa wakikuyu?, National debts ni jumla ya internal debts na external debts, kwanini wewe inazungumzia external bebts peke yake?, acha ujinga na mpumbavu wako.Dude, are you mad? Kenya's external debt to GDP ratio is not 70%. Kenya's external debt is $26 billion while its GDP is $88 billion. do the math.
2. Tanzania's external debt to GDP ratio is not 36%. Tanzania's external debt is $21 billion while its GDP is $55 billion. Again do the Math.
Kafrican MK254 please come see this idiot. Hesabu za primo zinamlemea.😀😀
Jinga sana hili jamaa.Hehehe...Umezungukwa na mazuzu na maboya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni very simple kwa yule anayejua kutafuta information..... Kenya ilichukua deni la karibia $1.3Billion ili kununua ndege dreamliner 9, Kati ya hio $821 Million ilikua ni kutoka US-exim Bank and some $200m kutoka kwa afreximbank the rest of about $300m kutoka local banks hapa Kenya...... By the time KQ inaanza kupata loss, ilikua imepunguza hilo deni hadi $700m, baada ya hapo KQ ilihitaji restructuring na ili kufanya hivyo, serekali ya Kenya ikaamua ku guarantee kwamba KQ ikishindwa kulipa hayo madeni basi herekali ya KEnya ndo itadaiwa badala ya KQ....Sasa ndio mbunge wenu anataka kujua hizo ndege ni ndege za nani wakati KQ inamiliki ndege tatu pekee?, kuna uwezekano familia ya Kenyatta na wafanyabiashara wengine ndio wanamiliki hizo ndege, in Kenya anything can happen anyhow.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege ambazo KQ imemaliza kulipia mkopo ni 3 aina ya bombadier Q400 yaani pangaboiHiyo ni very simple kwa yule anayejua kutafuta information..... Kenya ilichukua deni la karibia $1.3Billion ili kununua ndege dreamliner 9, Kati ya hio $821 Million ilikua ni kutoka US-exim Bank and some $200m kutoka kwa afreximbank the rest of about $300m kutoka local banks hapa Kenya...... By the time KQ inaanza kupata loss, ilikua imepunguza hilo deni hadi $700m, baada ya hapo KQ ilihitaji restructuring na ili kufanya hivyo, serekali ya Kenya ikaamua ku guarantee kwamba KQ ikishindwa kulipa hayo madeni basi herekali ya KEnya ndo itadaiwa badala ya KQ....
UPDATE 2-Kenya government to guarantee $750 mln in Kenya Airways debt | Reuters
Kenya will offer $750 million in guarantees to Kenya Airways’ existing creditors to help the heavily-indebted carrier secure financing from other sources to complete its recovery, a cabinet document showed on Tuesday.
The guarantees, approved by the cabinet, will cover $525 million owed to the U.S. Exim Bank and the rest to local lenders, said the document seen by Reuters.
Kwahivyo ndege za KQ ni za KQ, haswa hizo dreeamliner, kQ ikishindwa kuzilipia hawatapokonywa ndege, deni hilo litadaiwa Serekali. ya kenya..... Anyway, KQ na benki za Kenya zilifanya debt to equity swap, kwahivyo hilo deni la $300m halidaiwi tena .... deni lililobaki ni hio $525m kutoka kwa US-Exim bank baada ya kulipwa kama $250M.....Kila mwaka KQ hulipia karibu $100m kwa hio benki
Ninyi wakenya mnamatatizo sana, bunge linauliza kwasababu bunge linajua kwamba KQ ina ndege tatu pekee, ndege zilizobaki KQ imezikodi na wanalipa kila mwaka fees, sasa wewe unasema kwamba serikali imenunua, kwahiyo wabunge wenu hawana akili?, kama serikali imenunua hizo ndege, kwanini sasa KQ inalipa fees kwa ndege zake ilizonunua?.Hiyo ni very simple kwa yule anayejua kutafuta information..... Kenya ilichukua deni la karibia $1.3Billion ili kununua ndege dreamliner 9, Kati ya hio $821 Million ilikua ni kutoka US-exim Bank and some $200m kutoka kwa afreximbank the rest of about $300m kutoka local banks hapa Kenya...... By the time KQ inaanza kupata loss, ilikua imepunguza hilo deni hadi $700m, baada ya hapo KQ ilihitaji restructuring na ili kufanya hivyo, serekali ya Kenya ikaamua ku guarantee kwamba KQ ikishindwa kulipa hayo madeni basi herekali ya KEnya ndo itadaiwa badala ya KQ....
