Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lile wenge alilonalo Mzize, wazawa watasugua sana benchi. Hapa labda Tff waanzishe timu za taifa kama 10 waanzishe ligi yao huenda wakapata wachezaji wanaowataka ila hii ya kutegemea vilabu vikubwa kuwatengenezea timu bora ya taifa kwingi imegonga mwamba. Kuna kipindi Arsene Wenger alikuwa ana field timu yake unakuta Mwingereza ni mmoja au wawili tu 1st eleven. Watu wanaangalia buzinesTFf ilichuku.ie hili
Wazawa tunakosa fursa ya kung'ara kimataifa. Tutapata wapi nafasi ya kuonekana kimataifa.
Tunastahili kichezeshwa wengi
Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea...www.jamiiforums.com
Changamoto inakuja kwenye kiwango na uzoefu wa mashindanoHii nayo ni point muhimu....wazawa kwanza
Yeah nimeelewa...nimeona comments za wadau huko juu🙏🏽Changamoto inakuja kwenye kiwango na uzoefu wa mashindano
Sawa mkuu😎Yeah nimeelewa...nimeona comments za wadau huko juu🙏🏽
Hii inchi yenyewe viongozi hawafuati sheria ndiyo itakuwa vilabuKiukweli mtoa,mada ana hoja!! Huwezi kuijenga timu nzuri ya taifa ikiwa vilabu vikubwa vinavyoshirik mashindano makubwa vina foreigners!!! Ilipaswa kuwe na Sheria wagen wawe at least 40 au 50 percent!! Huo ndio ukweli !! Sasa Yanga utafikiri ni combination ya wachezaji wa afrika
Nafikiri tatizo linaanzia kwenye sheria ya usajili wa wachezaji wa kigeni!TFf ilichuku.ie hili
Wazawa tunakosa fursa ya kung'ara kimataifa. Tutapata wapi nafasi ya kuonekana kimataifa.
Tunastahili kichezeshwa wengi
Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea...www.jamiiforums.com
Wakijituma watacheza tuTFf ilichuku.ie hili
Wazawa tunakosa fursa ya kung'ara kimataifa. Tutapata wapi nafasi ya kuonekana kimataifa.
Tunastahili kichezeshwa wengi
Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea...www.jamiiforums.com
Usianzishe uxinksns uneamka na hangover. Timu inasajili moskacwachezaji 30. Wageni si zaidi ya 12 waliobaki wote ni wazawa that's 18. Halafu tuna timu 16 kwenye ligi yetu. Timu tatu tu nfiyo zina uwezo wa kusajli angalau hao wageni 12. Iba masna jatika wachezaji 480 wa ligi kuu wachezaji wasiozidi 50 ni wageni esliobaki wote eote ni wazawa thats 430. Sijui unataka nini hapo. Kama katika hao wachezaji 430 huwezi ukapata wachezaji 23 wa timunta taifa vadu hii ni shida ya wachezaji wetu siyo suala la wageni. Kuna mdimu Arsenal ya England ilkuwa na first eleven ya wageni tu. Hata usajili wao waingereza hawakufika hata watano lskini hakuna aliyelalama. Kumbuka Arsenal ni timu ya malkia.TFf ilichuku.ie hili
Wazawa tunakosa fursa ya kung'ara kimataifa. Tutapata wapi nafasi ya kuonekana kimataifa.
Tunastahili kichezeshwa wengi
Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea...www.jamiiforums.com
TFf ilichuku.ie hili
Wazawa tunakosa fursa ya kung'ara kimataifa. Tutapata wapi nafasi ya kuonekana kimataifa.
Tunastahili kichezeshwa wengi
Wachezaji 12 wageni kwenye timu ni sumu kwa Taifa stars
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya kutafuta wachezaji 12 nje ya nchi. Hii inasababisha vijana kama Mzize na wengine wasipate muda wa kukosea...www.jamiiforums.com
Sasa kama kikosi kina wabongo wachache na wageni wengi kutoka nchi nyingine za nje kwa nini tunaaminishwa ni uzalendo kuisapoti??Football is business.
You need to work hard to show your quality.
Do you think bacca na dickson job wamefika pale kimamelodi.
Wamepambana.
Kila mtu ni shahidi wa utofauti wa kikosi cha yanga first 11 na kile kinachojaaga wabongo.
Kikosi chenye wabongo wengi amini kwamba siku hiyo lazima tuvurunde.
Football is business.
Watu wanaweka pesa mingi halafu waje waone ujinga ujinga.
WACHEZAJI WA KIBONGO PAMBANENI SANA.
AT LEAST MKIWEZA KUISOGEZA TAIFA STARS MAHALA MNAWEZA AMINIWA.
Ni bado watu wanaaminishwa ni uzalendo kwa taifa kuisapoti!Kiukweli mtoa,mada ana hoja!! Huwezi kuijenga timu nzuri ya taifa ikiwa vilabu vikubwa vinavyoshirik mashindano makubwa vina foreigners!!! Ilipaswa kuwe na Sheria wagen wawe at least 40 au 50 percent!! Huo ndio ukweli !! Sasa Yanga utafikiri ni combination ya wachezaji wa afrika
Mbona raia wanaaminishwa ni uzalendo kuisapoti?Hiyo sio timu ya taifa
Hao wanasiasa jau, waanze kuonyesha uzalendo kufanyia kazi repoti ya CAG ndio nitawaona wanamaanishaMbona raia wanaaminishwa ni uzalendo kuisapoti?
Kwa nini serikali inasafirisha hadi mashabiki kwa kodi za raia kwenda kuishangilia?
Point kivipi wakati wachezaji wenyewe wa ndani ndiyo awa wakina Mzize yeye na kipa anaokoa badala ya kafungu goli.Hii nayo ni point muhimu....wazawa kwanza
🤣🤣🤣🙌🏿Point kivipi wakati wachezaji wenyewe wa ndani ndiyo awa wakina Mzize yeye na kipa anaokoa badala ya kafungu goli.
Kwani Mfungaji bora wa Man City ni kutoka England? Mbona akifunga mwisho wa siku inayoonekana kufanya vema ni timu ya England. Hivo hivo Yanga ni timu ya Tanzania haijalishi wachezaji wake wanatoka nchi gani mwisho wa siku ikifanya vizuri kwenye rekodi za CAF na FIFA ni Tanzania ndiyo itapata sifa. So serikali kuhamasisha uzalendo ilikuwa na nia kuhamasisha ushindi ili sifa zirudi Tanzania.Sasa kama kikosi kina wabongo wachache na wageni wengi kutoka nchi nyingine za nje kwa nini tunaaminishwa ni uzalendo kuisapoti??