Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Ukubwa wako kuliko Yanga upo kwenye nini?

Wewe na Yanga nani anaongoza kuchukua mataji ya ligi kuu?

Mashindano ambayo nyinyi mnalingia kwa sasa(shirikisho)ambayo baadhi ya viongozi wenu waliyaita ya kina mama Yanga kaingia fainali na ushahidi usiokuwa wa kuokoteza upo.

Nyinyi simba mmefika fainali ya mashindano gani ya CAF?

Ukubwa wenu upo kwenye nini au kuishia robo fainali?
Wewe mbona una kichwa kigumu sana, inaonekana ulipokuwa shule, waalimu wako walikuwa wanapata shida kukuelewesha

Si nimeshakueleza kuwa ukubwa wa simba kwa yanga uko kwenye hatua wanazofikia huko kimataifa, kwamba hatua ambayo yanga hadi ifike ni hadi iwe na kikosi bora, simba inafika ikiwa na kikosi kibovu

Nakukumbusha mafanikio ni makombe na siyo kucheza fainali, kama standard yenu ni fainali ya shirikisho basi na sisi standard yetu ni robo fainali ya klabu bingwa mara tano mfululizo, au unasemaje hapo mwakakundi

Halafu idadi ya makombe ya ligi siyo kipimo pekee cha timu kuwa bora, maana ligi za ndani zinatofautiana ubora na kushinda ubingwa wa ligi za ndani kunategemea mambo mengi, kipimo sahihi ni ligi za kimataifa kwa sababu huko zinakutana timu tofauti toka kwenye ligi tofautitofauti

Hata epl man city ina makombe mengi ya ligi kuliko chelsea lakini bado chelsea ni kubwa na bora kuliko man city, licha ya kwamba misimu ya hivi karibuni chelsea imekuwa ikifanya vibaya ila haishushi ubora wake, hiyo ni kwa sababu ya takwimu za kimataifa ushiriki na mafanikio ya chelsea ucl na kwingineko ni makubwa kuliko ya man city
Nafurahi umebadilika kwa kuweka aya kwenye andiko lako.

Hii nimeipenda.
Nimeweka ili usitafute kisingizio cha kukwepa hoja yangu, na pia kwa sababu nimeona una kichwa kizito, na kigumu kuelewa na kuchanganua hata hoja nyepesi kabisa
 
Wewe mbona una kichwa kigumu sana, inaonekana ulipokuwa shule, waalimu wako walikuwa wanapata shida kukuelewesha

Si nimeshakueleza kuwa ukubwa wa simba kwa yanga uko kwenye hatua wanazofikia huko kimataifa, kwamba hatua ambayo yanga hadi ifike ni hadi iwe na kikosi bora, simba inafika ikiwa na kikosi kibovu

Nakukumbusha mafanikio ni makombe na siyo kucheza fainali, kama standard yenu ni fainali ya shirikisho basi na sisi standard yetu ni robo fainali ya klabu bingwa mara tano mfululizo, au unasemaje hapo ndugu mwakakundi

Halafu idadi ya makombe ya ligi siyo kipimo pekee cha timu kuwa bora, maana ligi za ndani zinatofautiana ubora na kushinda ubingwa wa ligi za ndani kunategemea mambo mengi, kipimo sahihi ni ligi za kimataifa kwa sababu huko zinakutana timu tofauti toka kwenye ligi tofautitofauti

Hata epl man city ina makombe mengi ya ligi kuliko chelsea lakini bado chelsea ni kubwa na bora kuliko man city, licha ya kwamba misimu ya hivi karibuni chelsea imekuwa ikifanya vibaya ila haishushi ubora wake, hiyo ni kwa sababu ya takwimu za kimataifa ushiriki na mafanikio ya chelsea ucl na kwingineko ni makubwa kuliko ya man city

Nimeweka ili usitafute kisingizio cha kukwepa hoja yangu, na pia kwa sababu nimeona una kichwa kizito, na kigumu kuelewa na kuchanganua hata hoja nyepesi kabisa
Andiko refu unaleta siasa za mpira.

