Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Uishi Maisha marefu mkuu1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Kwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.
Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.
Auze mali zake awape maskini.
Akashindwa kufanya hivyo.
Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.
Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.
Jitahmini.
Hujawahi kutafuta njia kwa jambo lolote linalokusibu duh4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
still life is fun lakin kuwa makini usije ukafanya ayo mambo uzeeni kwako.1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Hii kauli si ya kweli ni kujipa moyo tuUtakuja kuvifanya uzeeni!
Nakazia mkuu, atakuja kuvifanya hivyo ikiwa tayari ishakua too late,Utakuja kuvifanya uzeeni!
Hii tunaita "post hoc phallacy" eti kwamba usipofanya hayo mambo ya kupoteza muda na mali ujanani utafanya uzeeni ? Kwa research ipi?still life is fun lakin kuwa makini usije ukafanya ayo mambo uzeeni kwako.
kuna hatua ukiziruka kwenye maisha basi zitaforce zijurudie tu kwahiyo kuwa makini mno.
Ni ukweli mkuu, kuna mzee alikua hajawahi kubet sasa aliposikia matangazo kwenye radio akanifuata akaniambia kijana naomba unielekeze hii michezo wanayotangaza kwenye radio sijui Mchongo Pesa, nikamwambia Mzee sikiliza radio fuata maelekezo, kwa hio uzeeeni mkuu atabet tu, life is very simple wala haina papara pupaHii kauli si ya kweli ni kujipa moyo tu
sijasema kama lazima uzeen uta do ayo mambo. ila nimekwmbaj kuwa makin sana kuna asilimia kubwa ukayafanya ayo mambo uzeeni kwako coz akili ya mzee ufanana kiasi fulan na ya mtotobna sifa ya mtoto upenda kujaribu kila kitu isipokuwa mara nyingi kuna mamb hayafanyi kwa sababu ya ulinzi na makatazo kutoka kwa watu wa karibu yake.Hii tunaita "post hoc phallacy" eti kwamba usipofanya hayo mambo ya kupoteza muda na mali ujanani utafanya uzeeni ? Kwa research ipi?
Mjomba izo sio dhambi pekee zilizopo duniani, halafu orodhesha dhambi kutokana na amri kuu za mungu, na sijui lengo lako ni nini kuorodhesha ivyo, we mlokole nini maana ndo wanajikutaga wakamilifu1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Vipi kama anafanya kwa amri yake?sijasema kama lazima uzeen uta do ayo mambo. ila nimekwmbaj kuwa makin sana kuna asilimia kubwa ukayafanya ayo mambo uzeeni kwako coz akili ya mzee ufanana kiasi fulan na ya mtotobna sifa ya mtoto upenda kujaribu kila kitu isipokuwa mara nyingi kuna mamb hayafanyi kwa sababu ya ulinzi na makatazo kutoka kwa watu wa karibu yake.
kuna hatar kubwa sana maana mara nying hajui madhara ya kile anachokifanyaVipi kama anafanya kwa amri yake?