Konda wa bajaj
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 604
- 918
Sio hii ila kuna wachezaji wameondoka ndio waliokua wanafanya simba iwe mbovu, mfano wa wachezaji hao ni Mwenda na Chama.Kwanza timu ya simba iliyomaliza nafasi ya tatu msimu ulioisha sio hii.
Kwahiyo sio ajabu simba hii mpya ikibakia shirikisho sababu ina ubora fulani ukifananisha na Ile iliyomaliza nafasi ya tatu.
Simba imeondosha karibu robo tatu ya wachezaji wake wa kikosi cha msimu ulioisha na kusajli wachezaji wapya.
Hakuna cha hujuma wala nini.
Kwani kuna sehemu Yanga wamesema wao ni wakubwa afrika?Uandishi wa insha niliacha kitambo huko Darasa la tatu, huko ndo Huwa tunazingatia Aya, vituo, herufi, kubwa na ndogo n.k
Kama wakubwa wapo klabu bingwa basi jibu linabaki kuwa lile lile Yanga ni mchanga kimataifa kwa 7bu hayupo klabu bingwa Wala shirikisho.
Yes simba hii sio Ile ya mwaka jana.Sio hii ila kuna wachezaji wameondoka ndio waliokua wanafanya simba iwe mbovu, mfano wa wachezaji hao ni Mwenda na Chama.
Kwani ya mwaka Jana ilikuwa ina ubovu gani?Yes simba hii sio Ile ya mwaka jana.
Na ni kweli hii ina some improvements.
Waliotushawishi tuwashe moto Sauzi Sasa hivi wapo huko huko kwenu😀😀😃😃Na ndio timu inayokamatwa na mambo ya kishirikina hukohuko kimataifa!
Mh!Waliotushawishi tuwashe moto wapo huko huko kwenu😀😀😃😃
Tuwaulize ninyi makolo mlioamua kuiacha karibu robo tatu ya timu na kusajili wachezaji wapya shida ilikuwa nini?Kwani ya mwaka Jana ilikuwa ina ubovu gani?
Hizo hesabu za robo tatu umetumia Kalkuleta kuzifanya?Tuwaulize ninyi makolo mlioamua kuiacha karibu robo tatu ya timu na kusajili wachezaji wapya shida ilikuwa nini?
Tena robo tatu nimewapendelea.Hizo hesabu za robo tatu umetumia Kalkuleta kuzifanya?
Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania iliyobaki kwenye mashindano ya CAF.
Msimu uliopita Simba ilishika nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu ya Tanzania nyuma ya Yanga na Azam.
Jee Simba inahujumiwa kwenye Ligi au kimataifa huwa inabahatisha tu?
Manara alikuwa mbele ya muda kusema YANGA WENYE AKILI WAWILI
..jibu TU mh. kadhi mkuuSwali la kitoto sana.
Siyo kwamba tunalazimsha ukubwa, ni vitu vinavyojidhihirisha tu timu imeongoza kundi ktk kundi lake michuanoya caf Cha ajabu Timu ya wananchi imeshindwa kushika hata nafasi ya pili.Kwani kuna sehemu Yanga wamesema wao ni wakubwa afrika?
Ninyi makolo ndo mnalazimisha ukubwa ambao hamna.
Kolo kuongoza kundi sio ishara ya ukubwa usiwe na kichwa kizito kuelewa.Siyo kwamba tunalazimsha ukubwa, ni vitu vinavyojidhihirisha tu timu imeongoza kundi ktk kundi lake michuanoya caf Cha ajabu Timu ya wananchi imeshindwa kushika hata nafasi ya pili.