Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Kwanza timu ya simba iliyomaliza nafasi ya tatu msimu ulioisha sio hii.

Kwahiyo sio ajabu simba hii mpya ikibakia shirikisho sababu ina ubora fulani ukifananisha na Ile iliyomaliza nafasi ya tatu.

Simba imeondosha karibu robo tatu ya wachezaji wake wa kikosi cha msimu ulioisha na kusajli wachezaji wapya.

Hakuna cha hujuma wala nini.
Sio hii ila kuna wachezaji wameondoka ndio waliokua wanafanya simba iwe mbovu, mfano wa wachezaji hao ni Mwenda na Chama.
 
Uandishi wa insha niliacha kitambo huko Darasa la tatu, huko ndo Huwa tunazingatia Aya, vituo, herufi, kubwa na ndogo n.k
Kama wakubwa wapo klabu bingwa basi jibu linabaki kuwa lile lile Yanga ni mchanga kimataifa kwa 7bu hayupo klabu bingwa Wala shirikisho.
Kwani kuna sehemu Yanga wamesema wao ni wakubwa afrika?

Ninyi makolo ndo mnalazimisha ukubwa ambao hamna.
 
IMG-20250121-WA0071.jpg
 
Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya CAF.

Msimu uliopita Simba ilishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya Tanzania nyuma ya Yanga na Azam.

Jee Simba inahujumiwa kwenye Ligi au kimataifa huwa inabahatisha tu?
 
Siyo kwamba tunalazimsha ukubwa, ni vitu vinavyojidhihirisha tu timu imeongoza kundi ktk kundi lake michuanoya caf Cha ajabu Timu ya wananchi imeshindwa kushika hata nafasi ya pili.
Kolo kuongoza kundi sio ishara ya ukubwa usiwe na kichwa kizito kuelewa.

Ukubwa ni kuchukua makombe sawa ndugu kolo?
 
Back
Top Bottom