Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

so lilith ana mnemba navilevile anakipochi manyoya..?πŸ˜ƒ
 
Ni kama ile na zile za kina adriz mjingamimi Jagina hydroxo Mufti kuku The Infinity za mwanaume kupaka wanja na hina na jua kuzama kwenye dimbwi la tope jeusi?
 
Huyo Succubus na Inacubus hawawezi kufanyiana wenyewe ili wapate hao watoto?
 
Unachosema ni kweli kabisa na waka hujakosea..
Na ninaweza kuthibitisha hilo na ndo maana waliitwa Adam (Lilith na Adam walikuwa na jina moja yaani Adam)
 
Huyo Succubus na Inacubus hawawezi kufanyiana wenyewe ili wapate hao watoto?
Ni lilth in form of Succubus and Incubus in short she is a demon creature sababu alienda mapangoni akapigwa miti na Shetani himself yaan km Eva alivyoenda kupewa tunda ndivyo lilth alivyoenda kupigwa bomba na Mr Devil himself mpaka akamtoa Bikra baada ya hapo akaanza kumletea shida Adam, Ila Simulizi ya lilth ni ndefu na Ina maelezo tofauti tofauti yanayofundisha sana ingawa watu wengi hawaamini Ila ni ukweli ndani yake,
 
Sio waafrica ni Simulizi za Wayahudi na hayo ni mambo ya upande wa Imani nyeusi ndio yanafundisha hivyo kwa hio usipingane na Imani za watu kwenye Simulizi zao
nyie mmetia chumvi babu atakuwaje na mnemba na kipochi manyoya..πŸ˜…
 
Duh. Kwa hiyo Adam alikuwa hajamtoa Bikra?

Alikuwa mkewake kwa ajili ya Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…