Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #321
Kama ungeifungua link ukaona wanafananaje ndipo ungenielewa.Mh!
Nyerere unanafasi bado ya kimfananisha huyu na Mwalimu!
Wana tofauti kubwa kabisa!
Labda kama ilikuuma sana kuona Mzee wako alivyoteseka kwa kuwekwa Ndani!!
Wewe hoja yako ya msingi hiko wapi? Wakati mwingine jaribuni kuficha upumbavu wenu na utoto.Una andika maelezo mengi pumba tu na kutumika kisiasa.....
Unaakili kubwa sana,japo aina hii ya akili ndo zinazopigwa vita tzKama siyo TISS basi nchi yetu usalama wake ni wa ovyo kabisa , watu wanatekwa na kupewa mateso na hakuna mtu anaye kamatwa na polisi hawajuwi chochote. Hii ni hatari kwa usalama wa raia vyombo vya usalama inabidi vitafakari na kujitathmini katika hili.
Mbona hujatekwa upo salamaKama siyo TISS basi nchi yetu usalama wake ni wa ovyo kabisa , watu wanatekwa na kupewa mateso na hakuna mtu anaye kamatwa na polisi hawajuwi chochote. Hii ni hatari kwa usalama wa raia vyombo vya usalama inabidi vitafakari na kujitathmini katika hili.
Niunganishe aisee na mimi niwe mtetezi, maisha huku mtaani magumu sana.
Halafu mi ni mtaalamu sana wa kupiga ngeta, mnaweza tu kukiendeleza kipaji changu
Hii kikombe ya babu wa Loliondo, nilidharau wote walioenda kuinywa.
Imani haina usomi wala PHDHii kikombe ya babu wa Loliondo, nilidharau wote walioenda kuinywa.
Tena wengine wakijiita wasomi na ma phd lakini wapi! Hiki kikombe cha babu ilikuwa ni dalili mojawapo nzuri tu ya kutujulisha kuwa huyu hamnazo.
Nawachukulia hawa sawa tu na viongozi wengine ambao wanaenda kwa waganga na wanaambiwa viongozi vya albino ndo dawa.
Hao wasomi wa ccm...
Twaweza walitoa matokeo wakasema Wenye elimu ndogo,upeo Mdogo masikini wa kutupwa kama wewe ndiyo wanaipenda ccm.Kwa sasa ccm inatawala Kwa kupitia nguvu za TIss,bila TIss ccm haipo,kuanzia katika uchaguzi mpaka kutawala.Tiss ndio baba na mama wa tanzania. Kazi iendelee sanaaaa