TLS pamoja na Mwabukusi waziombe radhi Simba na Yanga hadharani kwa kuzitolea kauli za hovyo

Ukimwa wa jamii ni Sawa na kukataa ama kutojihusisha na shughuli za kijamii, (Silence surrenders public responsibilities)
 
Hapana, "hakuwatukana Watanzania"...please usijibu meseji hii bado naiboresha...
 
Wapinzani hawajielewi kila siku point zao ni dhaifu , badala kujenga vyama wanaingilia mambo hayawahusu .
 
Ni mpumbavu sana Mwambukusi hivi waingereza unaweza waambia kuwa mpira sio mambo ya msingi?
 
Akili za watanzania wengi zimehamia kwenye goli la mama,hatuna habari na mambo ya Nchi.
Ukitaka kutawala watu wapumbavu daima divert mawazo yao na mtazamo wao.
Hawa wanaojiita manabii ,mitume,nk wanapata sapoti ya serikali kwasabau ni sehemu nzuri ya kuhamisha mawazo ya wajinga.
Badala ya mtu kuhusanisha umaskini wake,ukosefu wake wa ajira nk na utawala uliopo,anahusanisha na kulogwa,laana nk kama atakavyohubiriwa na hao manabii feki.

Badala ya kuhusanisha ukosefu wa bima ya Afya na ugonjwa wake ,atahusanisha ugonjwa wake na kulogwa kama anavyohubiriwa.
 
Kweli kwa mfano hapa ninapo ishi Kuna jamaa mmoja yeye Kila unapo mkuta yeye nikuzunguzi yanga yaahani hanaga hoja nyingine
 
Ndio. Unaacha kazi unashinda uwanja wa mkapa. Unaacha swala na unaacha kufanya ibada usiku unaenda kuwapokea simba Yanga saa za usiku. Ukiulizwa unapata nini huna jibu. Halafu unaitwa Muhammad, Abubakar. Othman.
 
Wewe na Mwabukusi mnaotambua haki zenu zinaminywa mliandamana? Kama hamkuandamana basi mjijue nyie ni WAJINGA NA WAPUMBAVU kuzidi hao washabiki wa Simba na Yanga ambao wako tayari kuandamana uchi kwa ajili ya timu zao!
 
Sasa kama Rais wa Stanza anatoa milioni 5 kila goli huku kuna raia wanakufa kwa kukosa dawa au kunywa tope na wananchi wanaona sawa ni akili hiyo?
 
S
Sijui wewe ni dini Gani au kabila Gani? Unatafuta uchonganishi kwa uchawa wako. Alichosema Mwambukusi, ni maswala ya ulinganifu, unaweza kupenda mpira, lakini linapokuja swala la uhai, haki ya mtu kuishi, unashindwa kuunga mkono wanaotete uhai, we unaona ni Bora ushabiki wa mpira. Unapaswa kupimwa afya ya akiri!
 
Wanasiasa mambo yao kubuma wanatafuta wa kumuangushia mzigo.Mwabukusi akumbishwe Kuwa Hata hao Yanga na Simba wamefanya kazi kutengeneza wanachokiona,kama ni rahisi si nao watengeneze? wivu wa nini?kwani umati wa Mwamposa haujautamani?Mkifanya mbinu sahihi mtapata tu umati Nchi Ina Watu milioni 60+ sio wote Mashabiki wa Yanga na Simba au Mwamposa.
 
Uchawi upon, hata Quran tukufu na Biblia Takatifu zinautaja, ila wachawi wengi wako katika kampeni kubwa dunia nzima iamini hakuna uchawi
 
 

Attachments

  • Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    15.4 KB · Views: 1
 

Attachments

  • Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    15.4 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…