TLS pamoja na Mwabukusi waziombe radhi Simba na Yanga hadharani kwa kuzitolea kauli za hovyo

TLS pamoja na Mwabukusi waziombe radhi Simba na Yanga hadharani kwa kuzitolea kauli za hovyo

Kwani Mwabukusi nini alichoongea ambacho siyo sahihi?

Watanzania "wamelogwa" Kwa ushabiki wa Yanga na Simba.
Full Stop
Siyo logwa! Nadhani ni rogwa!

Anyway, nadhani tuna tofautiana sana linapokuja suala la mapenzi! Wapo wanaopenda mpira na wapo wanaopenda siasa! Siyo dhambi kupenda mpira wala siyo dhambi kupenda siasa! Ndivyo tulivyoumbwa kufurahia yanayotuzunguka! Usinione nimerogwa ninapopenda usichopenda! Ukiniona nimerogwa kwa kupenda mpira, nitakuona umerogwa kwa kupenda siasa! Usinilazimeshe wala kunipangia chakupenda! Penda unavyopenda, niache nipende ninavyopenda!
 
Tena alaaniwe kabisa, ikibidi hata na shetani.
 
Mi naiunga mkono kauli ya Mwabukusi kwa sababu achosema ndiyo tabia za Watanzania wengi hasa wanaccm wanaoshabikia hizo timu
Sidhani kama watanzania wote wanashabikia hizo timu! Yaweza kuwa wewe na wengineo wengi 'mnaojiita' wenye akili hamshabikii Yanga na Simba mlitosha kabisa kwenda kuandamana! Wapo wanaopenda mpira, naam, mpo pia mnaopenda siasa!! Sasa nyie mnaopenda siasa nendeni mkatuwakilishe!
 
Mimi ni shabiki wa mpira lakini ushabiki huu usitufanye tuache kufuatilia mambo ya msingi kuhusu nchi yetu. Mwabulusi regardless kauli aliyotumia yuko sahihi 🤔
 
Sidhani kama watanzania wote wanashabikia hizo timu! Yaweza kuwa wewe na wengineo wengi 'mnaojiita' wenye akili hamshabikii Yanga na Simba mlitosha kabisa kwenda kuandamana! Wapo wanaopenda mpira, naam, mpo pia mnaopenda siasa!! Sasa nyie mnaopenda siasa nendeni mkatuwakilishe!
Wapi nimesema Watanzania wote wanapenda hizo timu?
 
Nimeona Rais wa TLS akiwa anahojiwa na chombo cha habari akiwatusi watanzania kwamba wanafuata mambo ya hovyo na yasiyo ya maana, na akatoa mfano wa watanzania kuwa na mapenzi na simba na yanga kiasi kwamba wanaweza kutembea uchi

Hii ni dharau kubwa kwa klabu hizo ambazo zimejijenga kwa miaka mingi katika mioyo ya watanzania. Kama wao wanathamini demokrasia, kwa nini wanadharau machaguo ya watanzania na kuwapangia maisha?.

Pia mashabiki wa timu hizo ni watu wazima kiumri, kusema kwamba wanaweza kutembea uchi ni dharau kubwa nyingine kwa watu wa umri wa wazazi wake

Nani kawazuio wasiimarishe vyama vyao ili wananchi wavipende? Yaani watu hata harusini, mpirani, disco wasiende?

Nalaani sana kauli ya TLS kwa kuwa iko chini ya kiwango na inapaswa kulaaniwa na kila mzalendo, mwanamichezo wa nchi hii.

N. B:
Jana hata Mwabukusi hakuandamana, ila alitaka wengine waandamane, chichi dodo
Mwabukusi kaongea ukweli mtupu. Watanzania hawana muda na mambo ya kujadili mambo ya msingi yanoyahusu maisha yao isipokuwa wana muda mwingi sana kwa ajili ya Simba na Yanga na watawala(hasa chama tawala) wanalijua hilo na wanatumia vizuri sana kisiasa na kwa manufaa yao huu ushabiki wa kupindukia wa Mtanzania kwa hizi klabu mbili za mpira. Na labda nikukumbushe kuwa kuna kiongozi moja wa juu aliwahi kutishia kuzifuta hizi klabu mbili za mpira. Nadiriki kusema kwamba laiti angefanikiwa kufanya hivyo pengine tungepiga hatua katika maendeleo kama taifa!!!!!
 
Wapi nimesema Watanzania wote wanapenda hizo timu?
Kwani nimesema umesema?? Kuna mahali nimesema umesema watanzania wote??

Umesema watanzania wengi!! Na mimi nasema, kwa kuwa umesema wengi, naamini siyo wote!! Na kama siyo wote, unaonaje uki'deal' na wanaopenda siasa kwani ni lazima wote waingie mlengo huo?

Nyie mnaopenda siasa mnatosha! Lazima kuwepo na division and specialization of labor! Nyie komaeni na siasa sisi tukomae na michezo!

