TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Paskali Mayalla

Ina maana kipindi kile ulivyokuwa mstari wa mbele kuwasifia hawa ccm, akili zako zilikuwa zimeenda likizo? Au sasa hivi ndio akili zinaanza kukukaa sawa. Sio wewe uliyekuwa unasema tumepata bahati ya kuongozwa na malaika na ukawa unatoa sifa kede kede?

Wewe shida yako ni mnafiki mkubwa sana. Na nitafurahi siku moja hao TISS wakukamate na kukutesa na mpaka wakutie ukilema ndio nitaamini kuanzia siku hiyo unafiki utakuwa umekutoka.
 
Paschal wewe ni TISS tunakujuwa. Wakati mwingine unatumwa humu ndani kuja kmutuchokoza ili kupata our reaction or data ili mkazifanyie Kazi Kijitonyama.Mwisho wa Sikh mna mnakamata na kuteka watu na kuwatesa kisha kuwatupa mabwepande au Ruvu kama sio kubambikwa kesi za uchochezi. Mimi sikuamini kabisa na huwa nakuogopa. Sitaki kujadli chochotge kwenye Uzi huu
 
Kiufupi TISS wameshindwa kutimiza wajibu wao kwa miaka 20 iliyopita. Ufisadi na wizi wa nyara za serikali ni uthibitisho tosha kuwa wameshindwa kutimiza wajibu wao.
Licha ya mapungufu waliyonayo TISS wamefanya kazi yao vizuri tatizo kubwa ni sheria iliyopo haiwapi nguvu ya kufanya chochote,kitu cha msingi ni kubadilisha sheria kuwapa nguvu kutoa maamuzi na itakayowabana wanasiasa ambao kwa sasa wao ndio wanapewa ushauri na TISS lakini wanafanya decision kwa interest zao.Kisheria TISS wanakusanya taarifa na kuwapelekea decision makers(wanasiasa) hata haya yanayotokea sasa yana interest za wanasiasa
 
Kwa hiyo miaka yote tangu ianzishwe, ndio leo mnatuambia kazi yao ndio hiyo!? Mbona malalamiko juu yake ni siku hizi na sio tangu!?
Nenda pale Mabatini Kijitonyama kwenye groccery zilizoko mkono wa kushoto kama unaelekea Mwenge utaona ujinga wao wanavyojitapa iq zao ni ndogo sana WANATUMIA misuli zaidi ya akili
 
Mr. Bigman,
Mkuu ulichowaza na kukisema na mimi nimewaza hivyo hivyo ila nimeshindwa kusema.

Naunga dots; mkuu pascal babake alikuwa RSO(watu waliingizwa sana kwenda huko kwa undugunization)- (fact ya kwanza), Mkuu pascal ni mwandishi wa habari (wanaofanya kazi hii wengi ni watu wa huko)-(Fact ya pili),mkuu pascal alishavaaga gwanda za bakabaka akaondoka(hawa ni interdisciplinary-wajeda huwa wanavulishwa gwanda na kuingizwa huko ref🙁interdisciplinary))-(fact ya tatu)
 
Mkuu ulichowaza na kukisema mkuu na mimi nimewaza hivyo hivyo ila nimeshindwa kusema.

Naunga dots; mkuu pascal babake alikuwa RSO- (fact ya kwanza), Mkuu pascal ni mwandishi wa habari (wanaofanya kazi hii wengi ni watu wa huko)-(Fact ya pili)
Hizo facts ulizotumia ni za kujifikirika! Na ni dhihirisho kuwa wengi tunaishi kwa hofu isiyokuwepo!
 
Nyani Ngabu,
Nakumbuka kwa macheni mbabe aliye act movie ya misukosuko jplus au Jimmy master alifanya fujo ,jamaa wa tiss alikuwepo mwembamba smart tu akamuambia bro mbona unafanya fujo ,jplus akajifanya chizi akawa anajiweka style za kikarate ,jamaa alimpa mapigo 3 tu huyo Jimmy master hapo hapo akanyoosha mikono juu basi basi halafu ukizingatia jplus kipindi hicho yupo kwenye peak

Mfano mmoja wapo
 
Acha kuzunguka mbuyu, anayewatuma anafahamika , mnazunguka nini? TISS ni nini, wako chini ya nani? acha hizo wanatumwa na Ikuru, Ikuru ni nini?, Ikuru ni nani?

Ni kweli ndugu hakuna haja ya kuzunguka, let's call spade a spade and not big spoon, kinachoendelea nchini ni uharamia wa kitaasisi - state sponsored brigand
 
Back
Top Bottom