Sasa umeshasema ni mzee unadhani enzi za ujana wake haya mambo yalikuwepo? 🤔 binafsi siamini kama eti usipofanya anasa ujanani utafanya uzeeni wapo wazee ndiyo wanaofanya hayo mambo .Ni ukweli mkuu, kuna mzee alikua hajawahi kubet sasa aliposikia matangazo kwenye radio akanifuata akaniambia kijana naomba unielekeze hii michezo wanayotangaza kwenye radio sijui Mchongo Pesa, nikamwambia Mzee sikiliza radio fuata maelekezo, kwa hio uzeeeni mkuu atabet tu, life is very simple wala haina papara pupa
Mkuu emu rudia kusoma nilichokiandika alafu Jibu tena, kipindi cha Jackpot Bingo kilikua kinarushwa ITV, ulikua umezaliwa? Nisije nikawa nabishana na kinda wa 2012 au 2015 kwenda juu,unadhani enzi za ujana wake haya mambo yalikuwepo?
Mi nimewahi namba moja tu,zingine niiteni mshamba ....poa tu1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
sureKwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.
Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.
Auze mali zake awape maskini.
Akashindwa kufanya hivyo.
Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.
Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.
Jitahmini.
Je "Kumbato" ushawahi?1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Hasira zote za nini hizi??1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Best you made my evening🤣🤣🤣Changamoto yenu ni unywaji wa kahawa kwenye jua kali,kufuatilia mambo ya watu,kujikasirisha kwa starehe za watu,kutoa laana kwa wenzenu kama mmelogwa na kujidai mna hekima.Bila kusahau mnatembea videvu vimeelekea mbele kama mnafungua mageti ya mbinguni.
Mbinguni utapewa mwili mpya,1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
Still life is fun,
Sawa St.sanali,tuambie uliyoyafanya positive katika umri huo maana Mimi nimeenda club,na nimecheza mziki, and still I am clean [emoji137][emoji137][emoji137]1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Hongera sana ndugu. Mimi hadi leo sijafanya namba 1, 2 na 3. Mimi ni miongoni mwa watanzania wachache tuliojua ladha ya papuchi ukubwani. Mara ya kwanza kupewa tamu nilikua na 22yrs. Nakumbuka kuna jimama lilinitunuku. Lakini baada ya hapo nilijikuta nimenogewa na papuchi na kuzichakata haswa. Hadi nafika 30yrs nikajikuta nimechakata papuchi zisizo na idadi ambapo kama 75% wakiwa ni majimama. Wanafunzi huwa nakaa nao mbali sana.1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Hizo sio zambi pekee ila kuacha hayo nimeepuka miongoni mwa zambi,kwahiyo unataka kusema hauna dhambi???
Wewe unatetea ujinga.Mkuu emu rudia kusoma nilichokiandika alafu Jibu tena, kipindi cha Jackpot Bingo kilikua kinarushwa ITV, ulikua umezaliwa? Nisije nikawa nabishana na kinda wa 2012 au 2015 kwenda juu,
Tuanzie hapo,
Nikianza kuzungumzia niliyofanikiwa kuyafanya itakua kama bragging halafu pia sio makubwa sana,Sawa St.sanali,tuambie uliyoyafanya positive katika umri huo maana Mimi nimeenda club,na nimecheza mziki, and still I am clean [emoji137][emoji137][emoji137]
Good! Congratulations!1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Ukiondoa no 4 mengine yote jaribu upate experience ya maisha kama kijana.1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,