Fikeni kwanza fainali ya shirikisho kama sisi Yanga then ndio urudi tuzungumze tena.

Mtoto hata fainali ya CAF huijui unachonga ngenga mbele ya watu waliofika fainali na kuvaa medali.

Halafu sio kila kikosi cha Simba kilichokuwa kinafika robo fainali ni kibovu.

Kile kikosi cha kina Chama meddie kagere miqison utasemaje ni kibovu?
Unaelewa hata unachozungumza kweli!

Mwisho kabisa Yanga standard zetu ni makombe na kwenye makombe ndo kwenye ukubwa full stop.

Tunaposema Madrid ni timu kubwa duniani tunazungumzua makombe makubwa ya ulaya aliyojikusanyia,ni mengi kuliko timu yoyote.

Sasa nyinyi mnaofosi ukubwa kwa kufika robo fainali endeleeni na ujinga wenu.
 
Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya CAF.

Msimu uliopita Simba ilishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya Tanzania nyuma ya Yanga na Azam.

Jee Simba inahujumiwa kwenye Ligi au kimataifa huwa inabahatisha tu?
Anabahatishaje miaka yote hiyo?
 
Kwa vile nakuheshimu sana nachelea kukuita mbumbumbu kama Aden Rage alivyo waita shabiki wa Simba.
Mwaka 2005 Liverpool FC anachukua ubingwa wa Ulaya (EUFA Champions League) siyo shirikisho (Europa League Cup) msimu uliopita kwenye local league (Barclays EPL) alishika nafasi ya ngapi?
Wakati anachukua Tena 2018/19 msimu uliopita alikuwa nafasi ya ngapi EPL?
Real Madrid mara ngapi amechukua EUFA CL wakati local league yao (La Liga) msimu uliopita hakuwa bingwa?
Hiyo hujuma kwa Simba tu?
 
Ata Malumo Gallant walicheza Nusu Fainali ya Shirikisho na wakashuka Daraja.
 
Andiko refu unaleta siasa za mpira.

Fikeni kwanza fainali ya shirikisho kama sisi Yanga then ndio urudi tuzungumze tena.

Mtoto hata fainali ya CAF huijui unachonga ngenga mbele ya watu waliofika fainali na kuvaa medali.

Halafu sio kila kikosi cha Simba kilichokuwa kinafika robo fainali ni kibovu.

Kile kikosi cha kina Chama meddie kagere miqison utasemaje ni kibovu?
Unaelewa hata unachozungumza kweli!

Mwisho kabisa Yanga standard zetu ni makombe na kwenye makombe ndo kwenye ukubwa full stop.

Tunaposema Madrid ni timu kubwa duniani tunazungumzua makombe makubwa ya ulaya aliyojikusanyia,ni mengi kuliko timu yoyote.

Sasa nyinyi mnaofosi ukubwa kwa kufika robo fainali endeleeni na ujinga wenu.
Kijana mbona unapanic tuende taratibu tu tutaelewana, naona sasa unaanza kutapatapa baada ya kuishiwa hoja, mpaka unarudia kuandika yale yale ambayo nimetoka kukukosoa juu huko

Hakuna mahali nimesema misimu yote simba iliyofika robo fainali klabu bingwa ilikuwa na kikosi kibovu, bali nimeongelea specifically msimu uliopita ambao ninyi mlikuwa na kikosi bora, lakini mkaishia robo kama simba iliyokuwa mbovu

Sasa kama mnajua mafanikio ni makombe pekee mbona mmeset standard yenu ya fainali shirikisho, na kulazimisha simba ifikie eti ndio ili iwe kubwa kuliko yanga lakini simba ikiset standard yake ya kufuzu robo fainali mara tano mfululizo, mnaanza kutukana wakati mnadai huwezi kufananisha shirikisho na klabu bingwa

Na ninyi fikeni kwanza robo fainali ya klabu bingwa mara tano mfululizo kisha ndio mje kubishana na sisi, na kama mnajua mafanikio ni makombe pekee basi msitupigie kelele kuhusu kucheza fainali, maana medali siyo mafanikio kwenye mpira wa miguu tena ni aibu timu inayojiita kubwa kujisifia medali

