To my early 30, sijawahi kufanya mambo haya

Sasa ukizeeka utakua unatoa experience gani kwa vijana endapo utakua unafuatwa kuombwa ushauri?
 
Sasa ukizeeka utakua unatoa experience gani kwa vijana endapo utakua unafuatwa kuombwa ushauri?
Nawaona wanaokunywa pombe au wanaoenda kwa waganga, so i have enough to tell them about, not necessarily to be personal experience
 
Hongera mkuu,ila usije ingia mkenge wa kamari
 
Ongezea na tabia za kibasha basha..
 
Mbon me mwenyewe hayo yote sijawah fanya hata moja

Ila chini sasa ni majanga [emoji27]
 
😂😂😂 kwahyo kama hujawahi fanya sisi tukusaidieje. tuelezee na vile ulivyofanyiwa
 
Vipi Jani uliwahi karibu🥱
 
Umenikumbusha story ya mfariasayo akiomba
 
[emoji23][emoji23][emoji23] very true bob don't trust such kind of pia hawanaga humanity to the society kabisa... Anakunyima hata maji ya kunywa na uko na Hali mbayaa balaaa
 
Huyu ni mm kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] very true bob don't trust such kind of pia hawanaga humanity to the society kabisa... Anakunyima hata maji ya kunywa na uko na Hali mbayaa balaaa
Hi ni defensive mechanism tu, una rationalize pombe, uvutaji , ushirikina kwa hoja dhaifu sana
 
Hongera sana mkuu, maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Muhimu ni kukaa ktk maamuzi yako bila kuyumba wala kuyumbishwa.

Vv
 



Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…