Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya CAF.

Msimu uliopita Simba ilishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya Tanzania nyuma ya Yanga na Azam.

Jee Simba inahujumiwa kwenye Ligi au kimataifa huwa inabahatisha tu?
Hata mtu wa mwisho darasani anaweza kua tajiri maisha nikupanga tu na bahati yako pia
 
Back
Top Bottom