Hebu jaribu kufuatilia ile fainali ya afcon ya mwaka jana kati ya ivory coast na nigeria, uone wachezaji wa nigeria baada ya kukosa lile kombe walipokuwa wanavishwa zile medali baadhi wakawa wanazivua kwa aibu, maana wanajua medali siyo sifa wao walihitaji lile kombe tu

Sasa ninyi mlishindwa kubeba hilo kombe la shirikisho mkiwa na kikosi bora kabisa huku mna striker kama mayele, mkaishia kupata medali sasa siku mkiwa na kikosi kibovu kama simba mtaishia wapi, kwa ulaya ofcourse real madrid ni undisputed na uzuri umeshasema inaongoza kwa makombe yote ya ndani na kimataifa na siyo ya ndani tu

Sasa wewe unapima ubora wa timu kwa kuangalia makombe ya ndani pekee ndio maana nikakupa huo mfano wa chelsea na man city, na nakukumbusha hapa tunalinganisha ukubwa wa simba na yanga sijasema simba ndio timu kubwa kuliko zote africa, maana naona unakwepa sana hoja na unatoka nje ya mada
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwani kikosi cha simba kilichomaliza nafasi ya tatu msimu ulioisha ndio hiki?

Camara,Hamza,Balua,Mutale,Debora,Mukwala,Ateba na Ahoua walikuwepo kwenye kikosi kilichomaliza nafasi ya tatu?

Timu yenu robo tatu ni mpya halafu mnasema mnahujumiwa.

Mnashangaza sana makolo msiojua mpira.

No wonder mkaitwa mbumbumbu.
Hii ni kweli kabisa, wengi wapo Yanga
 
Kijana mbona unapanic tuende taratibu tu tutaelewana, naona sasa unaanza kutapatapa baada ya kuishiwa hoja, mpaka unarudia kuandika yale yale ambayo nimetoka kukukosoa juu huko

Hakuna mahali nimesema misimu yote simba iliyofika robo fainali klabu bingwa ilikuwa na kikosi kibovu, bali nimeongelea specifically msimu uliopita ambao ninyi mlikuwa na kikosi bora, lakini mkaishia robo kama simba iliyokuwa mbovu

Sasa kama mnajua mafanikio ni makombe pekee mbona mmeset standard yenu ya fainali shirikisho, na kulazimisha simba ifikie eti ndio ili iwe kubwa kuliko yanga lakini simba ikiset standard yake ya kufuzu robo fainali mara tano mfululizo, mnaanza kutukana wakati mnadai huwezi kufananisha shirikisho na klabu bingwa

Na ninyi fikeni kwanza robo fainali ya klabu bingwa mara tano mfululizo kisha ndio mje kubishana na sisi, na kama mnajua mafanikio ni makombe pekee basi msitupigie kelele kuhusu kucheza fainali, maana medali siyo mafanikio kwenye mpira wa miguu tena ni aibu timu inayojiita kubwa kujisifia medali

Hebu jaribu kufuatilia ile fainali ya afcon ya mwaka jana kati ya ivory coast na nigeria, uone wachezaji wa nigeria baada ya kukosa lile kombe walipokuwa wanavishwa zile medali baadhi wakawa wanazivua kwa aibu, maana wanajua medali siyo sifa wao walihitaji lile kombe tu

Sasa ninyi mlishindwa kubeba hilo kombe la shirikisho mkiwa na kikosi bora kabisa huku mna striker kama mayele, mkaishia kupata medali sasa siku mkiwa na kikosi kibovu kama simba mtaishia wapi, kwa ulaya ofcourse real madrid ni undisputed na uzuri umeshasema inaongoza kwa makombe yote ya ndani na kimataifa na siyo ya ndani tu

Sasa wewe unapima ubora wa timu kwa kuangalia makombe ya ndani pekee ndio maana nikakupa huo mfano wa chelsea na man city, na nakukumbusha hapa tunalinganisha ukubwa wa simba na yanga sijasema simba ndio timu kubwa kuliko zote africa, maana naona unakwepa sana hoja na unatoka nje ya mada
Ukubwa unapimwa kwa idadi ya makombe uliyochukua ndo maana huwezi kukuta Yanga anasema yeye ni mkubwa kisa alicheza fainali.

