Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafasiri ya siku kwako kwa mujibu wa Biblia Unaielewa vipi??Yap. Tutumie tu biblia.
6 Days. Then uumbaji ambao unasema ni wa pili ulitumia muda gani?
Kwa namna nilivyoisoma.....lilith alikuwa na capacity ya kimalaika. So alikuwa na uwezo na ndio chanzo cha kuona Adam kwake si chochote. Kama alivyofukuzwa iblis ndivyo kwa Lilith. Chakula chake ni manii na mazingira ya namna hiyo machafu.Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto
Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao
Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini
Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Elimu nyingine ni mbigiri zina miiba mingi ya kutosha kukuchoma wakati wa kuzisoma.Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.
Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.
Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.
Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.
Hapo ndio Eve akatokea.
Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Hiki ni kitabu gani cha Biblia Mkuu?
Boss, hukunielewa paragraph ya kwanza nimesema kabisa, nimesoma pahala, ila sio kwenye biblia.Hiki ni kitabu gani cha Biblia Mkuu?
Victor MlakiKatika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.
Unaanza tena kutumia akili kubwa,Tafasiri ya siku kwako kwa mujibu wa Biblia Unaielewa vipi??
seems lilith alikua slim kama Tulia ackson afu mfupi...hakutaka ujinga na ukute alifuga kucha akawa anashindwa kufanya kazi 😆🙌...We want our Lilith back.....😹 Eva amepoa mno.
Ok sawa Vizuri kabisa..Unaanza tena kutumia akili kubwa,
Sawa,
Ikawa asubuhi, "ikawa jioni, siku ya kwanza". Twende na tafsiri hii ya siku.
Baada ya siku 6 za uumbaji wa 1, uuambaji wa pili ulitumia muda gani?
Possible Adam alifata wezere kwa Eva???seems lilith alikua slim kama Tulia ackson afu mfupi...hakutaka ujinga na ukute alifuga kucha akawa anashindwa kufanya kazi 😆🙌...
Karibu jfHujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto
Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao
Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini
Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Ok. Hivyo hujui. Sawa, huu uumbaji wa 2 ulihusisha nini na nini?Ok sawa Vizuri kabisa..
Uumbaji wa pili haukuandikwa umetumia Siku ngapi..
Sasa sijajua hoja yako kuwa kama haujaandikwa kutumia siku ngapi ndo utakuwa Batili?
Nimekusoma mkuu. Kama unaamini lilith ni hadithi za kutungwa yaani kusadikika ili ziburudishe watu na kuwafundisha. vipi kuhusu hadithi zilizomo kwenye maandiko kama safina ya nuhu,sodoma na gomora huoni kwamba zilitungwa tu ili kutuogopesha tujue kuna moto nk? wewe una uhaakika upi kama ni kweli yaliyo andikwa kwenye vitabu? je unaamini mohamedi alienda hadi wingu ya saba kwa mungu na akarudi?Hadithi ya Lilith ni moja ya hadithi za zamani ambazo zimekuwa sehemu ya mapokeo ya baadhi ya jamii. Katika baadhi ya mafundisho ya Kiyahudi ya kale, Lilith anatajwa kama mke wa kwanza wa Adamu kabla ya Hawa. Hata hivyo, ni muhimu kutambua kwamba hadithi hii haipo katika maandiko rasmi ya Kiyahudi au ya Kikristo, kama vile Biblia au Talmudi.
Kulingana na hadithi hizo, Lilith alidai usawa na haki sawa na Adamu, na alipokataa kutii amri za Mungu za kuwa chini ya Adamu, aliondoka kutoka kwa Adamu na Paradiso. Baadaye, Hawa aliundwa kutokana na ubavu wa Adamu, kama ilivyoelezwa katika Biblia.
Hadithi hizi za kiasili za maandishi ya zamani mara nyingi hutumika kuelezea masuala ya kijamii, kiutamaduni, au ya kisaikolojia, na hazipaswi kuchukuliwa kama ukweli wa kihistoria. Ni hadithi za kuburudisha au kufundisha, na haziingiliani na mafundisho rasmi ya dini.
Hii ndy naiskia leoHizi hadithi za Wayahudi ni nyingi ambapo wale wa mwanzo wanaoamini Mungu wao alikuwa na mwenza/mke aitwaye Asheera
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We want our Lilith back.....[emoji81] Eva amepoa mno.
Hao ni washenzi wa tabia achana naoKuna story nyingi sana hapo kwenye kitabu cha mwanza,
Kuna jamaa wanaitwa kanisa la mungu, wanakuambia kuna Mungu mama na Mungu baba na wanaprove kabisa kwenye biblia, hawajamaa walikua wanapita mitaani kipindi nipo chuo pale Ardhi.
Nimeelezea tayri na ukienda kusoma utaona pia..Ok. Hivyo hujui. Sawa, huu uumbaji wa 2 ulihusisha nini na nini?
We mdada huwa nakukubali sana..unaandika short and clearNachange ID, ntakua Lilith