To my early 30, sijawahi kufanya mambo haya

To my early 30, sijawahi kufanya mambo haya

Ni ukweli mkuu, kuna mzee alikua hajawahi kubet sasa aliposikia matangazo kwenye radio akanifuata akaniambia kijana naomba unielekeze hii michezo wanayotangaza kwenye radio sijui Mchongo Pesa, nikamwambia Mzee sikiliza radio fuata maelekezo, kwa hio uzeeeni mkuu atabet tu, life is very simple wala haina papara pupa
Sasa umeshasema ni mzee unadhani enzi za ujana wake haya mambo yalikuwepo? 🤔 binafsi siamini kama eti usipofanya anasa ujanani utafanya uzeeni wapo wazee ndiyo wanaofanya hayo mambo .

Hawa ni wale ambao hawana aibu na unakuta kabisa ujanani anasa walifanya sana tu
 
unadhani enzi za ujana wake haya mambo yalikuwepo?
Mkuu emu rudia kusoma nilichokiandika alafu Jibu tena, kipindi cha Jackpot Bingo kilikua kinarushwa ITV, ulikua umezaliwa? Nisije nikawa nabishana na kinda wa 2012 au 2015 kwenda juu,

Tuanzie hapo,
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Mi nimewahi namba moja tu,zingine niiteni mshamba ....poa tu
 
Namba Moja na Tano nimeshawahi fanya pombe nakunywa kwa mahesabu makali sana technically Sina Hela ya pombe[emoji1787] labda kama Kuna za bure.

Namba 2 na , 4 sijawahi fanya Wala sitegemei kufanya Leo Wala kesho Wala mtondogoo.

Namba tatu nilifanya mara 2 nilimpiga muhindi mara Moja akanipiga mara Moja siku interested sana nikaacha na shughuli za kubet maana siwezi poteza Hela yangu huku nikijua napoteza na sifaidiki na kitu Ina nipain sana Kila centi counts.

Hapo ungeoongezea kula mbususu aisee hio ni kama basic need[emoji1787]
 
Kwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.

Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.

Auze mali zake awape maskini.

Akashindwa kufanya hivyo.

Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.

Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.

Jitahmini.
sure
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Je "Kumbato" ushawahi?
 
Hayo ni mambo ya kawaida mbona!!! Nikileta post yangu itakubidi ufute hii post.
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Hasira zote za nini hizi??
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Sawa St.sanali,tuambie uliyoyafanya positive katika umri huo maana Mimi nimeenda club,na nimecheza mziki, and still I am clean [emoji137][emoji137][emoji137]
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Hongera sana ndugu. Mimi hadi leo sijafanya namba 1, 2 na 3. Mimi ni miongoni mwa watanzania wachache tuliojua ladha ya papuchi ukubwani. Mara ya kwanza kupewa tamu nilikua na 22yrs. Nakumbuka kuna jimama lilinitunuku. Lakini baada ya hapo nilijikuta nimenogewa na papuchi na kuzichakata haswa. Hadi nafika 30yrs nikajikuta nimechakata papuchi zisizo na idadi ambapo kama 75% wakiwa ni majimama. Wanafunzi huwa nakaa nao mbali sana.
 
kwahiyo unataka kusema hauna dhambi???
Hizo sio zambi pekee ila kuacha hayo nimeepuka miongoni mwa zambi,
Pia nimekua nikiishi maisha ya amani , kuna watu wanamaliza hela kwa waganga na wanaishi kwa hofu kila siku wanasema wanalogwa, mi naamini uchawi upo ila siamini kwamba kama nimetafuta kazi nikakosa basi kuna mtu kaniroga, na hata ikiwa hivyo, maombi kwa Mungu yananguvu zaidi kuliko kupeleka kuku akaliwe na mganga
 
Mkuu emu rudia kusoma nilichokiandika alafu Jibu tena, kipindi cha Jackpot Bingo kilikua kinarushwa ITV, ulikua umezaliwa? Nisije nikawa nabishana na kinda wa 2012 au 2015 kwenda juu,

Tuanzie hapo,
Wewe unatetea ujinga.
 
Reactions kwa huu uzi zinasema sana juu ya tabia zetu, hatuamini katika wema, kila mmoja ni muovu akipatikana mwema mmoja atavurutwa kwenye uovu, ataburuzwa kwenye matope atake asitake, tuchafuke pamoja, tufanane😀
 
Sawa St.sanali,tuambie uliyoyafanya positive katika umri huo maana Mimi nimeenda club,na nimecheza mziki, and still I am clean [emoji137][emoji137][emoji137]
Nikianza kuzungumzia niliyofanikiwa kuyafanya itakua kama bragging halafu pia sio makubwa sana,
Cha msingi ni kujua kua life can still be fun without those stuffs which are promoted as necessary and unescapable way to everyone
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Good! Congratulations!
 
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.

2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.

3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote

4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote

5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.

Still life is fun,
Ukiondoa no 4 mengine yote jaribu upate experience ya maisha kama kijana.
 
Back
Top Bottom