Wewe unalazimisha simba ni mkubwa kuliko yanga kisa kacheza robo fainali tano huu ni zaidi ya upimbi.

Ukubwa ni makombe period.

Wewe simba una makombe mangapi ya CAF na ligi tuupime ukubwa wako?
 
Kwanza timu ya simba iliyomaliza nafasi ya tatu msimu ulioisha sio hii.

Kwahiyo sio ajabu simba hii mpya ikibakia shirikisho sababu ina ubora fulani ukifananisha na Ile iliyomaliza nafasi ya tatu.

Simba imeondosha karibu robo tatu ya wachezaji wake wa kikosi cha msimu ulioisha na kusajli wachezaji wapya.

Hakuna cha hujuma wala nini.
Swali kumradhi; simba ya msimu uliopita ilishika namba tatu nbc lakn iliishia robo final kunako caf champion, bingwa wa nbc naye vivyohivyo aliishia robo je mpaka hapo hujaona harufu ya kuhujumiwa?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Rama the plumber katufumbua macho. Haiwezekani wachezaji wanalala Kidimbwi kesho yake wanazawadiwa goli tano. Kama mnajua kusoma katikati ya mistari mtakumbuka Hersi alimwambia Chama aje Yanga 'apunzike'😂
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya CAF.

Msimu uliopita Simba ilishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya Tanzania nyuma ya Yanga na Azam.

Jee Simba inahujumiwa kwenye Ligi au kimataifa huwa inabahatisha tu?
Tatizo lako unafuatilia mpira wa Tanzania pekee
Huko Nchi za wenzetu hata timu ya 5 kwenye ligi ndio inawakilisha Nchi na hakuna tatizo...
 
Swali kumradhi; simba ya msimu uliopita ilishika namba tatu nbc lakn iliishia robo final kunako caf champion, bingwa wa nbc naye vivyohivyo aliishia robo je mpaka hapo hujaona harufu ya kuhujumiwa?
Wengine nyie mpira mnalazimisha tu.

Tafuteni michezo mingine muishabikie.
 
Hili nalo siyo la kujivunia kwa Simba,yani mtu mwenye PHD anajifunia kufaulu mtihani wa Degree
 
Ukubwa unapimwa kwa idadi ya makombe uliyochukua ndo maana huwezi kukuta Yanga anasema yeye ni mkubwa kisa alicheza fainali.

Wewe unalazimisha simba ni mkubwa kuliko yanga kisa kacheza robo fainali tano huu ni zaidi ya upimbi.

Ukubwa ni makombe period.

Wewe simba una makombe mangapi ya CAF na ligi tuupime ukubwa wako?
Hahaha eti "huwezi kukuta yanga anasema yeye ni mkubwa kisa alicheza fainali", hivi unatuona sisi ni wakuja au walugaluga wa huko vijijini kwamba hatuoni au hatusikii tambo zenu wanayanga kuhusu ile fainali ya shirikisho, haya na wewe unapojiitaga mkubwa tuambie kimataifa una makombe mangapi na una points ngapi na upo nafasi ya ngapi huko

Sisi tunasema simba ni kubwa kuliko yanga kwa sababu hata kwenye caf rankings za vilabu bora africa hamjawahi kutuzidi points siku zote huwa tupo juu yenu, ofcourse kwa hesabu zenu za "tuki" na "waki" ilibidi msimu huu mtupite endapo mngefuzu robo fainali ila kwa vile mdogo ni mdogo tu mkaishia pale uwezo wenu ulipoishia, na kwa sasa sisi tuko nafasi ya sita huku ninyi mkiwa nafasi ya kumi

