Timu inayofungwa 3-0 inakuzaje utalii nchini?

Kwanini mataifa makini hayathubutu kuandika Visit nchi yao kwa kutumia timu za mpira wa miguu, tazama hii

 
Masikini utopwinyo 😜😜😜. River alikupigilia misumari nje ndani tena ahsubuhi na mapema
 
Masikini utopwinyo 😜😜😜. River alikupigilia misumari nje ndani tena ahsubuhi na mapema
Mimi sina tatizo na timu ya Simba bali napingana na vitendo visivyokuwa vya kimichezo kwenye timu zetu halafu kiongozi mkubwa anazipa timu mbovu na zenye utovu wa nidhamu jukumu la kuitangaza Tanzania na vivutio vyake. Mfano, timu kama hii hapo chini unaipaje jukukumu la Visit Kilimanjaro na Zanzibar? Watalii watakujaje kwa kuangalia mechi ya hivi. Ndio maana nadhani Ndumbaro ameondolewa pale utalii kwasabu ya thread yangu hii, haha!

 
W
We ni famba kinoma noma. Wachezaji ndio walivunja viti .?? Stupid
 
Wewe nimegundua siyo mjinga bali umeadvance kuwa mpumbavu.
Kwanini hiyo nafasi ya VISIT TANZANIA haikuchaguliwa timu nyingine bali Simba.

Jibu hilo halafu utagundua wewe ni mpumbavu na unaleta porojo.

Btw hakuna Yanga mwenye akili.
 
Kwa matokeo ya Leo Simba 4-0 Gendermarie.
Simba wamekuvua nguo ,

Hapo ulipo,
upo uchi mbele ya binti zako umejiziba na remote ya tv kwa aibu maamae.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Wewe nimegundua siyo mjinga bali umeadvance kuwa mpumbavu.
Kwanini hiyo nafasi ya VISIT TANZANIA haikuchaguliwa timu nyingine bali Simba.

Jibu hilo halafu utagundua wewe ni mpumbavu na unaleta porojo.

Btw hakuna Yanga mwenye akili.
Hata huna akili, aliebuni hiyo Visit Tanzania ni CEO wa Simba, Barabra, hakuna mtu yeyote alieichagua Simba kuvaa visit Tanzania.
 
Kwa matokeo ya Leo Simba 4-0 Gendermarie.
Simba wamekuvua nguo ,

Hapo ulipo,
upo uchi mbele ya binti zako umejiziba na remote ya tv kwa aibu maamae.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Kama vile hukuona utovu wa nidhamu wa Simba kumulika wachezaji machoni na vitochi.
 
MWAMBIE MAMA YAKO ATANGAZE HUO UTALII. NGURUWE PORI WW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…