Tizama Katika Picha Namna Watu walivyofurika Maelfu Kwa Maelfu Kumlaki na kumsikiliza Rais Samia Mkoani Ruvuma

Kwa rais yoyote duniani ni jambo la kawaida
 
Kwa rais yoyote duniani ni jambo la kawaida
Siyo kweli.Rais Samia anapata mapokezi mazito na makubwa kwa sababu anapendwa. Lakini wapo Marais wanakosa kabisa mapokezi ya wananchi wao kutokana na kukosa kwa uungwaji mkono na ushawishi kwa watu.
 
siku moja afanye ziara jumamosi au jumapili ulete picha , hapo robo tatu ya watu ni wanafunzi na walimu wamepewa day off.
Kweli wajinga mpo wengi sana.Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hata akifanya ziara usiku wa manene atakuta maelfu kwa maelfu wamefurika viwanjani
 
Kweli wajinga mpo wengi sana.Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hata akifanya ziara usiku wa manene atakuta maelfu kwa maelfu wamefurika viwanjani
 
Hauziki wakati unaona namna watu walivyofurika kwa Maelfu?

Ngoja nikuwekea na picha za mikoa mingine na videoView attachment 3105399View attachment 3105400
 
Lindi,Mtwara,Dodoma,Singida ni mikoa yenye wajinga na maskini wengi sana,so sishangai.
 
Ikiwa wewe mlalahoi eti unajihesabu kua ni mlipa kodi! Bakhresa aseme nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…