Kwenye ligi yetu hii ubora wa yanga hauamuliwi kwa idadi ya makombe kwa sababu kwanza kwa misimu kadhaa ya hivi karibuni, ushindi wenu dhidi ya timu mbalimbali za ligi umekuwa wa mashaka na una tuhuma nyingi sana ikiwemo kuhujumu timu ili mpangiwe vikosi dhaifu, au kuhonga wachezaji ili wacheze chini ya kiwango halafu ndio mje mturingishie huo ubingwa wa kununuliwa

Juzi tu yule kipa wa dodoma jiji baada ya mechi alikiri kabisa hakuwa na match fitness na siyo kipa namba moja bali ni namba tatu sijui huko, na kabla ya mechi na yanga alikuwa hajacheza mechi 13 ghafla ndio akaja eti kupangwa kwenye mechi ngumu kama ile, huku yanga ikiwa imeingiza full mkoko kasoro kipa ambaye hakupata mashambulizi yoyote

Na kama kweli umekuwa ukifuatilia baadhi ya mechi za yanga na timu nyingine za ligi unaona kabisa yanga ni kama wanaachiwa tu, timu hazikabi wala hazishambulii tofauti na hizo timu zinapocheza na simba unaona kabisa wanakamia, utadhani huwa wanaambiwa wakifungwa na simba watachapwa viboko

Tena mfano mzuri kaangalie ile mechi ya simba na jkt uone zile saves za maana zilizofanywa na yule kipa wa jkt hadi watu wakawa wanajiuliza huyu kipa huu ndio uwezo wake wa siku zote, au ni kwa vile tu alikuwa anacheza na simba maana kwa msimu huu kwenye mechi 16 jkt wameshinda mechi 4 tu wamefungwa 5 na kudraw 7 na wapo nafasi ya 8, sasa kama kweli yule kipa ule ndio uwezo wake wangefungwa mechi zote hizo si wangekuwa hata kwenye top four huko

Halafu cha kushangaza eti kocha wenu anakuja mbele ya kadamnasi na kudai ligi ya tanzania haina ushindani kumbe viongozi wenu ndio hawamuambii ukweli kwamba huwa wanahonga timu ili ziwalegezee halafu mkienda huko kimataifa mnaishia kuumbuka, hata ile mechi ya derby ya 5-1 ilithibitika kuna wachezaji walihongwa na kuna mamluki mmoja alimhadaa kocha ampange manula ilihali alitoka kuwa majeruhi na hakuwa na match fitness, ila ninyi wenyewe mnajua fika ile mechi angedaka lakred msingeambulia hata goli tatu na pengine ingeisha draw ila kwa vile ninyi ni wazee wa kujifariji kama kawaida yenu mkajifariji kuwa mna kikosi kizuri kumbe viongozi wenu wanawadanganya tu
 
Kwenye ligi yetu hii ubora wa yanga hauamuliwi kwa idadi ya makombe kwa sababu kwanza kwa misimu kadhaa ya hivi karibuni, ushindi wenu dhidi ya timu mbalimbali za ligi umekuwa wa mashaka na una tuhuma nyingi sana ikiwemo kuhujumu timu ili mpangiwe vikosi dhaifu, au kuhonga wachezaji ili wacheze chini ya kiwango halafu ndio mje mturingishie
Aah aah aah kwahiyo hata wewe my wetu tulivyokufunga mara 4 mfululizo kuna wachezaji tuliwahonga au mlipanga kikosi dhaifu dhidi yetu?
 
Aah aah aah kwahiyo hata wewe my wetu tulivyokufunga mara 4 mfululizo kuna wachezaji tuliwahonga au mlipanga kikosi dhaifu dhidi yetu?
Ndio maana nikakuambia simba bado inajenga timu ile mechi ya ngao ya jamii ninyi wenyewe mlijionea, kwenye mechi ya ligi sasa lile goli la kujifunga nalo ndio la kufanya useme una kikosi bora kweli, yani ndio mmeishiwa mbinu kiasi hicho hadi mnashangilia goli la kujifunga tena refa hakuwa fair maana simba ilinyimwa penati
 
Back
Top Bottom