Hamza swakala
JF-Expert Member
- Feb 14, 2022
- 479
- 619
itoshe kusema umefunga Uzi[emoji120]Changamoto yenu ni unywaji wa kahawa kwenye jua kali,kufuatilia mambo ya watu,kujikasirisha kwa starehe za watu,kutoa laana kwa wenzenu kama mmelogwa na kujidai mna hekima.Bila kusahau mnatembea videvu vimeelekea mbele kama mnafungua mageti ya mbinguni.
Nimekusoma Ni kinyume chake1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Hakika umenene vyema ndio maana umepata like s 33 had sas [emoji1787][emoji23]Kwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.
Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.
Auze mali zake awape maskini.
Akashindwa kufanya hivyo.
Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.
Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.
Jitahmini.
HakikaKwenye biblia kuna jamaa alimweleza Yesu mambo yoote kama wewe unavyotamba hapa.
Ila Yesu akamwambia afanye jambo moja tu.
Auze mali zake awape maskini.
Akashindwa kufanya hivyo.
Maana yake ni kwamba hakuna binadamu mkamilifu.
Unaweza kuta yote hayo hufanyi ila ni muongo, una wivu , mmbea, mfitini au mwizi.
Jitahmini.
Umefanya vizuri kukaa mbali na wanafunzi! Je, ni wa chuo hao wanafunzi unaokaa nao mbali?Hongera sana ndugu. Mimi hadi leo sijafanya namba 1, 2 na 3. Mimi ni miongoni mwa watanzania wachache tuliojua ladha ya papuchi ukubwani. Mara ya kwanza kupewa tamu nilikua na 22yrs. Nakumbuka kuna jimama lilinitunuku. Lakini baada ya hapo nilijikuta nimenogewa na papuchi na kuzichakata haswa. Hadi nafika 30yrs nikajikuta nimechakata papuchi zisizo na idadi ambapo kama 75% wakiwa ni majimama. Wanafunzi huwa nakaa nao mbali sana.
Mimi nimewahi kufanya vyote ila siyo kiviileeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Form six kushuka chini. Kiufupi hivi vibinti vidogo sina mazoea nao kabisa.Umefanya vizuri kukaa mbali na wanafunzi! Je, ni wa chuo hao wanafunzi unaokaa nao mbali?
Nafikiri ungekuwa na sifa ya kutokufanya mapenzi au pengine kuwa na msichana mmoja muda wote huo, ungestand out kuliko hivyo ulivyotaja vyenye watu wengi ...1. Sijawahi kunywa au kuonja pombe ya aina yoyote.
2. Sijawahi vuta au jaribu sigara ya aina yoyote.
3. Sijawahi kubet na sijui mkeka wanawezaje na sijawahi kucheza kamali ya aina yoyote
4. Sijawahi kwenda kwa mganga nikiwa naumwa au kutafuta njia ya jambo langu lolote
5. Sijawahi kwenda night club, kigodoro au tamasha la muziki lolote.
Still life is fun,
Kuwq kijana haimaanishi ufanye mambo ya kishenzi. Hata biblia imesema tumkumbuke Mungu wakati wa ujana. Ujana ukitumika vizuri hata jamii itapata mabadiliko. Ni kijana mpumbavu tu atakayeshauri ujanani tufanye ushenzi.Ukiondoa no 4 mengine yote jaribu upate experience ya maisha kama kijana.
Visumbufu, much know, vinaringa mnoForm six kushuka chini. Kiufupi hivi vibinti vidogo sina mazoea nao kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila unapiga nyeto.
#MaendeleoHayanaChama
Akiondoa namba 4 hawezi kutoboa kimaisha, ukiwa mpambanaj namba 4 haikwepeki[emoji4]Ukiondoa no 4 mengine yote jaribu upate experience ya maisha kama kijana.