Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

Weka hilo andiko tuone...
My take: Usiongeze wala kupunguza neno
Screenshot_20240317-105438.png
Lilith_(John_Collier_painting).jpg
 
Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto

Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao

Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini

Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Kwa namna nilivyoisoma.....lilith alikuwa na capacity ya kimalaika. So alikuwa na uwezo na ndio chanzo cha kuona Adam kwake si chochote. Kama alivyofukuzwa iblis ndivyo kwa Lilith. Chakula chake ni manii na mazingira ya namna hiyo machafu.

Katika uzao wanawake jamii ya linlithgow wapo na ni wakaidi kwa waume zao. Lilith alikutana na kjendeleza kizaz jeuri na wanawake hao wapo na hawana heshima kwa waume zao.

Kama alivyoua kaka aake abel...na kuuana kunako duniani...ndivyo kwa uzao wa Lilith wanawake tusio na heshima kwa waume zetu
 
Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.

Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.

Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.

Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.

Hapo ndio Eve akatokea.

Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Elimu nyingine ni mbigiri zina miiba mingi ya kutosha kukuchoma wakati wa kuzisoma.
 
Tafasiri ya siku kwako kwa mujibu wa Biblia Unaielewa vipi??
Unaanza tena kutumia akili kubwa,

Sawa,

Ikawa asubuhi, "ikawa jioni, siku ya kwanza". Twende na tafsiri hii ya siku.

Baada ya siku 6 za uumbaji wa 1, uuambaji wa pili ulitumia muda gani?
 
Unaanza tena kutumia akili kubwa,

Sawa,

Ikawa asubuhi, "ikawa jioni, siku ya kwanza". Twende na tafsiri hii ya siku.

Baada ya siku 6 za uumbaji wa 1, uuambaji wa pili ulitumia muda gani?
Ok sawa Vizuri kabisa..
Uumbaji wa pili haukuandikwa umetumia Siku ngapi..
Sasa sijajua hoja yako kuwa kama haujaandikwa kutumia siku ngapi ndo utakuwa Batili?
 
Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto

Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao

Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini

Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Karibu jf
 
Ok sawa Vizuri kabisa..
Uumbaji wa pili haukuandikwa umetumia Siku ngapi..
Sasa sijajua hoja yako kuwa kama haujaandikwa kutumia siku ngapi ndo utakuwa Batili?
Ok. Hivyo hujui. Sawa, huu uumbaji wa 2 ulihusisha nini na nini?
 
Hadithi ya Lilith ni moja ya hadithi za zamani ambazo zimekuwa sehemu ya mapokeo ya baadhi ya jamii. Katika baadhi ya mafundisho ya Kiyahudi ya kale, Lilith anatajwa kama mke wa kwanza wa Adamu kabla ya Hawa. Hata hivyo, ni muhimu kutambua kwamba hadithi hii haipo katika maandiko rasmi ya Kiyahudi au ya Kikristo, kama vile Biblia au Talmudi.

Kulingana na hadithi hizo, Lilith alidai usawa na haki sawa na Adamu, na alipokataa kutii amri za Mungu za kuwa chini ya Adamu, aliondoka kutoka kwa Adamu na Paradiso. Baadaye, Hawa aliundwa kutokana na ubavu wa Adamu, kama ilivyoelezwa katika Biblia.

Hadithi hizi za kiasili za maandishi ya zamani mara nyingi hutumika kuelezea masuala ya kijamii, kiutamaduni, au ya kisaikolojia, na hazipaswi kuchukuliwa kama ukweli wa kihistoria. Ni hadithi za kuburudisha au kufundisha, na haziingiliani na mafundisho rasmi ya dini.
Nimekusoma mkuu. Kama unaamini lilith ni hadithi za kutungwa yaani kusadikika ili ziburudishe watu na kuwafundisha. vipi kuhusu hadithi zilizomo kwenye maandiko kama safina ya nuhu,sodoma na gomora huoni kwamba zilitungwa tu ili kutuogopesha tujue kuna moto nk? wewe una uhaakika upi kama ni kweli yaliyo andikwa kwenye vitabu? je unaamini mohamedi alienda hadi wingu ya saba kwa mungu na akarudi?
 
Ok. Hivyo hujui. Sawa, huu uumbaji wa 2 ulihusisha nini na nini?
Nimeelezea tayri na ukienda kusoma utaona pia..
Na biblia kutoandika siku haimaanishi kuwa haukuwepo..

Usisahau Kaini alipomuua HABILI alikimbilia Nchi za mbali na watu wa huko Walizuiwa Kumuua...na aliwekewa Alama ili kila mtu atakayemuua Apate adhabu..

Sasa cha kujiuliza kwanini Biblia ilijikita kwenye Adam na Eva wakati kumbe kuna nchi zingine zilikuwepo na Hata kaini alioa huko
 
Back
Top Bottom