Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

Sio Dhambi.

Kolo mwenzio anasema simba inahujumiwa kwa sababu msimu ulioisha imemaliza nafasi ya tatu na mwaka huu ndio timu pekee iliyobaki mashindano ya CAF.


Mimi nikatoa hoja kwamba Simba iliyomaliza nafasi ya tatu msimu ulioisha siyo hii ya sasa kwenye ligi na shirikisho.

Ile ilikuwa mbovu hii angalau kuna improvement sasa kuhujumiwa kunatoka wapi?
Na cha kushangaza zaidi ni kwamba, pamoja na ubovu wa kikosi cha simba cha msimu jana, ila klabu bingwa iliishia robo fainali sawa na yanga iliyokuwa na kikosi bora
 
Kolo kuongoza kundi sio ishara ya ukubwa usiwe na kichwa kizito kuelewa.

Ukubwa ni kuchukua makombe sawa ndugu kolo?
Mbona unaniaminisha kwamba na wewe ni mzito ktk kuelewa mambo madogo? Ukubwa na ubabe wa Simba ni pamoja na record ambazo timu ya wananchi hamna na Timu za Africa mashabiki hazina.
No Simba SC is not that much better.

It gets to improve from day to day.
If it is so keep it up that how you brain is, but all in all Simba still be the role mode and giant of football Tanzania and East Africa in general
 
Hoja ni kwamba hatua ambayo yanga inafika ikiwa na kikosi bora simba ina uwezo wa kufika ikiwa na kikosi kibovu kabisa
Kwani simba mlipokuwa na kikosi kizuri mkachukua ubingwa wa NBC mara nne mfululilzo mliwahi kuvuka robo kuingia nusu fainali ya CAF?

Halafu wewe ulitoka kwa aibu na kosi lako bovu.

Al Akhly alikupiga nje ndani.


Yanga ilitoka kwa penati tena kukiwa na figisu za kukataliwa bao la wazi la Ki Aziz.

Hakuna mfanano wowote wa jinsi Yanga ilivyotoka na Simba ilivyotoka.
 
Record gani za kuishia robo bila kombe?

Hizo azikufanyi kuwa mkubwa.
Usichokielewa ni kwamba hata wewe hapo ulipo Kuna improvement na record ulizonazo ambazo wadogo zako hawana mbona unachelewa kuelewa lakini?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwani simba mlipokuwa na kikosi kizuri mkachukua ubingwa wa NBC mara nne mfululilzo mliwahi kuvuka robo kuingia nusu fainali ya CAF?

Halafu wewe ulitoka kwa aibu na kosi lako bovu.

Al Akhly alikupiga nje ndani.


Yanga ilitoka kwa penati tena kukiwa na figisu za kukataliwa bao la wazi la Ki Aziz.

Hakuna mfanano wowote wa jinsi Yanga ilivyotoka na Simba ilivyotoka.
Sasa si bora hata simba iliyofika robo mara tano mfululizo wewe na kikosi chako bora kilichochukua ubingwa mara tatu mfululizo hiyo robo umefika mara ngapi na ukiwa na kikosi kibovu kimataifa ulifika wapi, kumbuka tulikubaliana kutolewa ni kutolewa tu hakuna kutolewa kwa aibu wala kwa heshima yani kufa ni kufa tu hakuna kufa kiume wala kike hata simba iliwahi kutolewa robo na wydad kwa mikwaju ya penati hakuna jipya hapo, halafu kama kule kutolewa kwa simba (iliyokuwa mbovu) msimu uliopita unakuita ni kutolewa kwa aibu vipi kutolewa kwa yanga (yenye ubora) msimu huu utakuiteje
 
Usichokielewa ni kwamba hata wewe hapo ulipo Kuna improvement na record ulizonazo ambazo wadogo zako hawana mbona unachelewa kuelewa lakini?
Hapana mimi Yanga nahitaji makombe.

Rekodi uchwara za kuishia robo sizitaki.
 
Sasa si bora hata simba iliyofika robo mara tano mfululizo wewe na kikosi chako bora kilichochukua ubingwa mara tatu mfululizo hiyo robo umefika mara ngapi na ukiwa na kikosi kibovu kimataifa ulifika wapi, kumbuka tulikubaliana kutolewa ni kutolewa tu hakuna kutolewa kwa aibu wala kwa heshima yani kufa ni kufa tu hakuna kufa kiume wala kike hata simba iliwahi kutolewa robo na wydad kwa mikwaju ya penati hakuna jipya hapo, halafu kama kule kutolewa kwa simba (iliyokuwa mbovu) msimu uliopita unakuita ni kutolewa kwa aibu vipi kutolewa kwa yanga (yenye ubora) msimu huu utakuiteje
Pangilia aya vizuri napata tabu kusoma maandishi yaliyobandana.

Halafu hata nyinyi mlipokuwa na kikosi kizuri mlishindwa kabisa kutoboa nusu.