UPDATE 2-Kenya government to guarantee $750 mln in Kenya Airways debt | Reuters
Kenya will offer $750 million in guarantees to Kenya Airways’ existing creditors to help the heavily-indebted carrier secure financing from other sources to complete its recovery, a cabinet document showed on Tuesday.
The guarantees, approved by the cabinet, will cover $525 million owed to the U.S. Exim Bank and the rest to local lenders, said the document seen by Reuters.
Kwahivyo ndege za KQ ni za KQ, haswa hizo dreeamliner, kQ ikishindwa kuzilipia hawatapokonywa ndege, deni hilo litadaiwa Serekali. ya kenya..... Anyway, KQ na benki za Kenya zilifanya debt to equity swap, kwahivyo hilo deni la $300m halidaiwi tena .... deni lililobaki ni hio $525m kutoka kwa US-Exim bank baada ya kulipwa kama $250M.....Kila mwaka KQ hulipia karibu $100m kwa hio benki
Hivi unajidai kua mtaalam wa uchumi wakati hauelewi concept rahisi kama hio..... Hivi ukiambiwa utalii wa Tz unachangia $2B ka uchumi wa TZ hua unafikiria ni hoteli ndo zilitengeneza faida ya $2B 🙄🙄 ..... Hoteli ziko na wafanyikazi, wafnyikazi hulipwa mishahara, watalii hula chakula - wavuvi na wakulima huuzia mahoteli samaki na vyakula, gari za kwenda mbugani hutumia mafuta yanayouzwa na kampuni zengine, kuna kulipa kodi , hoteli na magari huhitaji kulipiwa insuarance... kuna wale wanaouza ushanga, kuna wanafanya biashara ya kukodisha maboti....... hao wote ukijumuisha ndo unapata hio $2B... Tena hapo hatujaongelea multiplier effect... Kwa mfano mtu anayechonga sanamu akiuzia watalii anapata hela ambayo anatumia kununua bidhaa ndani ya Tz na kufaidi kampuni zengine..Inachangia vipi wakati shirika halitengenezi faida ni hasara?, hivi wewe unajua uchumi na biashara au unaropoka?, KQ ni mzigo wa mavi kwa nchi na share holders. Huyo mbunge amesema KQ ina ndege tatu tu, hizi zingine nani wamiliki wake?, point is clear acha kukwepesha ukweli, KQ ina ndege tatu tu, zilizobaki ni ndege za kukodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hazijakodishwa, ni mkopo tulichukua na bado hatujaulipaOkay, sasa tueleze ikiwa mnamiliki ndege 3 tu. Hizo 25 mmekodi kwa nani?
Wabunge wenu pia wanataka kujua
God save us
Hebu nionyeshe wapi inasema KQ inalipa fees kwa ndege zoteNinyi wakenya mnamatatizo sana, bunge linauliza kwasababu bunge linajua kwamba KQ ina ndege tatu pekee, ndege zilizobaki KQ imezikodi na wanalipa kila mwaka fees, sasa wewe unasema kwamba serikali imenunua, kwahiyo wabunge wenu hawana akili?, kama serikali imenunua hizo ndege, kwanini sasa KQ inalipa fees kwa ndege zake ilizonunua?.
Wewe na wabunge wenu, who is more informed, acha kukimbia ukweli, tusubiri serikali itoe majibu huko Bungeni ili ijulikane nani anayepokea hiyo fees, wabunge wamegundua mchezo mchafu wabajaribu kuwatetea wakenya, wewe kila za unasumbuka kutetea serikali corrupt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichanganye maneno. KQ sio aviation industry. Kuna mashira mengi sana kama ET, EMIRATES, BA, QATAR etc ambayo yana leta hela ndefu sana kenya.Hivi unajidai kua mtaalam wa uchumi wakati hauelewi concept rahisi kama hio..... Hivi ukiambiwa utalii wa Tz unachangia $2B ka uchumi wa TZ hua unafikiria ni hoteli ndo zilitengeneza faida ya $2B 🙄🙄 ..... Hoteli ziko na wafanyikazi, wafnyikazi hulipwa mishahara, watalii hula chakula - wavuvi na wakulima huuzia mahoteli samaki na vyakula, gari za kwenda mbugani hutumia mafuta yanayouzwa na kampuni zengine, kuna kulipa kodi , hoteli na magari huhitaji kulipiwa insuarance... kuna wale wanaouza ushanga, kuna wanafanya biashara ya kukodisha maboti....... hao wote ukijumuisha ndo unapata hio $2B... Tena hapo hatujaongelea multiplier effect... Kwa mfano mtu anayechonga sanamu akiuzia watalii anapata hela ambayo anatumia kununua bidhaa ndani ya Tz na kufaidi kampuni zengine..
kwa mfano hii SGR yetu iliopata loss ya $100m mwaka jana, kwa uchumi wa kenya utakuta imechangia kama $400m kwa kurahisisha na kuboresha uchukuzi wa nchi ... mfano utakuta uchumi wa Mombasa umeongezeka kwasababu ya SGR...
