Maboso, Mkuu Mabosa, na wewe unakabiliwa na tatizo kubwa linalowakabili Watanzania wengi, kwanza ni wavivu wa kusoma mada ndefu, pili wengi ni too ignorant to comprehend kilichoandikwa.
Kwenye bandiko hili ni mimi ndiye niliyesema waliovamia Clouds ni TISS? .
Hujawahi kusikia TISS wakiongea na media? . Fuatilia mtu anayeitwa Jack Zoka akiwa TISS.
Lissu kaongea hadharani au kaongea Bungeni? . Unajua maana ya tuhuma zozote kushushwa Bungeni na kutokanushwa na yoyote what does that mean? .
Sijasema nazijua kazi za TISS humu na nilichokisema ni kidogo tuu ya ninachokijua. Nimesema Mzee wangu Andrew Mayalla(RIP) ndie alikuwa RSO wa Mwanza na kilichomkuta. Wako watu wengi wazazi wao ni wafanyakazi wa TISS lakini hakuna yoyote ajuaye huko ndani ya TISS wanafanya kazi gani au shughuli gani.
TISS wanaoeleweka shughuli zao ni wale wa Kijitonyama kwa sababu wanaonekana na kazi yao ni kuvaa tuu suti nyeusi na miwani nyeusi na kusimama tuu huku wakiangalia huku na kule.
Nilichoweka hapa ni baadhi tuu ya matokeo mabaya ya kazi za TISS yaliyowasilishwa mahakamani na maofisa wa juu wa TISS kutimuliwa na kushitakiwa na kufungwa jela.
Kuhusu hizi tuhuma za sasa nimetoa a good benefit of doubt kwa kuweka options 3 za different scenarios
1. Tiss huko nyuma iliwahi kufanya makosa ya utekaji, utesaji na hata uuaji, na ikafumuliwa!. Hivyo kwa vile tayari tunayo precedence ya vitendo viovu vya TISS huko nyuma, hivyo kwa kuutumia uthibitisho wa uovu huo, una justify kuwa kuna uwezekano ikawa ni kweli TISS is behind huu uovu na uchafu unaozungumziwa sasa Bungeni.
2. Lakini pia inawezekana sio TISS as TISS bali ni acts za individual members wa TISS wakifanya a "stand alone operations" bila kupokea command yoyote kutoka juu, hivyo vitendo vya wachache, vikaichafua TISS yetu collectively kwenye a collective responsibilities formula.
3. Pia inawezekana kabisa vitendo hivi vinafanywa na wahuni fulani, ambao wana pose as TISS just to make believe kuwa ni TISS kumbe sio TISS bali ni just impostors wanaochafua the good image ya TISS wetu waadilifu.
Whichever the case, TISS ijitokeze iwakane na kurudisha imani na TISS wetu.
Paskali