TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Si wewe wala Lissu amethibitisha pasipo shaka kwamba wahusika kwenye hayo matukio ni TISS. Kilichopo ni nadharia tu ambazo si sahihi tukazitumia kukichafua chombo nyeti kama TISS. Na hata ingekuwa imethibitika kuwa ni TISS, wao wana procedure zao za kuwajibishana kisheria na si kama Lissu anavyoropoka bungeni. Tuache ujuaji na kuingilia idara zisitokiwa kuingiliwa.
 
Whoever alleges has the burden to prove his allegations. Mayalla ni wakili msomi na anajua. Kwako wewe hujui chochote
Hivi yule askari wa TISS aliyemtolea Nape bastola mchana kweupe sio ushahidi tosha jinsi kikundi hicho kinavyokanyaga haki za raia au wewe unataka ushahidi gani mkuu? Nakushangaa sana.
 
kwa hiyo tuwaache waendelee kuua raia huku tumekaa kimya?
 
Kuteka, kutesa na kuua raia wasiokuwa na hatia ni KULINDA AMANI YA NCHI? Hivi uzalendo wa mtu hupimwa kwa unafiki wake wa kukaa kimya huku wananchi wakiuawa kila kukicha na kikundi kimoja cha kigaidi? Ama kweli wewe ni kituko cha mwaka!
Nadhani si vema kuongea kwa mihemuko. Una ushahidi pasipo shaka kwamba TISS ni kikundi cha kigaidi? Una ushahidi pasipo shaka kwamba TISS inahusika na hayo matukio unayoyasema? Ushukuru kwamba Max anahangaika mahakamani kuwatetea watu kama wewe wenye tabia za kuropoka hovyo na kuzichafua idara zetu za ulinzi na usalama kwa maslahi yenu ya kisiasa. Hizi tabia zinanikera mno watu kujitoa ufahamu na kuona siasa ni bora kuliko usalama wa nchi.
 
Hivi yule askari wa TISS aliyemtolea Nape bastola mchana kweupe sio ushahidi tosha jinsi kikundi hicho kinavyokanyaga haki za raia au wewe unataka ushahidi gani mkuu? Nakushangaa sana.
Shangaa kwa sababu hujui
 
Maboso,
Hili ni suala la utetezi wa haki za binadamu...hakuna siasa yoyote ndani yake. Wewe ndiye uliyelewa siasa...kwamba mtu yeyote anayetetea raia dhidi ya ukandamizaji wa vyombo vya serikali ni MWANASIASA. Hiyo ni dhana ya kipuuzi sana.
 
Tuache ujuaji na kuingilia idara zisitokiwa kuingiliwa.
Huu ni ushauri mzuri sana tena ungeanzia kwa Mwalimu Nyerere kuwatimua kazi maofisa wa juu wa TISS na kuwaahitaki mahakama za kiraia kwa utekaji, utesaji na mauaji. Tafuta Rejea za Kesi ya Mauaji Mwanza usome madudu ya TISS.

Tafuta kesi ya Uhaini ya 1982 uone madudu ya TISS na mashahidi japo walitumia majina ya Mr. X, Mr.Y na Mr. Z na tunawajua lakini hatujawataja popote.

Then waeleze ma editors wa magazeti likiwemo gazeti la serikali ambalo editor in chief ni rais, wasiripoti madudu ya TISS yaliyoripotiwa mahakamani.

Wakati wa Mkapa lile kampuni la Kagoda lilichota fedha Bilioni 40, kwa mgongo wa TISS ambazo zilitumika kwa kazi maalum iliyotukuka!.

Hivyo naunga mkono kwa asilimia 100% TISS isingiliwe wala kujadiliwa, kama haha wenzetu Marekani wanaijadili CIA, who the hell is TISS? .

Soma kisa hiki cha mtu wa TISS ya US alivyoyauguza madudu ya TISS yao kwenye media hadi rais aliachia bodi!.

What did JPM know and When Actually did he know?

Kama Bunge linauwezo wa kumdajili rais na kumfungisha virago kwa kumfuta kazi kama amefanya madudu, what the hell is TISS isijadiliwe kama imefanya madudu?.

Kitu cha msingi ni isidajidiwe hadharani.
Paskali
 
Mh!
Nyerere unanafasi bado ya kimfananisha huyu na Mwalimu!
Wana tofauti kubwa kabisa!
Labda kama ilikuuma sana kuona Mzee wako alivyoteseka kwa kuwekwa Ndani!!
 
Kwani na wewe ni mtu?! Watu hutumia akili kufikiri na si hisia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…