Lakini bado mnajiona wakubwa!
 
Sasa utapataje makombe kama unaishia makundi usipoangalia hata Azam atakuzidi kimataifa
Hata wewe Azam anaweza akakupita.

Azam akichukua klabu bingwa tu tayari amekupita sababu huna kombe lolote la kueleweka la CAF.

Unafahamu hilo?
 
Hata wewe Azam anaweza akakupita.

Azam akichukua klabu bingwa tu tayari amekupita sababu huna kombe lolote la kueleweka la CAF.

Unafahamu hilo?
Hilo nalijua ndiyo maana naheshimu record zinazowekwa na Timu husika unatakiwa kupunguza vumbi kichwani Ili kuelewa vitu vidogo vidogo kama hivi
 
Pangilia aya vizuri napata tabu kusoma maandishi yaliyobandana.

Halafu hata nyinyi mlipokuwa na kikosi kizuri mlishindwa kabisa kutoboa nusu.


Lakini bado mnajiona wakubwa!
Hahaha, mkishapigwa spana na kushindwa hoja, mnakimbilia kubadili mada kama hivi

Mimi kazi yangu ni kuwasilisha hoja tu, masuala ya paragraphs na punctuations, nimewaachia ninyi waalimu wa writing skills

Ofcourse sisi ni wakubwa ukilinganisha na yanga, na ndicho kinachoongelewa hapa hatujasema sisi ni wakubwa africa nzima, bali ni wakubwa kuliko yanga acha kukaza fuvu
 
Kwenye ligi kuu inahujumiwa sana. Mfano akina Gusa Achia Bahasha Upewe Goli (GABUG) wanaimuza sana Simba kwenye ugawaji wa bahasha kwa waamuzi na kwa timu pinzani.

Hapo sijasema kuhusu sindano.

Kimataifa kule hakuna bahasha wala mwamuzi wa kuongea nae nje ya uwanja ni juhudi zako binafsi kama za Simba
Huko Kimataifa ambako hakuna bahasa,Yanga alifika mpaka fainali!
 
Hahaha, mkishapigwa spana na kushindwa hoja, mnakimbilia kubadili mada kama hivi

Mimi kazi yangu ni kuwasilisha hoja tu, masuala ya paragraphs na punctuations, nimewaachia ninyi waalimu wa writing skills

Ofcourse sisi ni wakubwa ukilinganisha na yanga, na ndicho kinachoongelewa hapa hatujasema sisi ni wakubwa africa nzima, bali ni wakubwa kuliko yanga acha kukaza fuvu
Ukubwa wako kuliko Yanga upo kwenye nini?

Wewe na Yanga nani anaongoza kuchukua mataji ya ligi kuu?

Mashindano ambayo nyinyi mnalingia kwa sasa(shirikisho)ambayo baadhi ya viongozi wenu waliyaita ya kina mama Yanga kaingia fainali na ushahidi usiokuwa wa kuokoteza upo.

Nyinyi simba mmefika fainali ya mashindano gani ya CAF?

Ukubwa wenu upo kwenye nini au kuishia robo fainali?
 
Hahaha, mkishapigwa spana na kushindwa hoja, mnakimbilia kubadili mada kama hivi

Mimi kazi yangu ni kuwasilisha hoja tu, masuala ya paragraphs na punctuations, nimewaachia ninyi waalimu wa writing skills

Ofcourse sisi ni wakubwa ukilinganisha na yanga, na ndicho kinachoongelewa hapa hatujasema sisi ni wakubwa africa nzima, bali ni wakubwa kuliko yanga acha kukaza fuvu
Nafurahi umebadilika kwa kuweka aya kwenye andiko lako.

Hii nimeipenda.
 
Ukiwa mtu wa soka hii si ajabu, ni kawaida sana,
Miaka yote?

Rejea kauli ya kocha wenu, anaona ligi rahisi kwa sababu mnahonga timu zinginena marefa.

Aende timu nyingine ndiyo ataelewa ugumu wa ligi. Acheni janja janja. Jakaya alikwisha waonya hizo tabia.
 
Miaka yote?

Rejea kauli ya kocha wenu, anaona ligi rahisi kwa sababu mnahonga timu zinginena marefa.

Aende timu nyingine ndiyo ataelewa ugumu wa ligi. Acheni janja janja. Jakaya alikwisha waonya hizo tabia.
Unadhani mie mshabiki wa timu gani?

Sipendi saana unazi kwenye mpira.

Kwenye mpira, hilo si jambo geni, timu kufanya vibaya kwenye ligi na kutamba kwingine kina chelsea, Liverpool kwenye usiku wa istanbul miracle ishatokea hizi mambo.

Kwanza simba ile mbovu ya msimu uliopita, imeboreka kiasi chake, haijarudi kwenye ubora wake, ila kwa viwango vya shirikisho inatosha kufika mbali.

Michuano ya ligi na knockouts kuna kautofauti pia nakadhalika.
 
Back
Top Bottom