This is Africa: Rais wa Nigeria yabainika alitumia cheti cha mwanamke kudanganya ni degree yake. Je, atawajibika kwa kuidanganya nchi anayoiongoza?

This is Africa: Rais wa Nigeria yabainika alitumia cheti cha mwanamke kudanganya ni degree yake. Je, atawajibika kwa kuidanganya nchi anayoiongoza?



Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao.

Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika kwamba ni kweli alisoma hapo lakini alitumia cheti cha Mwanamke kutuma maombi ya kujiunga.

Ni sawa na huku kwetu mtu kafeli form 6, atumie cheti cha mtu wanaefanana jina kutuma maombi ya kujiunga chuoni.


Ikumbukwa kuwa siku ya jana, Rais wa Nigeria kaongeza mishahara.

Baada ya kupata ushahidi usio na shaka kwamba kakiuka kanuni za integrity (uaminifu), je kutakuwa na accountability (uwajibikaji)????

JE ATAWAJIBIKA ???
Kwa wenzetu huyu saa hii angekuwa chini ya ulinzi anajibu maswali magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao.

Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika kwamba ni kweli alisoma hapo lakini alitumia cheti cha Mwanamke kutuma maombi ya kujiunga.

Ni sawa na huku kwetu mtu kafeli form 6, atumie cheti cha mtu wanaefanana jina kutuma maombi ya kujiunga chuoni.


Ikumbukwa kuwa siku ya jana, Rais wa Nigeria kaongeza mishahara.

Baada ya kupata ushahidi usio na shaka kwamba kakiuka kanuni za integrity (uaminifu), je kutakuwa na accountability (uwajibikaji)????

JE ATAWAJIBIKA ???
Ngoja niende NAIRALAND then ntarud hapa ku comment....
 
Baada ya kujiunga chuo alifaulu?
 
Hapo ina maana hata akili ya Taifa hilo " State intelligence/ Inner cycle kuna mahali ilizubaa....sycophant ukizubaa kidogo tu wamo.
 
Nilicho kikuta NAIRALAND FORUM ni hiki hapa...

C& P

CLAIM 2: Tinubu attended the university as a man — or a woman.

According to the CSU, the Bola Tinubu who attended their institution, is male.

Confirming his admission into the institution in 1977, the university referred to Tinubu as ‘Mr’. The letter was dated September 8, 1977, and was signed by James Pappas for the Department of Admissions.


CSU’s admissions department’s letter to Tinubu
In his undergraduate admissions application, Tinubu also checks the ‘male’ box to indicate he was male at the time of applying. It also says he was a US citizen.


Tinubu’s undergraduate admissions application
However, the CSU’s revelation includes a document that infers the credentials used to gain admission belonged to a female.

Southwest College certificate showing Tinubu’s sex as female
CONCLUSION: The Tinubu who attended the institution is a man but he did so by tendering a woman’s documents

Kwa ufupi ni hayo.....
 


Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao.

Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika kwamba ni kweli alisoma hapo lakini alitumia cheti cha Mwanamke kutuma maombi ya kujiunga.

Ni sawa na huku kwetu mtu kafeli form 6, atumie cheti cha mtu wanaefanana jina kutuma maombi ya kujiunga chuoni.


Ikumbukwa kuwa siku ya jana, Rais wa Nigeria kaongeza mishahara.

Baada ya kupata ushahidi usio na shaka kwamba kakiuka kanuni za integrity (uaminifu), je kutakuwa na accountability (uwajibikaji)????

JE ATAWAJIBIKA ???
Trust me. Russia wapo behind this.

Why and how, just connect dots. Dots zipi? Just use your brain
 
Marehemu mwenyewe elimu yake ilikua magumashi!!

Aliepo nae pitia elimu yake uone makambarisi.

Faster akatunukiwa PhD ili aonekane kipanga kwa wananchi wasioelewa!!

Yale yale ya Mkwere na gentleman pass ya GPA ya 2.
Akaenda uturuki akapewa PhD ya jukwaani!!
Mkwere alikuwa na wani pointi eiti😂
 
Huku kwetu waliofoji vyeti wapo kibao... Na wengine wapo ofisini hadi muda huu! Tunawachukulia hatua zipi??
Au tusubirie Nigeria watupe muongozo??
Toa list yao tuwasimange maana ndo kazi tunayoiweza!! Tumewasimanga #DP WORLD mpaka wameogopa kuja kujitwalia bandari zetu zote!!


Kama hujui masimango ya wabongo mcheki FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom