Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi bongo hutoboi bila kwenda kupuliza?Akiondoa namba 4 hawezi kutoboa kimaisha, ukiwa mpambanaj namba 4 haikwepeki[emoji4]
Hongera mkuu,ila usije ingia mkenge wa kamari1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Ongezea na tabia za kibasha basha..Kwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.
Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.
Auze mali zake awape maskini.
Akashindwa kufanya hivyo.
Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.
Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.
Jitahmini.
Vipi Jani uliwahi karibu🥱1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Ila juu Napo Vipi,🥱Mbon me mwenyewe hayo yote sijawah fanya hata moja
Ila chini sasa ni majanga [emoji27]
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
[emoji23][emoji23][emoji23] very true bob don't trust such kind of pia hawanaga humanity to the society kabisa... Anakunyima hata maji ya kunywa na uko na Hali mbayaa balaaaKwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.
Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.
Auze mali zake awape maskini.
Akashindwa kufanya hivyo.
Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.
Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.
Jitahmini.
Huyu ni mm kabisa1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Hi ni defensive mechanism tu, una rationalize pombe, uvutaji , ushirikina kwa hoja dhaifu sana[emoji23][emoji23][emoji23] very true bob don't trust such kind of pia hawanaga humanity to the society kabisa... Anakunyima hata maji ya kunywa na uko na Hali mbayaa balaaa
Hongera sana mkuu, maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Muhimu ni kukaa ktk maamuzi yako bila kuyumba wala kuyumbishwa.1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Acha ushamba kuna mambo ukiwa kijana lazima ufanye na usipofanya ukizeeka utatia aibu au utakufa presha kwa kushuhudia watoto wako wakiyafanya mbele yako..
Mimi uzeeni navyowakataza watoto wangu pombe ntawaimbia kabisa kama Prof.Jay ...."KAMA POMBE NIMESHAKUNYWA SANA SHAHIDI MAMA YAKO, UTANAMBIA NINI"..