makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kwa afrika hajiuzulu wala nini, labda wananchi walete songombingo la kaboka mchizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wenzetu huyu saa hii angekuwa chini ya ulinzi anajibu maswali magumu
Sent using Jamii Forums mobile app
ni ulafi uliokithiriWatawala wengi wa Africa ni vimeo ndio maana Africa ipo ilipo
Kwani mama alisemaje kwa vyeti fake? Jibu lilishatokewa Nigeria wafuate mwongozo wa hapaHuku kwetu waliofoji vyeti wapo kibao... Na wengine wapo ofisini hadi muda huu! Tunawachukulia hatua zipi??
Au tusubirie Nigeria watupe muongozo??
Watu waliofukuzwa makazini kwa kufoji vyeti wamerudi makazini na wamelipwa mishahara na posho za kipindi chote walichofukuzwa kwa kosa la kughushi vyeti.Kwani mama alisemaje kwa vyeti fake? Jibu lilishatokewa Nigeria wafuate mwongozo wa hapa
Hii ndio AfrikaWatu waliofukuzwa makazini kwa kufoji vyeti wamerudi makazini na wamelipwa mishahara na posho za kipindi chote walichofukuzwa kwa kosa la kughushi vyeti.
Sishangai nikisikia mambo ya bandari na mbuga
Mkwere alikuwa na wani pointi eiti😂
Hujaelewa chochote,alisoma japo kwa jina la mtu mwingineLiraisi ni libashite kabisa.
Sasa lingesema halikusoma kama wanalipenda bado wangelipa nchi tu ila sio kuwadanganya watu
Bara ambalo tume ya uchaguzi inashirikiana na mgombea kufoji nyaraka na matokeo ya uchaguzi!Hii ndio Afrika
Umeiandika kwa hisia sana hahahahahaKuna rais wa Africa anawajibika? Labda kwa Mungu
Sisi tunaangalia sura ya mtu kwanza na chama kisha elimu baadae! Sasa foo foo liva inatutesa...Asingepenya hata vetting. Likija suala la kupata kiongozi wa nchi wenzetu wako serious sana
Africa hiyo sio issue
Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao.
Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika kwamba ni kweli alisoma hapo lakini alitumia cheti cha Mwanamke kutuma maombi ya kujiunga.
Ni sawa na huku kwetu mtu kafeli form 6, atumie cheti cha mtu wanaefanana jina kutuma maombi ya kujiunga chuoni.
Siku ya jana baada ya jaji wa Marekani kutoa agizo la kuweka mambo wazi, nae Rais wa Nigeria akatoa agizo la kuongeza mishahara.
Baada ya kupata ushahidi usio na shaka kwamba kakiuka kanuni za integrity (uaminifu), je kutakuwa na accountability (uwajibikaji)?
JE ATAWAJIBIKA?
Kwahiyo wanamuingiza kwenye kundi la vyeti feki...?
Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao.
Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika kwamba ni kweli alisoma hapo lakini alitumia cheti cha Mwanamke kutuma maombi ya kujiunga.
Ni sawa na huku kwetu mtu kafeli form 6, atumie cheti cha mtu wanaefanana jina kutuma maombi ya kujiunga chuoni.
Siku ya jana baada ya jaji wa Marekani kutoa agizo la kuweka mambo wazi, nae Rais wa Nigeria akatoa agizo la kuongeza mishahara.
Baada ya kupata ushahidi usio na shaka kwamba kakiuka kanuni za integrity (uaminifu), je kutakuwa na accountability (uwajibikaji)?
JE ATAWAJIBIKA?
Unataka awajibike vip ikiwa ameshaongeza mishahara tayar
Degree yake ya kwenye CV inayoonyesha kasomea chuo kikuu cha Chicago nchini Marekani ilizua maswali, wananchi wakatuma maombi Marekani kutaka kujiridhisha elimu ya Rais wao.
Wamarekani wapo Direct, siku ya jana Jaji wa Marekani aliamuru taarifa za uhalali wa cheti zitolewe leo na imebainika kwamba ni kweli alisoma hapo lakini alitumia cheti cha Mwanamke kutuma maombi ya kujiunga.
Ni sawa na huku kwetu mtu kafeli form 6, atumie cheti cha mtu wanaefanana jina kutuma maombi ya kujiunga chuoni.
Siku ya jana baada ya jaji wa Marekani kutoa agizo la kuweka mambo wazi, nae Rais wa Nigeria akatoa agizo la kuongeza mishahara.
Baada ya kupata ushahidi usio na shaka kwamba kakiuka kanuni za integrity (uaminifu), je kutakuwa na accountability (uwajibikaji)?
JE ATAWAJIBIKA?
Itabidi aamue yeye kwanzaKwahiyo wanamuingiza kwenye kundi la vyeti feki...?
matokeo ya mitihani ni kipimo cha ufahamu huez nambie tu mweny GPA ya 4 awe sw kiufahamu na mtu mwenye GPA ya 2 ( achana na GPA za huku bongo , maprofessa wanatoa kwa kujuana ba rushwa ya ngono )Naomba unipe uhusiano wa G.P.A kubwa na akili ya mtu. Namaanisha hivi ukipata G.P.A kubwa ndiyo unakuwa na akili zaidi??
Unafahamu first class ngapi zimewahi kuongoza nafasi za juu hapa nchini? Namaanisha first class kutoka Havard, University of Oxford, Yale university n.k siyo UDSM.
Yaleyale, ukipata division one basi lazima uwe na maisha mazuri! Ukimkuta aliyepata division four amekupita kimaisha mnaanza kujaa wivu,chuki,husuda,hasira,roho mbaya ,kijiba cha roho n.k!
Acha kukariri, mtaa hautaki kukariri!
na ni rais kbs [emoji23][emoji23]