This is Africa: Rais wa Nigeria yabainika alitumia cheti cha mwanamke kudanganya ni degree yake. Je, atawajibika kwa kuidanganya nchi anayoiongoza?

This is Africa: Rais wa Nigeria yabainika alitumia cheti cha mwanamke kudanganya ni degree yake. Je, atawajibika kwa kuidanganya nchi anayoiongoza?


Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao.

Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika kwamba ni kweli alisoma hapo lakini alitumia cheti cha Mwanamke kutuma maombi ya kujiunga.

Ni sawa na huku kwetu mtu kafeli form 6, atumie cheti cha mtu wanaefanana jina kutuma maombi ya kujiunga chuoni.

Siku ya jana baada ya jaji wa Marekani kutoa agizo la kuweka mambo wazi, nae Rais wa Nigeria akatoa agizo la kuongeza mishahara.

Baada ya kupata ushahidi usio na shaka kwamba kakiuka kanuni za integrity (uaminifu), je kutakuwa na accountability (uwajibikaji)?

JE ATAWAJIBIKA?
Duh!....Africa ina vituko kweli kweli.
 
Nilicho kikuta NAIRALAND FORUM ni hiki hapa...

C& P

CLAIM 2: Tinubu attended the university as a man — or a woman.

According to the CSU, the Bola Tinubu who attended their institution, is male.

Confirming his admission into the institution in 1977, the university referred to Tinubu as ‘Mr’. The letter was dated September 8, 1977, and was signed by James Pappas for the Department of Admissions.


CSU’s admissions department’s letter to Tinubu
In his undergraduate admissions application, Tinubu also checks the ‘male’ box to indicate he was male at the time of applying. It also says he was a US citizen.


Tinubu’s undergraduate admissions application
However, the CSU’s revelation includes a document that infers the credentials used to gain admission belonged to a female.

Southwest College certificate showing Tinubu’s sex as female
CONCLUSION: The Tinubu who attended the institution is a man but he did so by tendering a woman’s documents

Kwa ufupi ni hayo.....
Kwa sasa ndiye Rais, haya mengine yatapita tu.
 
Back
Top Bottom