TANZIA Thomas Mashali afariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana

Bongo ni ndogo ila mtu anaweza fanyiwa unyama bila chombo chochote cha usalama kumtetea
 
Duuuh
May his soul rest in peace,hivi hizi pombe nyumbani hazinyeki eeeh
 
Sishangai mwanadamu kufa, ila nashangaa kifo kinachosababishwa na binadam mwenzako,,,,,r.i.p
 
Hichi kifo kina utatanishi lkn marehemu pia ana background mbaya

Sidhani kama huyo goli kipa wa Ghana alikuwa na background mby
 
uko bar unakunywa halafu unaitiwa mwizi hao watu walitoka wapi ndani ya muda mchache
Inabidi watu wa hiyo Bar waulizwe ukweli ndio utajulikana sidhani mteja kwenye bar hata aitiwe mwizi from no where apigwe lzm wangeuliza kwanza

Watu wa kimara jibu ndio wanayo
 
...ni Kimara ipi na bar gani;hilo eneo inabidi liwe chini ya karantini mwezi mzima blalfuu!
..R.I.P Mashali!
 
Clauds wametangaza aliitiwa mwizi baada ya kutokea ugomvi Baa Na rafiki yake.

Hivyo wananchi wenye hasira wakamshambulia Na mapanga baadae watu wa bodaboda wanaomfahamu wakamkimbiza Mhimbili ambako mauti yalimkuta.

R.I.P.
Mob Justice?Hapo Mwenye Bar Lazima Aseme Ukweli Hawa Wananchi Wenye Hasira Kali Ni Kina Nani?Lazima Kuna Ki2 Nyuma Ya Pazia,wananch Wenye Hasira Kali Wametumika Kama Chambo.Upelelezi Ndyo Utakaoufumua Yote Yaliyokuwa Nyuma Ya Pazia
 
Ndo mana Nape anawakomalia wawe na degree. Mana wanapost nonsenses. Haiingii akilini
 
Ameuawa kwa risasi au mapanga kwa kuitiwa mwizi? Very confusing!
 
Mashali alikuwa m2 poa sana mm nilikuwa nakutana nae sana maeneo ya Meridian M'nyamala na kama humjui ilikuwa sio rahisi kuja km ni boxer hakuwa na ubabe jinsi watu wanavyoelezea
 
Hichi kifo kina utatanishi lkn marehemu pia ana background mbaya

Sidhani kama huyo goli kipa wa Ghana alikuwa na background mby

Ni kweli, mimi nilitoa mifano tu ya baadhi ya vifo tatanishi vilivyo wahi kutokea - sikusema kwamba Mensah licha ya kuwa golikipa mahili wa Ghana alijishugulisha vile vile na vikundi vya kiharifu. Lakini kwa Mashali umafiosa ndiyo inaweza kuwa ni a plausable reason behind the crime/muder kuliko masuala ya ngumi za kulipwa.
 
Mashali alikuwa m2 poa sana mm nilikuwa nakutana nae sana maeneo ya Meridian M'nyamala na kama humjui ilikuwa sio rahisi kuja km ni boxer hakuwa na ubabe jinsi watu wanavyoelezea
Mkuu hebu pitia na hizo posts zilizotangulia Kuna watu nao wanamfahamu alikua na vikundi vyake vya uporaji,wengine wamesema alikua mtemi na akilewa nilazima awe mkorofi Sasa hebu tuweke vizuri upoa wake ulikuaje kwa unavyomfahamu wewe!!!
 
Mashali alikuwa m2 poa sana mm nilikuwa nakutana nae sana maeneo ya Meridian M'nyamala na kama humjui ilikuwa sio rahisi kuja km ni boxer hakuwa na ubabe jinsi watu wanavyoelezea

MASHALI ALIKUWA MTU MBAYA.....
Mtetee tu kwa sababu ulikuwa unakutana naye hapo

PROMOTA WAKE ameiambia Clouds360 kwamba MASHALI akilewa huwa "MBABE" jana alipgiwa cm na rafk yake kwenda kimara,baada ya kufika huko wakawa wanakula MVINYO,baada ya kulewa wakaznguanana na mtu mwingn,MASHALI akamtandika[NGUMI KALI] huyo jamaa baada ya kupewa kichapo akaanza kupiga kelele za mwiz,,,Wakatokea wananchi wenye hasira na silaha wakamchakaza[bila kujua kama ni Mashali] baadhi ya watu wakasema sio mwizi huyu ni mashali raia wakamuacha lakini alikua tayar ashaumia sana na kumwaga damu nyingi...BODABODA wa hapo kimara wakamchukua na kumpeleka hospital then wakaanza kutoa taarifa kwa WANAOMJUA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…