To my early 30, sijawahi kufanya mambo haya

To my early 30, sijawahi kufanya mambo haya

1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Uishi Maisha marefu mkuu
 
Swafi kabisa, Healthy life.

Washamba watakuona wewe ndio mshamba ilihali kamari, sigara au Pombe inawamaliza.
 
Nakazia hapa
Kwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.

Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.

Auze mali zake awape maskini.

Akashindwa kufanya hivyo.

Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.

Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.

Jitahmini.
 
Kupiga pucha ushawahi,kutembea na wake za watu ushawahi,umbeya,ufitini,uchoyo,ufirauni yote yanakuhusu,basi wewe ni fisi uliyejivisha ngozi ya mwanakondoo shameeeeee
 
Utakua mwanachama hai wa CHAPUTA. Mbona hukuligusia Hilo la CHAPUTA?
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
still life is fun lakin kuwa makini usije ukafanya ayo mambo uzeeni kwako.

kuna hatua ukiziruka kwenye maisha basi zitaforce zijurudie tu kwahiyo kuwa makini mno.
 
Enzi za miaka ya 80, huwezi kufika miaka ,30 bila kufika kwa wahaya.
Wazee wenzangu mnakumbuka
Livingstone
Kidongo chekundu
Morogoro/Bibi titi
Msasani
MWANANYAMALA
SUDAN
BUGURUNI
Manzese Beston
Manzese kwa mfuga mbwa
TBS Ubungo
 
Kasoro sigara tu,ila mengine tayariiii na mengine ya kutisha siwezi sema
 
still life is fun lakin kuwa makini usije ukafanya ayo mambo uzeeni kwako.

kuna hatua ukiziruka kwenye maisha basi zitaforce zijurudie tu kwahiyo kuwa makini mno.
Hii tunaita "post hoc phallacy" eti kwamba usipofanya hayo mambo ya kupoteza muda na mali ujanani utafanya uzeeni ? Kwa research ipi?
 
Hii kauli si ya kweli ni kujipa moyo tu
Ni ukweli mkuu, kuna mzee alikua hajawahi kubet sasa aliposikia matangazo kwenye radio akanifuata akaniambia kijana naomba unielekeze hii michezo wanayotangaza kwenye radio sijui Mchongo Pesa, nikamwambia Mzee sikiliza radio fuata maelekezo, kwa hio uzeeeni mkuu atabet tu, life is very simple wala haina papara pupa
 
Hii tunaita "post hoc phallacy" eti kwamba usipofanya hayo mambo ya kupoteza muda na mali ujanani utafanya uzeeni ? Kwa research ipi?
sijasema kama lazima uzeen uta do ayo mambo. ila nimekwmbaj kuwa makin sana kuna asilimia kubwa ukayafanya ayo mambo uzeeni kwako coz akili ya mzee ufanana kiasi fulan na ya mtotobna sifa ya mtoto upenda kujaribu kila kitu isipokuwa mara nyingi kuna mamb hayafanyi kwa sababu ya ulinzi na makatazo kutoka kwa watu wa karibu yake.
 
Nasoma Comment.

Ila tunafanana sana....!!!

Mi situmii kilevi chochote ila Huwa NAENDA Nightt club mala 5 kwa Mwaka.
 
Mj
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Mjomba izo sio dhambi pekee zilizopo duniani, halafu orodhesha dhambi kutokana na amri kuu za mungu, na sijui lengo lako ni nini kuorodhesha ivyo, we mlokole nini maana ndo wanajikutaga wakamilifu
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,

Ila unagongana kama chupa kwenye kreti 😁
 
sijasema kama lazima uzeen uta do ayo mambo. ila nimekwmbaj kuwa makin sana kuna asilimia kubwa ukayafanya ayo mambo uzeeni kwako coz akili ya mzee ufanana kiasi fulan na ya mtotobna sifa ya mtoto upenda kujaribu kila kitu isipokuwa mara nyingi kuna mamb hayafanyi kwa sababu ya ulinzi na makatazo kutoka kwa watu wa karibu yake.
Vipi kama anafanya kwa amri yake?
 
Back
Top Bottom