Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Maigizo tupuJeshi la Polisi limesema Ofisi ya DCI imetuma Timu ya uchunguzi wa Makosa makubwa kwenda kuongeza nguvu upelelezi wa mauwaji ya Ally Mohamed Kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo tupuJeshi la Polisi limesema Ofisi ya DCI imetuma Timu ya uchunguzi wa Makosa makubwa kwenda kuongeza nguvu upelelezi wa mauwaji ya Ally Mohamed Kibao
Yaani wanajichunguzaNajiuliza hivi mtu gani anaweza kushika silaha nzito ya kivita na kuingia nayo ndani ya basi mchana kweupe na kumfunga pingu raia na kisha kuindoka naye kwa kutumia Toyota Landcruiser HardTop.
Jibu nalopata huyo mtu lazima awe wa Serikali na Serikali lazima inamjua.
Ingekuwa vyema Serikali ikajitoa kwenye hili iwaite scotland yard waje wafanye uchunguzi ili ukweli ujulikane
Yaani haiingii akilini kabisa hiki kilichofanyika ni zaidi ya udhalimu .Yaani wanajichunguza
polisi mnataka kujichunguza wenyewe
Timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu ili kuhakikisha waliofanya mauaji ya Ali Kibao Kada wa CHADEMA wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Jana Septemba 7, 2024 Jeshi la Polisi lilitoa taarifa juu ya Ally Mohamed Kibao kuhusishwa kutoka kwenye basi la Tashrif na kuchukuliwa na watu ambao hawakuweza kutambuliwa na kwamba uchunguzi ulianza baada ya kupokelewa taarifa hiyo.
Baada ya kutolewa taarifa za kuonekana mwili wa mtu mwanaume ambaye hakuweza kutambuliwa kwa wakati huo ni mwili wa nani huko Ununio Jijini Dar es Salaam, utambulisho umefanyika kwa mujibu wa taratibu na kubainika ni mwili wa Ally Mohamed Kibao.
Soma Pia:
Aidha, uchunguzi wa mwili wa marehemu (postmortem) umefanywa leo tarehe 08/09/2024 na Madaktari bingwa kwa kushirikisha familia.
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hili la kusikitisha na timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu kwenye timu ya awali ili kuhakikisha waliofanya mauaji haya wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Wakifanya hivyo wataibaje mali za ummaYaani haiingii akilini kabisa hiki kilichofanyika ni zaidi ya udhalimu .
Basi ni vyema serikali iseme imeshindwa kudhibiti dola ,na dola imeanguka nchi imekuwa failed state kama Haiti.
Serikali iombe ulinzi kutoka Nchi nyingine waje wawasaidie kulinda
Maigizo tupupolisi mnataka kujichunguza wenyewe
Kesi ya nyani anapewa nhedereNgoja wajichunguzeView attachment 3090517
Polisi ivunjwe iundwe upyaNiliwahi kuandika , tume ya haki jinai nayo ikaona,
Na narudia tena, ipo haja ya kuwa na taasisi inayojitegemea ya upelelezi wa makosa ya jinai.
Una amini upuuzi huu?😡Jeshi la Polisi limesema Ofisi ya DCI imetuma Timu ya uchunguzi wa Makosa makubwa kwenda kuongeza nguvu upelelezi wa mauwaji ya Ally Mohamed Kibao
With all these things that're happenin right know its just crazyMkuu rara reree I like that song so much bro. I like the video too. I think the vid was made in jamaica or a carrebian countries.
Nilikuwaga na demu mzuri 2006 nusu mpare na mrangi akaniacha we were both teenagers alikuwa anasoma Arusha aliupenda huu wimbo sana. Nililia sana baadaye 2008 nikaja ulaya.
Nikarudi likizo 2009 bongo nikamtafuta kwa udi na uvumba sikumuona hadi leo sijui yuko wapi hata kwenye FB hayupo.
Ohhh life my sweet Asha labda yuko zake mbinguni huko.
Oh life.