Inasemekana traffic jam ndani ya Kenya inafanya uchumi wa nchi kupotea by $200Million kila mwaka, Nairobi pekee inapoteza $50,000 kila siku .... Hii inamaanisha Nairobi na Kenya nzima ikiwa na efficient transport system kama SGR na BRT, tayari uchumi una gain by $200m hata kama hizo kampuni zitakua zinapata loss!!!!
According to the government, the time wasted in traffic jams represents a cost of $578,000 (Sh58.4 million) a day in lost productivity. That’s more than $210 million (Sh2.1billion) a year. Which is the equivalent of an Anglo Leasing scandal every three years.CHEESEMAN: Why traffic costs Kenya Sh2bn a year
Aviation industry Contributes $3.2Billion of 5% of Kenya's GDP, KQ controls like 70% of Kenyas aviation industry
The Kenyan aviation industry supports up to 620,000 direct and indirect jobs including employment in the tourism sector, a study by the International Air Transport Association (IATA) has concluded.
The aviation industry contributed nearly Sh330 billion ($3.2 billion) to Kenya’s economy, or 5.1 per cent of the country’s Gross Domestic Product (GDP), according to the IATA report.
IATA says Kenya’s aviation industry supports 620,000 jobs
How can an airline that does not own airplanes sells its planesNdege ambazo KQ imemaliza kulipia mkopo ni 3 aina ya bombadier Q400 yaani pangaboi
Amaanisha wabunge wenu wanataka kujua aliewakodisha hizo ndege ni nani? Maana pia hajulikani na ndege sio zenuHebu nionyeshe wapi inasema KQ inalipa fees kwa ndege zote
Blaaah, blaah, blaah, hata hujulikani nini unachotaka kusema, points muhimu hapa ni mbili tuHivi unajidai kua mtaalam wa uchumi wakati hauelewi concept rahisi kama hio..... Hivi ukiambiwa utalii wa Tz unachangia $2B ka uchumi wa TZ hua unafikiria ni hoteli ndo zilitengeneza faida ya $2B 🙄🙄 ..... Hoteli ziko na wafanyikazi, wafnyikazi hulipwa mishahara, watalii hula chakula - wavuvi na wakulima huuzia mahoteli samaki na vyakula, gari za kwenda mbugani hutumia mafuta yanayouzwa na kampuni zengine, kuna kulipa kodi , hoteli na magari huhitaji kulipiwa insuarance... kuna wale wanaouza ushanga, kuna wanafanya biashara ya kukodisha maboti....... hao wote ukijumuisha ndo unapata hio $2B... Tena hapo hatujaongelea multiplier effect... Kwa mfano mtu anayechonga sanamu akiuzia watalii anapata hela ambayo anatumia kununua bidhaa ndani ya Tz na kufaidi kampuni zengine..
kwa mfano hii SGR yetu iliopata loss ya $100m mwaka jana, kwa uchumi wa kenya utakuta imechangia kama $400m kwa kurahisisha na kuboresha uchukuzi wa nchi ... mfano utakuta uchumi wa Mombasa umeongezeka kwasababu ya SGR...
Inasemekana traffic jam ndani ya Kenya inafanya uchumi wa nchi kupotea by $200Million kila mwaka, Nairobi pekee inapoteza $50,000 kila siku .... Hii inamaanisha Nairobi na Kenya nzima ikiwa na efficient transport system kama SGR na BRT, tayari uchumi una gain by $200m hata kama hizo kampuni zitakua zinapata loss!!!!
According to the government, the time wasted in traffic jams represents a cost of $578,000 (Sh58.4 million) a day in lost productivity. That’s more than $210 million (Sh2.1billion) a year. Which is the equivalent of an Anglo Leasing scandal every three years.CHEESEMAN: Why traffic costs Kenya Sh2bn a year
Aviation industry Contributes $3.2Billion of 5% of Kenya's GDP, KQ controls like 70% of Kenyas aviation industry
The Kenyan aviation industry supports up to 620,000 direct and indirect jobs including employment in the tourism sector, a study by the International Air Transport Association (IATA) has concluded.
The aviation industry contributed nearly Sh330 billion ($3.2 billion) to Kenya’s economy, or 5.1 per cent of the country’s Gross Domestic Product (GDP), according to the IATA report.
IATA says Kenya’s aviation industry supports 620,000 jobs