Litakuwa jambo la hovyo sana kama wote tukiwa na mawazo mamoja! Lazima tutofautiane hata vidole havilingani!
 
Nimeona Rais wa TLS akiwa anahojiwa na chombo cha habari akiwatusi watanzania kwamba wanafuata mambo ya hovyo na yasiyo ya maana, na akatoa mfano wa watanzania kuwa na mapenzi na simba na yanga kiasi kwamba wanaweza kutembea uchi

Hii ni dharau kubwa kwa klabu hizo ambazo zimejijenga kwa miaka mingi katika mioyo ya watanzania. Kama wao wanathamini demokrasia, kwa nini wanadharau machaguo ya watanzania na kuwapangia maisha?.

Pia mashabiki wa timu hizo ni watu wazima kiumri, kusema kwamba wanaweza kutembea uchi ni dharau kubwa nyingine kwa watu wa umri wa wazazi wake

Nani kawazuio wasiimarishe vyama vyao ili wananchi wavipende? Yaani watu hata harusini, mpirani, disco wasiende?

Nalaani sana kauli ya TLS kwa kuwa iko chini ya kiwango na inapaswa kulaaniwa na kila mzalendo, mwanamichezo wa nchi hii.

N. B:
Jana hata Mwabukusi hakuandamana, ila alitaka wengine waandamane, chichi dodo
Hivyo vilabu vya soka vinatumiwa kuwazubaisha wananchi kwenye mambo muhimu ya maendeleo.
 
Kasema ukweli kabisa kuwa watanzania wanapenda sana Simba na yanga lakini hawapendi kuchukua hatua pale haki zao zinapokiukwa na hii serikali ovu ya mama Yao wanayemwita hangaya.mfano kwenye maandamano wamewasaliti wazalendo wa chadema waliotaka watanzania wote wapate haki sawa na kuyamaliza mambo ya kutekwa hadharani yanayofanywa na chiefu hangaya.Ingekuwa ni Simba na yanga wangejaa uwanja mzima.
Kwani kwenye mpira watu wakienda viwanjani wanakamatwa na polisi, kupigwa virungu na kufunguliwa kesi zisizo na kichwa wala miguu???
 
Nimeona Rais wa TLS akiwa anahojiwa na chombo cha habari akiwatusi watanzania kwamba wanafuata mambo ya hovyo na yasiyo ya maana, na akatoa mfano wa watanzania kuwa na mapenzi na simba na yanga kiasi kwamba wanaweza kutembea uchi

Hii ni dharau kubwa kwa klabu hizo ambazo zimejijenga kwa miaka mingi katika mioyo ya watanzania. Kama wao wanathamini demokrasia, kwa nini wanadharau machaguo ya watanzania na kuwapangia maisha?.

Pia mashabiki wa timu hizo ni watu wazima kiumri, kusema kwamba wanaweza kutembea uchi ni dharau kubwa nyingine kwa watu wa umri wa wazazi wake

Nani kawazuio wasiimarishe vyama vyao ili wananchi wavipende? Yaani watu hata harusini, mpirani, disco wasiende?

Nalaani sana kauli ya TLS kwa kuwa iko chini ya kiwango na inapaswa kulaaniwa na kila mzalendo, mwanamichezo wa nchi hii.

N. B:
Jana hata Mwabukusi hakuandamana, ila alitaka wengine waandamane, chichi dodo
Hawatoomba na hawastahili kuombwa. Ame state tha fact, mambo ya serious watanzania mna ignore na kushabikiw vitu vya kijnga
 
Mwambieni huyo Mwakubusi asitupangie maisha kila mmoja ana kipaumbele chake🐼
 
Nimeona Rais wa TLS akiwa anahojiwa na chombo cha habari akiwatusi watanzania kwamba wanafuata mambo ya hovyo na yasiyo ya maana, na akatoa mfano wa watanzania kuwa na mapenzi na simba na yanga kiasi kwamba wanaweza kutembea uchi

Hii ni dharau kubwa kwa klabu hizo ambazo zimejijenga kwa miaka mingi katika mioyo ya watanzania. Kama wao wanathamini demokrasia, kwa nini wanadharau machaguo ya watanzania na kuwapangia maisha?.

Pia mashabiki wa timu hizo ni watu wazima kiumri, kusema kwamba wanaweza kutembea uchi ni dharau kubwa nyingine kwa watu wa umri wa wazazi wake

Nani kawazuio wasiimarishe vyama vyao ili wananchi wavipende? Yaani watu hata harusini, mpirani, disco wasiende?

Nalaani sana kauli ya TLS kwa kuwa iko chini ya kiwango na inapaswa kulaaniwa na kila mzalendo, mwanamichezo wa nchi hii.

N. B:
Jana hata Mwabukusi hakuandamana, ila alitaka wengine waandamane, chichi dodo
Huoni niukweri wala hajakosea
 
Back
Top Bottom