Aisee haya mambo tukizidi kuyaendekeza ipo siku yatafika pabaya zaidi
Timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu ili kuhakikisha waliofanya mauaji ya Ali Kibao Kada wa CHADEMA wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Jana Septemba 7, 2024 Jeshi la Polisi lilitoa taarifa juu ya Ally Mohamed Kibao kuhusishwa kutoka kwenye basi la Tashrif na kuchukuliwa na watu ambao hawakuweza kutambuliwa na kwamba uchunguzi ulianza baada ya kupokelewa taarifa hiyo.
Baada ya kutolewa taarifa za kuonekana mwili wa mtu mwanaume ambaye hakuweza kutambuliwa kwa wakati huo ni mwili wa nani huko Ununio Jijini Dar es Salaam, utambulisho umefanyika kwa mujibu wa taratibu na kubainika ni mwili wa Ally Mohamed Kibao.
Soma Pia:
Aidha, uchunguzi wa mwili wa marehemu (postmortem) umefanywa leo tarehe 08/09/2024 na Madaktari bingwa kwa kushirikisha familia.
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hili la kusikitisha na timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu kwenye timu ya awali ili kuhakikisha waliofanya mauaji haya wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Mzee alitoa neno moja tu “mtanikumbuka”
Timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu ili kuhakikisha waliofanya mauaji ya Ali Kibao Kada wa CHADEMA wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Jana Septemba 7, 2024 Jeshi la Polisi lilitoa taarifa juu ya Ally Mohamed Kibao kuhusishwa kutoka kwenye basi la Tashrif na kuchukuliwa na watu ambao hawakuweza kutambuliwa na kwamba uchunguzi ulianza baada ya kupokelewa taarifa hiyo.
Baada ya kutolewa taarifa za kuonekana mwili wa mtu mwanaume ambaye hakuweza kutambuliwa kwa wakati huo ni mwili wa nani huko Ununio Jijini Dar es Salaam, utambulisho umefanyika kwa mujibu wa taratibu na kubainika ni mwili wa Ally Mohamed Kibao.
Soma Pia:
Aidha, uchunguzi wa mwili wa marehemu (postmortem) umefanywa leo tarehe 08/09/2024 na Madaktari bingwa kwa kushirikisha familia.
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hili la kusikitisha na timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu kwenye timu ya awali ili kuhakikisha waliofanya mauaji haya wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Nchi hii nani mwenye mamlaka ya kublock gari na kumteka mtu? Police tz ,kwanza mpaka sasa wananchi tunawachukia sana , itoshe kusema , imani kwenu kwa wananchi haipo , hakuna jambazi anaweza simamisha basi , hakuna kama sio mwenye mamlaka .
Timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu ili kuhakikisha waliofanya mauaji ya Ali Kibao Kada wa CHADEMA wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Jana Septemba 7, 2024 Jeshi la Polisi lilitoa taarifa juu ya Ally Mohamed Kibao kuhusishwa kutoka kwenye basi la Tashrif na kuchukuliwa na watu ambao hawakuweza kutambuliwa na kwamba uchunguzi ulianza baada ya kupokelewa taarifa hiyo.
Baada ya kutolewa taarifa za kuonekana mwili wa mtu mwanaume ambaye hakuweza kutambuliwa kwa wakati huo ni mwili wa nani huko Ununio Jijini Dar es Salaam, utambulisho umefanyika kwa mujibu wa taratibu na kubainika ni mwili wa Ally Mohamed Kibao.
Soma Pia:
Aidha, uchunguzi wa mwili wa marehemu (postmortem) umefanywa leo tarehe 08/09/2024 na Madaktari bingwa kwa kushirikisha familia.
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa tukio hili la kusikitisha na timu ya uchunguzi wa matukio makubwa toka Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai toka Makao Makuu imetumwa kuongeza nguvu kwenye timu ya awali ili kuhakikisha waliofanya mauaji haya wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Wizard kitu gani ichiAfumue kwanza wizard na polisi